kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Kama kutoka tu tegeta hadi bagamoyo nauli ni 2000/=iweje kitoka mbezi nauli iwe 1000/=?Mlandizi to mbezi 1500 Then Mbezi to Bagamoyo. 1000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kutoka tu tegeta hadi bagamoyo nauli ni 2000/=iweje kitoka mbezi nauli iwe 1000/=?Mlandizi to mbezi 1500 Then Mbezi to Bagamoyo. 1000
Nilikuwa nasemea mbezi hadi bunju ni buku. Mbezi hadi bagamoyo sijajua ni shingapiKama kutoka tu tegeta hadi bagamoyo nauli ni 2000/=iweje kitoka mbezi nauli iwe 1000/=?
Bagamoyo nimeshafika gari napandia hapa nyumbani bunjuKwanini hujawahi kufika Bagamoyo
Hata hapo Mlandizi zinapita VikurutiNinahisi Chalinze via Msata to Bagamoyo ndiyo ruti nzuri. Bei sijui.
Mlandizi zipo zinapita njia ya yombo, magereza, bagamoyoKwenu wana Jamiiforum, naomba kujua ni route hipi ya haraka na rahisi kupata daladala za kwenda Bagamoyo, kati ya Chalinze to Bagamoyo au Mlandizi to Bagamoyo. Na nauli ikoje kutoka hayo maeneo kwenda Bagamoyo.
Natanguliza shukran za dhati.
Wenye akili ni wawili tuRage anasemaje?
Makolo wote ni mbumbumbuWenye akili ni wawili tu
Sawa mkalia mwiko nyuma mbele fcMakolo wote ni mbumbumbu
Kuna mwaka fedha ilitengwa kwaajili ya kuijenga kwa lami sijui kilitokea niniMlandizi-bagamoyo 60Km gari ni 40Mn ila kwa Sasa Kuna mvua Ile barabara changamoto.