Inasupport ndio mkuu, hata kimeo changu Gt 1030 kinasupport 4k, sema natumia tu kuangalizia video na game ndogo sana. Games kwa 4k ni demanding sana compare na kuangalizia video ama content nyengine za 4k.
kwenye competitive games kwa 4k inabidi upate top end kama Rtx 2080 tena wengine wanaweka 2 kwa mpigo.
Mfano angalia benchmarks hapa
https://www.notebookcheck.net/NVIDIA-GeForce-GTX-1650-Desktop-GPU-Benchmarks-and-Specs.421420.0.html
Kwa games nyepesi kama fifa unapata hadi 80fps kwa 4k, ila games heavy kama just cause 4, battlefield v, division 3 etc fps hazifiki hata 20.