Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wadau natafuta mganga bora kabisa atakaeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua Sana usiku.
Wadau natafuta mganga bora kabisa atakaeizindika nyumba yangu kwani wachawi wananisumbua Sana usiku.
Una Complicate Mambo.
Yesu Anafanya bureee bila hata kuonana
naweza hiyo kazi lakini ni kwa Maombi Pekee..

na hakuna malipo yoyote maana tumepata bure na tugawe bure pia.
 
Mkuu, usikilize wanaokwambia mambo ya Yesu..walio wengi hata nyumba hawana.

Back to the topic.

Njoo pm nikuelekeze dawa simple ambayo hutatumia hata elfu 5 kuitengeneza na sitakuomba hata senti 1 kukuelekeza.
Nikikuomba hata senti 1 niripoti kwa mods au Maxence Melo nipigwe ban ya milele.
Karibu kama upo serious
 
Pote masharti magumu kwa Yesu na kwa mganga
Kwa dunia ya sasa hivi kwa Mungu na kwenyewe masharti magumu
 
Mungu ana masharti gani?
Kutumia kilevi chochote kile ni dhambi
Kuvaa vimini kama avatar yako ilivyo ni dhambi tena wao wanauita ni ushetani
Kumuangalia mwanamke na kumtamani tayari ni dhambi eti ushazini na kuzini ni dhambi
Jichanganye kupenda nyimbo Za akina Harmonize na Rick Ross ni dhambi inabidi tuimbe pambio na za kuabudu masharti ni mengi in short kote ni kugumu
 
Mkuu, usikilize wanaokwambia mambo ya Yesu..walio wengi hata nyumba hawana.

Back to the topic.

Njoo pm nikuelekeze dawa simple ambayo hutatumia hata elfu 5 kuitengeneza na sitakuomba hata senti 1 kukuelekeza.
Nikikuomba hata senti 1 niripoti kwa mods au Maxence Melo nipigwe ban ya milele.
Karibu kama upo serious
Toa dawa hapa! Watu wote tunufaike bila kutumia buku 5 maana kero za hawa wangese zimezidi
 
Ndio nilipangisha dada mmoja hapo kilichomkuta kitu kibaya sana. Alisema alikaa na mbegu za kiume wiki nzima zinatoka tu. Sasa sijui alifanywa mbele hata sijui.
Ulimwachia msala mwenzako,ungebaki hapo ungeliwa wewe..!
 
Kuzindika ni kutafuta vita na watu bora uwe mweupe wasihangaike na wwe maana uchawi wa mswahili ni kushindana na visivyotija na sio maendeleo kama uchawi wa weupe.
 
Safari moja uanzisha nyingine. Anagalia sana mkuu king majuto usijejuta baada ya kumaliza safari zote
True ukishaanza mbio kwa waganga utawamaliza wote na utopata solution.
Huwezi logwa kama wewe una positive power.Dunia kuna nguvu mbili hasi au chanya unachagua ipi utembee nayo.Nguvu ya
Uchawi haupiti ukiwa positive power SAwa na umeme kwenye plastic au mbao unakosa connection,ila ukiwa mshirikina au nguvu hasi utarogwa hadi ukome.
Wengine tumelogwa tungali tumboni hadi leo tunarogwa lakini tupo imara hatulogeki sababu ya positive power.
 
Kutumia kilevi chochote kile ni dhambi
Kuvaa vimini kama avatar yako ilivyo ni dhambi tena wao wanauita ni ushetani
Kumuangalia mwanamke na kumtamani tayari ni dhambi eti ushazini na kuzini ni dhambi
Jichanganye kupenda nyimbo Za akina Harmonize na Rick Ross ni dhambi inabidi tuimbe pambio na za kuabudu masharti ni mengi in short kote ni kugumu
Sasa tufanyeje?
 
Back
Top Bottom