mkuu wa kijiji
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 966
- 1,052
Nimedhulimiwa na watu awataki kunilipa madeni yangu
Dk 20 nyingi watakutafuta wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimedhulimiwa na watu awataki kunilipa madeni yangu
Ukifikiria uganga wa kufanya mtu akulipe kweli haupo maana kama mtu hela hana atakulipaje sasaHakuna ndumba za kumfanya mdeni akulipe! Sana sana unatoa onyo na muda..
Muda ukipita dondosha mmoja halafu wengine wapate taarifa
Acheni hizo bana,Mimi Nina ushahidi wa kutosha.
Njoo kwa YESU KRISTO ALIYE HAI.
Dakika kumi nyingi
Utakapomtia uchizi watachanga hata ndugu zakeUkifikiria uganga wa kufanya mtu akulipe kweli haupo maana kama mtu hela hana atakulipaje sasa
Apo upo kundi gani mkuu?
☆ Baba mkubwa wangu akifua nguo anarusha juu zina ganda ndio kuanika.Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
[emoji28][emoji28],huwez kuwa mbobezi kwa kila sector,ili uwe professional hasa ,lazima u specialize category moja!! Ndo utawiva hasa.[emoji23][emoji23].Hahahahahahahaahahahaha nimecheka sana hii kumbe mmejicategorize kbs[emoji1787][emoji1787]
Ahhahaaaha unakwivaaaaa...dah...hii nchi hii raha sana[emoji28][emoji28],huwez kuwa mbobezi kwa kila sector,ili uwe professional hasa ,lazima u specialize category moja!! Ndo utawiva hasa.[emoji23][emoji23].
raha sana kuwa mwafrika aise!! Ha hahaha.Ahhahaaaha unakwivaaaaa...dah...hii nchi hii raha sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6]Acheni hizo bana,
Yesu ataweza kutoa mtu shipa au kumpatia donda ndugu??
In short hakuna Mganga anayeweza saidia kulipwa deni lako mkuu.Muombe Mungu huwa anasaidia haraka zaidi.Sababu naona kabisa unavyoenda kutapeliwa zaidiNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Mganga ana simu? Hapo ni kupigwa0712163245
Nipo Mvuti
Nenda Handeni Ila subiri mfungo uishe.Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
SI Bora tu ungeacha kuchangia kuliko kuchuma dhambi isiyo na ulazimaAcheni hizo bana,
Yesu ataweza kutoa mtu shipa au kumpatia donda ndugu??
Mi nachuma dhambi kivipi??SI Bora tu ungeacha kuchangia kuliko kuchuma dhambi isiyo na ulazima
Na mm ni pm namba yake mkuu, Kama hutojaliMkuu naomba contact zake. Please ni-PM na mimi....