Kazi za vibarua mkuu. Njoo tu karibu. Kuna nafasi 2 za hard workings vijana. Sio kazi ngumu kiviiiiiile ila sio lele mama.Mkuu nami Nina uhitajio naomba muongozo tafadhali
Aah Bora tu ukae bila kazi kuliko kuja uku nilipo maana Kila siku watu tunalalamika sana uku 50,000 haitoshiNaomba connection na mimi
Leta hilo dealAah Bora tu ukae bila kazi kuliko kuja uku nilipo maana Kila siku watu tunalalamika sana uku 50,000 haitoshi
We nipe ramani mkuuAah Bora tu ukae bila kazi kuliko kuja uku nilipo maana Kila siku watu tunalalamika sana uku 50,000 haitoshi
Kuna kale ka mimi ni wa daar 😀Mwanza alafu mbezi mwisho?
Muwe mnasoma mpaka mwsho wakuu
Kazi gani hiyo hadi ikamvunja mwana shingo usikute mlikua mnabeba injini ya scania.Huu Uzi Umenikumbusha Ilikuwa Mwaka Wa Kwanza Nimemaliza Field Nikajiuliza Nirudi Mkoani Au Nibaki Mjini Nitafute Kazi Nifanye.
Nikashauriana Na Mshikaji Wangu Baadae Akasema Amesikia Kuna Sehemu Per Day 10000/= Tukajazana Tukasema Mjini Kupata Kazi Rahisi Sana Yaani Mkoani Unapewa Shamba Kubwa au Kufwatua Tofali Unapata Pesa Ndogo, Ila Dar Kazi 10000. Tukasema Ndio Maana Wanasema Kuwa Ni Wanaume Wa Dar.
Eeh! Bana Eeh! Tumeenda Kwenye Kazi Kumbe Chakula Wanakata Hapo Hapo 3000 Inabaki 7000 . Tulifanya Kazi Hadi Jioni Tunategemea Kupewa Hiyo Buku Saba, Kumbe Hupewi Siku Hiyo Hiyo Unapewa Siku Inayofata Ili Usikimbie Kazi Siku Inayofata Maana Ile Kazi Ilikuwa Ya Kutumia Nguvu Sana Kwahiyo Hadi Jioni Mnakuwa Mmechoka Sana.
Ile Siku Usiku Niliona Thamani Ya Boom Kwa Kipindi Kile Ilikuwa Sijui 5000/7000 Kwa Siku Nikasema Serikali Inatupa Kiasi Kikubwa Sana Kisa Kuingia Darasani Tu.
Jamaa Yangu Alivunjika Shingo Kutokana Na Ile Kazi Ikabidi Ku_postpone.
Toka Siku Ile Huu Mji Niliheshimu.
Pole Sana Mkuu Na Imani Mungu Atajalia Utapata Kazi Maana Mambo Yote Duniani Yanatokea Kwa Muda.
Keep moving & striving.
Hakika mkuuKuna kale ka mimi ni wa daar 😀
Mkuu kama vipi tafuta connection hata vijiwe vya bodaboda uone kama unaweza kupata boda, ukiwa na boda baada ya muda mbona Hio pesa utatengeneza na zaidi kabisa, all the best
Kazi gani hiyo hadi ikamvunja mwana shingo usikute mlikua mnabeba injini ya scania.
Ila Big up sana mwanaume ni kujituma
masikini wanasumbua sana!!
Ni kwa bahkresa mzee??Huu Uzi Umenikumbusha Ilikuwa Mwaka Wa Kwanza Nimemaliza Field Nikajiuliza Nirudi Mkoani Au Nibaki Mjini Nitafute Kazi Nifanye.
Nikashauriana Na Mshikaji Wangu Baadae Akasema Amesikia Kuna Sehemu Per Day 10000/= Tukajazana Tukasema Mjini Kupata Kazi Rahisi Sana Yaani Mkoani Unapewa Shamba Kubwa au Kufwatua Tofali Unapata Pesa Ndogo, Ila Dar Kazi 10000. Tukasema Ndio Maana Wanasema Kuwa Ni Wanaume Wa Dar.
Eeh! Bana Eeh! Tumeenda Kwenye Kazi Kumbe Chakula Wanakata Hapo Hapo 3000 Inabaki 7000 . Tulifanya Kazi Hadi Jioni Tunategemea Kupewa Hiyo Buku Saba, Kumbe Hupewi Siku Hiyo Hiyo Unapewa Siku Inayofata Ili Usikimbie Kazi Siku Inayofata Maana Ile Kazi Ilikuwa Ya Kutumia Nguvu Sana Kwahiyo Hadi Jioni Mnakuwa Mmechoka Sana.
Ile Siku Usiku Niliona Thamani Ya Boom Kwa Kipindi Kile Ilikuwa Sijui 5000/7000 Kwa Siku Nikasema Serikali Inatupa Kiasi Kikubwa Sana Kisa Kuingia Darasani Tu.
Jamaa Yangu Alivunjika Shingo Kutokana Na Ile Kazi Ikabidi Ku_postpone.
Toka Siku Ile Huu Mji Niliheshimu.
Pole Sana Mkuu Na Imani Mungu Atajalia Utapata Kazi Maana Mambo Yote Duniani Yanatokea Kwa Muda.
Keep moving & striving.
Ndo ukomaeMe nalipwa 10k kwa siku ila kazi ni ya masimango asee afu naona ni ndogo kumbe Kuna watu wanashida
🤣🤣🤣🤣na kichwa Chako kichafu hicho.....msamehe bhanaTuvumilie Tu Mkuu Msituchoke.
Wengi mnakuja kwa gia hiyo mkishapewa connection mnaleta uduanzi.Wakuu naomba mnisaidie connection au sehemu ambayo naweza kupata kazi ya malipo ya kiasi cha shilingi elfu tano kwa siku MWANZA MJINI au ILEMELA kama ipo.
NB: Wakuu hata kazi ngumu za ujenzi pia kama zinapatika naomba mnielekeze nikaombe kazi.
Kiwandani kila siku wanachukua vibarua malipo ni 7000
Sio rahisi kuchaguliwa kila siku.Kiwandani kila siku wanachukua vibarua malipo ni 7000
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na kichwa Chako kichafu hicho.....msamehe bhana