Diss Meddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 590
- 1,291
Wabeja sana[emoji120]Karibu usukumani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabeja sana[emoji120]Karibu usukumani
Njoo MvutiJoseph M,toka lini umegeuka mganga?
Hadi kwenye Figo nnazoHapo utakuwa una chale za kutosha. Yaani umechanjwa hadi sehemu ya kutolea haja kubwa... Waganga ni washenzi hapo bado hawajakulaza makaburini.
Anatolewa sadaka kwa kuchinjwa au kuzikwa ila nyama yake hailiwi na mtu.Bali anampeleka wapi?
We sister kaa kwakutulia....hapa ni deal to deal kismati hai na wagangaNimekwambia nitajie shida moja ambayo Mungu haiwezi.
Halafu tutaendelea kujadili kuhusu hilo la mdogo wako.
Umeshindwa kujibu swali langu?We sister kaa kwakutulia....hapa ni deal to deal kismati hai na waganga
Pole sana, upo mkoa gani, Kuna mtumbatu ntakutumia namba yake PMKuna watu wamenidhulumu nawadai
Mimi nataka mwanamume wa kuoa mkuu! Fanya makaratee!awe mweusi! Sijali tajiri au maskini..ila nioe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ningekuoa ila wasukuma mmeua uchumi wetu sana
Hamisi K kapigwa ndefu na hakusaidika hukoTanga kwa msisi ni kiboko kama unataka namba upewe
Mkuu nimekutumia Message PM mda mrefu. Nasubiria jibu lako mkuu....Hadi kwenye Figo nnazo
Apo upo kundi gani mkuu?Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Mkuu naomba contact zake. Please ni-PM na mimi....Pole sana, upo mkoa gani, Kuna mtumbatu ntakutumia namba yake PM
Vp ulipata mganga?,tupe matokeo?.Kuna watu wamenidhulumu nawadai
Kakako ni marioo?
Mmh hii habari naona ni zaidi ya ulivyotusimulia... Pita na mmoja wengine watie adabu