Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rage anasemaje?Mashabiki wa yanga ni mambumbu hawana akili manyani na mambwa wanabweka bweka hovyo - luc eymael
Huu uongo,nauli ya BUKU inaishia Bunju.Mlandizi to mbezi.1500 Then mbezi to bagamoyo. 1000
Huu uongo,nauli ya BUKU inaishia Bunju.Mlandizi to mbezi.1500 Then mbezi to bagamoyo. 1000
Zipo ila 1000 mwisho Bunju.Kuna daladala za moja kwa moja kutokea mbezi kwenda Bagamoyo?
Zipo ila 1000 mwisho bunjuKuna daladala za moja kwa moja kutokea mbezi kwenda Bagamoyo?
Sawa mkuu nilidhani buku jero maana mbezi to kibaha ni buku nikadhani kibaha to mlandizi itakuwa jeromlandizi mpaka mbezi ni 2,200/= ingawa pia ukiwa na 2,000/= wanachukua.
Mbezi To Kibaha ni 500 au 700 kwa mwendo Kasi.Wewe hiizo nauli unatoa wapi? Utakuwa wa Mkoani haupo Dar.Sawa mkuu nilidhani buku jero maana mbezi to kibaha ni buku nikadhani kibaha to mlandizi itakuwa jero
Zipo ila mbezi to bagamoyo ni 2500 sio 1000Kuna daladala za moja kwa moja kutokea Mbezi kwenda Bagamoyo?
Mbezi Bagamoyo ni 2500 mkuu labda kama hafiki bagamoyo mjiniMlandizi to mbezi 1500 Then Mbezi to Bagamoyo. 1000
mbezi mpaka:Sawa mkuu nilidhani buku jero maana mbezi to kibaha ni buku nikadhani kibaha to mlandizi itakuwa jero
Nasemea nauli ya kutoka mbezi hadi bunju ni 1000 huko kwingine sijawahi fikaMbezi Bagamoyo ni 2500 mkuu labda kama hafiki bagamoyo mjini
Sawa ila nilikuwa nazungumzia bunjuMbezi Bagamoyo ni 2500 mkuu labda kama hafiki bagamoyo mjini
Mbezi hadi kwa matias ni bukumbezi mpaka:
maili moja 600/=
loliondo 700/=
stand mpya kibaha 700/=
picha ya ndege 900/= na kuendelea....
Nina kaa bunju. Huko kibaha nilienda mara moja kwa kupanda daladala hivo nazungumzia nauli kwa experience yangu. Mbezi to kibaha kwa matias nililipa buku na ndio nauli halisi huko kwingine sijuiMbezi To Kibaha ni 500 au 700 kwa mwendo Kasi.Wewe hiizo nauli unatoa wapi? Utakuwa wa Mkoani haupo Dar.
Mbezi to bunju ni buku na gari inafika bagamoyoZipo ila mbezi to bagamoyo ni 2500 sio 1000
Kimara _Kibaha 700/- mwendokasimbezi mpaka:
maili moja 600/=
loliondo 700/=
stand mpya kibaha 700/=
picha ya ndege 900/= na kuendelea....
watu wa magari huwa wanaangalia na mtu kwa tunaopita hii njia kila siku 900/= ndiyo tunalipa toka mbezi mpaka picha ya ndege.Mbezi hadi kwa matias ni buku
Kwanini hujawahi kufika BagamoyoNasemea nauli ya kutoka mbezi hadi bunju ni 1000 huko kwingine sijawahi fika