Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hiyo mambo kama una imani yako ya dini fanya maombi ama toa sadaka. Mimi yalinikuta mambo magumu sana mpaka nikakimbia nyumba nimeachia msala wapangaji.Wadau natafuta mganga bora kabisa atakaeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua Sana usiku.
Fafanua kidogo hapa.Kuna mmoja alipigwa miti ndani asubuhi alikuta tende mezani.
Ndio nilipangisha dada mmoja hapo kilichomkuta kitu kibaya sana. Alisema alikaa na mbegu za kiume wiki nzima zinatoka tu. Sasa sijui alifanywa mbele hata sijui.Fafanua kidogo hapa.
"kupigwa miti" unamaanisha alifanywa au
Utakuja kuwekewa madude mpaka utashangaa! Achana na hizo mambo. Kama unasali jitahidi sana kusali!!Wadau natafuta mganga bora kabisa atakaeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua Sana usiku.
Watu wa huko kwenu balaa[emoji23][emoji23]Ndio nilipangisha dada mmoja hapo kilichomkuta kitu kibaya sana. Alisema alikaa na mbegu za kiume wiki nzima zinatoka tu. Sasa sijui alifanywa mbele hata sijui.
Mtafute MshanaWadau natafuta mganga bora kabisa atakaeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua Sana usiku.
Namshauri aachane na hayo mambo atakuja kuua watoto wake. Nina historia mbaya sana na huu upuuzi wa kuzindika nyumba.Watu wa huko kwenu balaa[emoji23][emoji23]
Safari moja uanzisha nyingine. Anagalia sana mkuu king majuto usijejuta baada ya kumaliza safari zoteWadau natafuta mganga bora kabisa atakaeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua Sana usiku.
Nadhani atakusoma akuelewe akaombeweNamshauri aachane na hayo mambo atakuja kuua watoto wake. Nina historia mbaya sana na huu upuuzi wa kuzindika nyumba.