Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Umeshindwa hata kusoma namba zao kwenye matangazo yao waliyobandika kwenye miti mitaani?
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
☆ Baba mkubwa wangu akifua nguo anarusha juu zina ganda ndio kuanika.

☆ Akisafiri anajitengeneza haonekani hivyo kwenye gari halipi nauli

☆Kama una ugomvi naye anapptea kimazingara


Kama anakufaa nikupe namba yake yupo Kicheba Maramba Tanga
 
Acheni hizo bana,
Yesu ataweza kutoa mtu shipa au kumpatia donda ndugu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6]
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
In short hakuna Mganga anayeweza saidia kulipwa deni lako mkuu.Muombe Mungu huwa anasaidia haraka zaidi.Sababu naona kabisa unavyoenda kutapeliwa zaidi
 
Kuweza kulipwa deni lako ni ngumu sana labda umharibie mishe zake,kamwaga ugali wako na wewe umwage mboga yake.
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Nenda Handeni Ila subiri mfungo uishe.
 
Back
Top Bottom