Mfano kwa kigamboni nitapata sehemu gani mkuu?
Mimi sio mkazi wa kigamboni. Sijawai kuishi uko Hivyo sina jibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano kwa kigamboni nitapata sehemu gani mkuu?
Mbagala sehemu ganiMbagala unapata chumba kikali kwa hela hiyo fensi maji vipo
Sawa mkuuMimi sio mkazi wa kigamboni. Sijawai kuishi uko Hivyo sina jibu
Vipi kuhusu maji hayasumbui?Mbagara mission ukiingia ndani kuanzia CCM, kijichi mpaka mbagara kuu. Single room lakini choo nje kwa 30K unapata chumba kizuri tu. Ila hayo mageto ni makazi pendwa ya mabaamedi na wadangaji kwaiyo masuala ya kuona kila siku wanaingia wanaume tofauti tofauti inbidi uyazoee
😁😁😁 Lini nakula tunda kimasikharaHey boo♥️
😹
😹😹😹Tulishakubaliana lkini😁😁😁 Lini nakula tunda kimasikhara
Mdogo angu kama unataka kuanza maisha ya geto we jitose tu, usiulize mambo mengiVipi kuhusu maji hayasumbui?
We kila siku una pisi mpya unayoipenda 😂😂Tunapendana sana mkuu
Aiseee hii pisi nikija kuiacha jua kabisa nipo.kaburini she is very kindly to me na tayar nina mpango nimpeleke hom na kwa mashemeji zake kina Vishu Mtata
Sawa mkuuNeno kizuri toa hapo, hata kwa Aziz ally hupati, kwa Bei hio tafta chchte hata kama kinavuja.
Sawa nimekuelewa kakaMdogo angu kama unataka kuanza maisha ya geto we jitose tu, usiulize mambo mengi
Kikubwa chumba tu mkuu. Kwa sasa naanza maishaMzee kama unataka kuishi chini ya Daraja la mfugale si useme tu? Hahaha ongeza walau 50K ukapate huko Buza au Gomzi au Mbagara ila tofauti na hapo kimekulamba mshua....
30K chumba kipo hivi
1. Uswahilini sanaaaaa
2 usalama mtaani 10%
3. Hakina Umeme,tiles,floor n kawaida na wenda mtaishi kama bweni au mtashare sebure na mwenye nyumba
Ahahaha mi unazani naelewa sasa nikishapendwa..We kila siku una pisi mpya unayoipenda 😂😂
Kiburugwa, ila hakitakuwa na umeme wala maji.Naombeni mnisaidie sehemu yenye vyumba vya 30000 kwa dar
Kilaaniwe hiki chama, maana ndio kimewafikisha vijana wetu hapa...😑
Buguruni kwa Mnyamani au tandale kwa Tumbo, Manzese kwa mfuga mbwa, Mburahati, kakalie Kigogo pia.
Huko ni hatari sanaKiburugwa, ila hakitakuwa na umeme wala maji.View attachment 3248074View attachment 3248075
120,000 unaongezaShukrani mkuu. Je nikitaka chenye choo ndani naweza kuongezea ngapi?