Wapi nitapata best Video graphic adapter kwa ajili ya modern PC?

Wapi nitapata best Video graphic adapter kwa ajili ya modern PC?

Inasupport ndio mkuu, hata kimeo changu Gt 1030 kinasupport 4k, sema natumia tu kuangalizia video na game ndogo sana. Games kwa 4k ni demanding sana compare na kuangalizia video ama content nyengine za 4k.

kwenye competitive games kwa 4k inabidi upate top end kama Rtx 2080 tena wengine wanaweka 2 kwa mpigo.

Mfano angalia benchmarks hapa
https://www.notebookcheck.net/NVIDIA-GeForce-GTX-1650-Desktop-GPU-Benchmarks-and-Specs.421420.0.html

Kwa games nyepesi kama fifa unapata hadi 80fps kwa 4k, ila games heavy kama just cause 4, battlefield v, division 3 etc fps hazifiki hata 20.
Kaka ivi gtx 1650 4gb ram inaweza cheza magame yote ya ps5
 
Kaka ivi gtx 1650 4gb ram inaweza cheza magame yote ya ps5
Hapana, utahitaji rtx gpu kucheza games za kisasa. Kuna games zinalazimisha uwe na Ray tracing hardware kwenye gpu yako.

Ukiwa na Gtx 1650 utacheza games za ps5 nyingi ila sio zote, hivyo angalia games zako unazocheza ni zipi. Kama ni games za kawaida kama mpira, Gta V, Witcher na games maarufu nyingi za miaka kadhaa nyuma haina neno. Ila hizi games mpya za 2025 ni majanga.
 
Hapana, utahitaji rtx gpu kucheza games za kisasa. Kuna games zinalazimisha uwe na Ray tracing hardware kwenye gpu yako.

Ukiwa na Gtx 1650 utacheza games za ps5 nyingi ila sio zote, hivyo angalia games zako unazocheza ni zipi. Kama ni games za kawaida kama mpira, Gta V, Witcher na games maarufu nyingi za miaka kadhaa nyuma haina neno. Ila hizi games mpya za 2025 ni majanga.
Ahaaa Apo sawa mkuu nimekupata na vipi ukiwa na rtx yenye ukubwa sawa na hio gtx 1650 4gb ram inacheza zote?
 
Hapana, utahitaji rtx gpu kucheza games za kisasa. Kuna games zinalazimisha uwe na Ray tracing hardware kwenye gpu yako.

Ukiwa na Gtx 1650 utacheza games za ps5 nyingi ila sio zote, hivyo angalia games zako unazocheza ni zipi. Kama ni games za kawaida kama mpira, Gta V, Witcher na games maarufu nyingi za miaka kadhaa nyuma haina neno. Ila hizi games mpya za 2025 ni majanga.
Mkwawa naomba unisaidie kitu Kaka kuna jamaa anauza pc game yenye graphic card gtx 1650 4gb sasa nilikuwa Nataka kuuliza hiyo desktop ina lingana na ps4 ukubwa or?? Na kingine kunagame la battlefield 5 lilikuwemo juzi lakini Jana tumejaribu kulifungua likawa linaload tu Bila mafanikio wakati kipindi cha nyuma tulikuwa tunalicheza vizuri sasa hapa shida ni nini Maana nikimuuliza anadai kuwa ni ant virus wamelila game!!
 
Ahaaa Apo sawa mkuu nimekupata na vipi ukiwa na rtx yenye ukubwa sawa na hio gtx 1650 4gb ram inacheza zote?
Rtx ndogo ambayo ni low profile Na inatumia umeme sawa na Gtx 1650 ni rtx 3050 6GB version. Sema bei yake imesimama kidogo sababu ni mpya. Around $160.
 
Mkwawa naomba unisaidie kitu Kaka kuna jamaa anauza pc game yenye graphic card gtx 1650 4gb sasa nilikuwa Nataka kuuliza hiyo desktop ina lingana na ps4 ukubwa or?? Na kingine kunagame la battlefield 5 lilikuwemo juzi lakini Jana tumejaribu kulifungua likawa linaload tu Bila mafanikio wakati kipindi cha nyuma tulikuwa tunalicheza vizuri sasa hapa shida ni nini Maana nikimuuliza anadai kuwa ni ant virus wamelila game!!
Ps4 ya mda sana, Gpu yake inazidiwa kama mara mbili ni Gtx 1650, so game lolote era ya ps4 litacheza bila shida kwenye 1650.

Ndio inawezekana game kuliwa na Ant virus, cha kufanya

1. Tengeneza folder ambalo games zote utakua unaweka humo
2. Set ant virus isi scan hilo folder
3. Wakati una install game zima ant virus.

Hapo games zako hazitaliwa.
 
Ps4 ya mda sana, Gpu yake inazidiwa kama mara mbili ni Gtx 1650, so game lolote era ya ps4 litacheza bila shida kwenye 1650.

Ndio inawezekana game kuliwa na Ant virus, cha kufanya

1. Tengeneza folder ambalo games zote utakua unaweka humo
2. Set ant virus isi scan hilo folder
3. Wakati una install game zima ant virus.

Hapo games zako hazitaliwa.
Da Asante sana Kak alafu jamaa ameniambia anazo graphic mbili hiyo gtx 1650 4gb na R9 370X sasa amesema nitachagua mimi sasa apo ipi ni more better??? 😟
 
Da Asante sana Kak alafu jamaa ameniambia anazo graphic mbili hiyo gtx 1650 4gb na R9 370X sasa amesema nitachagua mimi sasa apo ipi ni more better??? 😟
R9 370X haina issue, inakula umeme sana na perfomance ndogo wakati 1650 ita tumia umeme kidogo na perfomance Kubwa.

Pia 1650 ina resale value kubwa, yenyewe unaweza kuuza laki 2 hadi 3 sababu inakubali kwenye machine zenye power supply ndogo.

So hata huko baadae kama unahamia gpu kama Rtx 2060 ambazo bei ipo chini unaweza uza hio na kuongeza kidogo ukanunua Rtx.
 
R9 370X haina issue, inakula umeme sana na perfomance ndogo wakati 1650 ita tumia umeme kidogo na perfomance Kubwa.

Pia 1650 ina resale value kubwa, yenyewe unaweza kuuza laki 2 hadi 3 sababu inakubali kwenye machine zenye power supply ndogo.

So hata huko baadae kama unahamia gpu kama Rtx 2060 ambazo bei ipo chini unaweza uza hio na kuongeza kidogo ukanunua Rtx.
Oooh sawa Kaka nimekuelewa sasa nitajuaj kama hii ni Gtx 1650 Maana naogopa jamaa anaweza nibadilishia kisili akanipa hilo Li R9
 
R9 370X haina issue, inakula umeme sana na perfomance ndogo wakati 1650 ita tumia umeme kidogo na perfomance Kubwa.

Pia 1650 ina resale value kubwa, yenyewe unaweza kuuza laki 2 hadi 3 sababu inakubali kwenye machine zenye power supply ndogo.

So hata huko baadae kama unahamia gpu kama Rtx 2060 ambazo bei ipo chini unaweza uza hio na kuongeza kidogo ukanunua Rtx.
Na hiyo rtx inauzwa bei gani
 
Oooh sawa Kaka nimekuelewa sasa nitajuaj kama hii ni Gtx 1650 Maana naogopa jamaa anaweza nibadilishia kisili akanipa hilo Li R9
Kivyovyote lazima aweke drivers, utaona kwenye panel ya drivers, Nvidia na AMD wanatumia software tofauti kabisa.
 
Rtx 2060

Hio driver ntaionea kwenye screen au mpaka afungue?
Kwenye screen mkuu, za Nvidia drivers zake ni geforce now na Hizo Rx ni Radeon.

Alternative fungua task manager, unaweza ukabonyeza Ctrl + Alt + Delete chagua task manager halafu juu chagua perfomance itakuonesha gpu, cpu, ram na harddisk/ssd kwenye pc yako na majina yake.

Njia nyengine kuingia task manager right click task bar chini utaona.
 
Kwenye screen mkuu, za Nvidia drivers zake ni geforce now na Hizo Rx ni Radeon.

Alternative fungua task manager, unaweza ukabonyeza Ctrl + Alt + Delete chagua task manager halafu juu chagua perfomance itakuonesha gpu, cpu, ram na harddisk/ssd kwenye pc yako na majina yake.

Njia nyengine kuingia task manager right click task bar chini utaona.
Asante sana mkuu na vipi hayo madude huya yanaharbika mapema au
 
Asante sana mkuu na vipi hayo madude huya yanaharbika mapema au
Kikawaida vitu vya pc vinadumu sana, ram, cpu, Gpu etc, motherboard na psu ndio zinakufa ovyo.

Na psu siku hizi zinatengenezwa.
 
Kaka a
Kwenye screen mkuu, za Nvidia drivers zake ni geforce now na Hizo Rx ni Radeon.

Alternative fungua task manager, unaweza ukabonyeza Ctrl + Alt + Delete chagua task manager halafu juu chagua perfomance itakuonesha gpu, cpu, ram na harddisk/ssd kwenye pc yako na majina yake.

Njia nyengine kuingia task manager right click task bar chini utao
Dr
Kwenye screen mkuu, za Nvidia drivers zake ni geforce now na Hizo Rx ni Radeon.

Alternative fungua task manager, unaweza ukabonyeza Ctrl + Alt + Delete chagua task manager halafu juu chagua perfomance itakuonesha gpu, cpu, ram na harddisk/ssd kwenye pc yako na majina yake.

Njia nyengine kuingia task manager right click task bar chini utaona

Kikawaida vitu vya pc vinadumu sana, ram, cpu, Gpu etc, motherboard na psu ndio zinakufa ovyo.

Na psu siku hizi zinatengenezwa.
Kaka hizi psu ndo nini na zinafanya kazi gani
 
Back
Top Bottom