Wapi nikachangamkie fursa ya mazao kipind hiki cha uhaba wa chakula nchini.

Mkuu hayo mazao ni mavuno mapya au ni ya msimu uliopita?

Sent from my HTC One using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mahindi ya sumbawanga,songea na dodoma yapi ya soko sana?
Soko lipi? Sijaahi kuskia mtu anahoji "haya mahindi ni ya wapi?", millers ambao ndiyo wateja wakubwa wa mahindi hawajali yametoka wapi as long as ni mahindi ambayo "hayajagongwa" na yamehifadhiwaw vizuri, wewe ukiwaw na mahindi ya kutosha watu watatoka Kenya kukufuata, mwaka huu watu mpaka wamegombea wakulima.
 
Safi sana mkuu kwa kushea nasi hapa.

Umetoa mwanga mzuri kwa mtu anayeenda huko kama beginner wa biashara hiyo.

Ila naona mtu akienda na mtaji kidogo, faida hatoina.

-Kaveli-
Kwa iyo mtaji at least kiasi gani ndo naanza kuona faida?
 
Pia kama mko wenye mitaji mikubwa vusheni kwa Kenyatta. Huko unga umekua kitu adimu sana.
 
Karibu mbeya debe lina wastani w kg 18 linauzwa 6500 karibu ,ndanindani kidogo
 
Wenye mitaji changamkieni fursa hizo.

-Kaveli-
 
Mimi pia nipo mwanza nlitaka nfanye biashara hiyo ya mazao hasa ya mahindi na maharage lakini bado sijapata mwongozo,kwa watu wa kanda ya ziwa ,mji gani unauza mahindi bei nafuu kwa ajil ya kuyaleta kuyauza mwanza mwanza???nsaidien wadau,bei kwa kilo,usafiri na bei ya kuuza kwa mjini
 
Ukubwa au udogo wa faida hutegemea mtaji nawe utauza bei gani.
Huko uliko mahindi ni bei gani?
Huku kwetu ni 350 kwa kilo. Kusafirisha Mara nyingi huwa 100/ per kg.
Do a math
Huku niliko ni 700 hadi 800 per kg
Hii ni bei ya Tabora

Wewe upo sehemi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…