Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Yesu kwetu ni rafiki
Hwambiwa haja pia
Ukiomba kwa Babaye
Maombi asikia.

Lakini twajikosesha
Twajitweka vibaya
Kwamba tulimwomba Mungu
Dua angesikia.

Una dhiki na maonjo?
Una mashaka pia?
Haifai kufa moyo maombi asikia.

Ni tabibu wa karibu
Tabibu wa ajabu
Na rehema za daima
Ni dawa yake njema.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Binti mlokole
 
Hivi tunavyozungumza ndgu yangu yupo mahakamani kuna kesi inayoendelea kwaajili yake shemj kaenda kushtaki kwakua ndgu yangu anamsumbua na ukicheki wana watoto 6 na yule hawara sasa katafuta gang wanamtafuta kwaajili ya kumuua, kuna black America mmoja ndio kaamua kumfadhili yupo ndani mda wote anatembea kwa kificho ficho, na huyo hawara ni kutoka congo. Wajumbe inauma hii sio utani utani
Mmh hii habari naona ni zaidi ya ulivyotusimulia... Pita na mmoja wengine watie adabu
 
Jibu...makanisa mawili ya kilokole yaliomba na kufunga baada ya mdogo wangu kuumwa ugonjwa ambao hospital hauonekani....akafariki...hapo ndipo nikaenda kwa wataalamu wakasema ashachukuliwa ni vile hatukujua mapema....Sasa kwa scenerio Kama hiyo utanambia Nini..? Alafu tu kifupi Namimi nshawahi kuwa mlokole Tena Yule wa kufunga Hadi tatu kavu...so Yesu yupo na anaponya..ila Mimi na waganga ...waganga na mimi,,,mpaka serikali iingilie kati mi ndo ntaacha kwenda kwa waganga
Nimekwambia nitajie shida moja ambayo Mungu haiwezi.
Halafu tutaendelea kujadili kuhusu hilo la mdogo wako.
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Mpaka karne hii mnategemea kuroga????
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu

Madalali wa ulozi
 
Back
Top Bottom