Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Mkuu kwenye uzi wetu ule wa, wapi ulishudia nguvu za au kichawi mbona hujaiposti hiiNimemkumbuka pia mganga wa pale Ukerewe, alimrudishia jamaa bida zake zilizoibiwa, aliwapa watu wapige kazi boda mpya 3 alafu wao wakajiona masonko wakatoroka nazo kila mtu akahama mkoa, kilichofuatia kila mmoja wao anakuja mbio kutoka huko alikokuwa anapiga mwano anamtafuta mwenye boda na kuangukia pale pale anakata moto[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanakurupuka tu, waganga wa kweli wapo afu hawatangulizi pesa mbele, we nenda ukifanikiwa utakuja kutoa shukraniHaya mambo yaache kabisa sio ya kucheka mtu apatakapo shida ukiona mtu analishwa nyoka au nyeshwa mafuta ya taa na wachungaji biashara usimcheke.
Sikuwahi amini wala kuwahi kwenda kwa mganga,mapenzi yalinipeleka aisee nikaliwa 4 milioni na binti sikumpata akaolewa na jamaa aliyenipora kupitia ndumba.
Toka siku hio mganga wa matatizo yangu ni Mimi mwenyewe.
Mkuu umeandika kimasihara lakini hivyo vitu vpoKaribu sana mkuu huku Kwa Msisi Tanga! Mimi ni Mganga Bingwa wa masuala ya mahusiano!! [emoji3062]
Kumvuta mpenzi aliye mbali, kukubaliwa kirahisi tu bila kutongoza/kutongozwa, dawa ya kuoa/kuolewa na tajiri, kupata mwanaume mwenye mvuto na mwanamke pisi kali, nk!!
Mkuu huu uchawi upo asikwambie mtu, yaani atafanya juu chini akakope kwingineUkifikiria uganga wa kufanya mtu akulipe kweli haupo maana kama mtu hela hana atakulipaje sasa
Pole sana mkuuHaya mambo yaache kabisa sio ya kucheka mtu apatakapo shida ukiona mtu analishwa nyoka au nyeshwa mafuta ya taa na wachungaji biashara usimcheke.
Sikuwahi amini wala kuwahi kwenda kwa mganga,mapenzi yalinipeleka aisee nikaliwa 4 milioni na binti sikumpata akaolewa na jamaa aliyenipora kupitia ndumba.
Toka siku hio mganga wa matatizo yangu ni Mimi mwenyewe.
Halafu watu wanachukiliaga masihala mtu akiisema kama ulivyosema wewe, yaani hawaamini kama yule unaemdisi yupo humu JFMkuu ndiyo umefikia huku kweli? Mkuu tupo tayari kukulipa deni lako usiende kwa mganga ili utudondoshe. Naomba Jumapili tuonane kwa ajili ya kufanya malipo aisee.
Nifuate pm nikupe namba ila yupo Dar jamaaMkuu nahitaji mganga wa masuala ya mapenzi aisee. Kuna Mwanamke mmoja nataka nimkamate.
Mjini wapi, maana hata Matombo nako wana mjini kwao,, we inaonekana much knowMtumbatu wa Mjini ama?
Mjini wapi, maana hata Matombo nako wana mjini kwao,, we inaonekana much know
Mambo yako yatakuwa mabaya zaidi nenda kwa Yesu Kristo.Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Mimi Sio Mshirikina ukija kwangu hata una Shilingi Milioni 100 ukitaka kumuuwa mtu sifanyi kazi ya uchawi na wala ushirikina. Mimi ninawatibu watu wenye magonjwa sugu kama .Magonjwa wa Hepatitis B Virus,Ukimwi, Maradhi ya Figo kufeli, maradhi ya Saratani yote,Maradhi ya kisukari,Maradhi ya presha,Maradi ya Kiharusi aka (Stroke) Maradhi yote ya Wanawake Maradhi ya Tezi dume na Maradhi ya njia ya Mkojo aka UTI. Na Maradhi mengine mengi sija orothesha hapa.Nafikiri MziziMkavu na Mshana Jr ni washirikina, watakusaidia.
Mkuu nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia matatizo yako yanayo kusibu.Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Ukiwapata wa ushirikina waambie waje kwangu kaka mkubwaMimi Sio Mshirikina ukija kwangu hata una Shilingi Milioni 100 ukitaka kumuuwa mtu sifanyi kazi ya uchawi na wala ushirikina. Mimi ninawatibu watu wenye magonjwa sugu kama .Magonjwa wa Hepatitis B Virus,Ukimwi, Maradhi ya Figo kufeli, maradhi ya Saratani yote,Maradhi ya kisukari,Maradhi ya presha,Maradi ya Kiharusi aka (Stroke) Maradhi yote ya Wanawake Maradhi ya Tezi dume na Maradhi ya njia ya Mkojo aka UTI. Na Maradhi mengine mengi sija orothesha hapa.
Aiseee!!Haya mambo yaache kabisa sio ya kucheka mtu apatakapo shida ukiona mtu analishwa nyoka au nyeshwa mafuta ya taa na wachungaji biashara usimcheke.
Sikuwahi amini wala kuwahi kwenda kwa mganga,mapenzi yalinipeleka aisee nikaliwa 4 milioni na binti sikumpata akaolewa na jamaa aliyenipora kupitia ndumba.
Toka siku hio mganga wa matatizo yangu ni Mimi mwenyewe.
Ok Poa Mkuu.
Yesu ana huruma mno anachelewesha mambo aisee tunataka "fundi" amalize kazi fastaMambo yako yatakuwa mabaya zaidi nenda kwa Yesu Kristo.
Mimi Sio Mshirikina ukija kwangu hata una Shilingi Milioni 100 ukitaka kumuuwa mtu sifanyi kazi ya uchawi na wala ushirikina. Mimi ninawatibu watu wenye magonjwa sugu kama .Magonjwa wa Hepatitis B Virus,Ukimwi, Maradhi ya Figo kufeli, maradhi ya Saratani yote,Maradhi ya kisukari,Maradhi ya presha,Maradi ya Kiharusi aka (Stroke) Maradhi yote ya Wanawake Maradhi ya Tezi dume na Maradhi ya njia ya Mkojo aka UTI. Na Maradhi mengine mengi sija orothesha hapa.