Wapi nikachangamkie fursa ya mazao kipind hiki cha uhaba wa chakula nchini.

Wapi nikachangamkie fursa ya mazao kipind hiki cha uhaba wa chakula nchini.

Nimeangalia muktadha wa nchi yetu kwa hali ya sasa,upungufu wa vyakula muhimu,kutokana na tabia nchi,mvua kuchelewa,wakulima kuchelewa kupanda na ukame ulioikumba nchi miez kadhaa nyuma,bei za bidhaa/mazao kupanda,n.k..nataka niitumie hii kama fursa kwenye upande wa biashara ya mazao,kutoa sehem moja kupeleka nyingine.kununua bei ya chini shamban kuuza eneo lingne kwa bei nzur,NAOMBA MSADA wa mawazo.
Thread murua,umeiweka muda muafaka!
 
Mwenye abc ya biashara ya maharage kutoka kagera naomba afunguke,mi nipo mwanza
 
Huku niliko ni 700 hadi 800 per kg
Hii ni bei ya Tabora

Wewe upo sehemi gani?
Siunaona sasa, kama wakati huu a mavuno huko wanauziwa mia7 mvua ya msimu ujao ikianza kunyesha bei si itakuwa zaidi ya elf1!!
 
Katavi mahindi ni mengi sana tena cheap.Maeneo ya Majimoto na Inyonga huko ni kama unapewa bure.
kaka ni vizuri ukataja na bei na namna gani mazao hayo yanasafirishwa na masoko yapo maeneo gani taja hata kwa majina tu itakuwa msaada sana kwa wanajamvi
 
Ukubwa au udogo wa faida hutegemea mtaji nawe utauza bei gani.
Huko uliko mahindi ni bei gani?
Huku kwetu ni 350 kwa kilo. Kusafirisha Mara nyingi huwa 100/ per kg.
Do a math
mkubwa iyo 100 per kg ni kusafirisha kutoka wapi hadi wapi je kusafirisha mahindi toka songea mpaka dar inaweza kuwa sh. ngapi kwa gunia au tani
 
Siunaona sasa, kama wakati huu a mavuno huko wanauziwa mia7 mvua ya msimu ujao ikianza kunyesha bei si itakuwa zaidi ya elf1!!
bwana rene jr huko songea mvua zilishakata na watu wamevuna tayari maanake kwa dar mvua zinarindima sana sasa sijui huko vipi maanake mimi nilikuwa napiga hesabu nijikusanye mwezi huu na wa sita wote kisha niingie kwenye hii biashara au nitakuwa nimepishana na nyakati na nauliza vipi siwezi kuifanya hii biz kuanzia mwezi wa saba au mambo yatakuwa yamebadilika sana ushauri wako plz niko serious na hii mambo nishawasumbua sumbua sana wadau fulani fulani kwa pm humu ila namshukuru huyu bwana napoleone kwa kuleta uzi kabisaa na wadau wameuchangia
 
Nenda songea mahindi ya kumwaga nenda kagera maharage kibao
mkubwa nikushukuru kwa kuchangia lakini kaka tunaomba ungetutajia maeneo yenyewe kabisa maana kagera ni kubwa alaf na bei za huko kuhusu bei za masoko hizo wadau tunaweza tu kuzitafuta
 
Ni 300 hadi 35o per kg huko bush
Mjini ni 400 hadi 500
mkubwa bei ya kusafirisha haiwezi pungua kama unasafirisha kuanzia tani maana hapa kwa hiyo bei sh.100 kwa kila kilo faida haipo hapo kama utakuta mahindi bei ni 400
 
mkubwa bei ya kusafirisha haiwezi pungua kama unasafirisha kuanzia tani maana hapa kwa hiyo bei sh.100 kwa kila kilo faida haipo hapo kama utakuta mahindi bei ni 400
mkubwa vipi unajihusisha na kilimo huko songea nahitaji kujua mbili tatu
 
umuonyeshe nini bwana wewe kama hutaki kutoa data toa namba yako hapo hatutaki watu kama nyie we si unaona wenzako wamemwaga data hapa au una lengo gani wewe
Umelogwa Namba hujaiona hapo unataka Namba gani au plate Namba
 
mkubwa bei ya kusafirisha haiwezi pungua kama unasafirisha kuanzia tani maana hapa kwa hiyo bei sh.100 kwa kila kilo faida haipo hapo kama utakuta mahindi bei ni 400
Unaweza negotiate ila gunia LA kg100 husafirishwa kwa 10000.
 
Wakuu hivi huko Dar masokoni mahindi yanauzwaje kwa kilo ?
 
Back
Top Bottom