Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Sasa tufanyeje?
Muishike dini kama roho zenu😂😂😂 aisee mie ndio maana mambo ya dini yamenishinda maana unafiki siwezi!

I love eating cookies,,,dini inakataza
I love music,,,dini inakataza
I like booze,,,dini inakataa

How the hell will life be! Ukienda upande mwengineo kule ndio balaa maana utakuwa mtumwa milele na ukikosea masharti linakukuta jambo! Bora upande wa dini huku hata usipofata masharti hudhuriki!
 
Tafuta Watu/mtu yeyote aliyemwamini Yesu na kuokolewa aje kukufanyia maombi ndani ya nyumba yako! Hutawasikia tena wakikaribia bali utawasikia mtaani wakisema kuwa huyo jamaa ni moto wa kuotea mbali.
Hakuna uchawi wala uganga mbele ya Yesu Kristo!
 
Muishike dini kama roho zenu[emoji23][emoji23][emoji23] aisee mie ndio maana mambo ya dini yamenishinda maana unafiki siwezi!

I love eating cookies,,,dini inakataza
I love music,,,dini inakataza
I like booze,,,dini inakataa

How the hell will life be! Ukienda upande mwengineo kule ndio balaa maana utakuwa mtumwa milele na ukikosea masharti linakukuta jambo! Bora upande wa dini huku hata usipofata masharti hudhuriki!
Utelezi ndo booze?[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]

Ila Mungu ni mwema na dhambi zetu lakini anatusaidia hivo hivo daah

Binafsi kanisaidia mnoo japo sio msafi hata chembe

Hivo hivo unakomaa nae, ukisema umuache asee devil ni anakufirigisa maini hamna rangi unaacha ona[emoji848][emoji848]
 
Utelezi ndo booze?[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]

Ila Mungu ni mwema na dhambi zetu lakini anatusaidia hivo hivo daah

Binafsi kanisaidia mnoo japo sio msafi

Hivo hivo unakomaa nae, ukisema umuache asee devil ni anakufirigisa maini hamna rangi unaacha ona[emoji848][emoji848]
No booze ni bwaxi 😆😆😆
 
Wadau natafuta mganga bora kabisa atakayeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua sana usiku.
Zindiko ni sayansi endelevu....

Ukishaizindika nyumba yako au hata mwili wako unakuwa umejiwekea alama kwamba wachawi wote wanakuona... Chapa 666

Sasa kwa kawaida wachawi huwa hawapendi kushindwa, wana ushirikiano wa ajabu sana... watakujaribu jaribu kuona ubora wa zindiko lako...wakiona hawawezi basi watalifikisha kwenye mikutano yao ya kata, wilaya, mkoa, kanda na hata Taifa kuhakikisha wanalifumbua zindiko lako na kukupa adhabu ya kuwasumbua.

Sasa wakati wanajaribu jaribu yule aliyekufanyia na yeye atakuwa anaona kwa hiyo mara kwa mara atakuwa anakufanyia updates..kifupi hayo yatakuwa mashindano endelevu.

Nakushauri achana na hayo mambo yatakupotezea muda wako na fedha.

Mungu atosha kupitia damu ya Yesu.
 
Wadau natafuta mganga bora kabisa atakayeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua sana usiku.
Nakushauri umurudie Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Mungu aliye hai na ukimwamini na kukiri kwa IMANI hao wachawi SI CHOCHOTE WALA LOLOTE. Amini tu na utawashinda hao wachawi! Hapa hoja na kuamini tu!
 
Positive and negative power

Screenshot_20210714_121319.jpg


Screenshot_20210714_121253.jpg


Screenshot_20210714_121307.jpg
 
Mkuu, usikilize wanaokwambia mambo ya Yesu..walio wengi hata nyumba hawana.

Back to the topic.

Njoo pm nikuelekeze dawa simple ambayo hutatumia hata elfu 5 kuitengeneza na sitakuomba hata senti 1 kukuelekeza.
Nikikuomba hata senti 1 niripoti kwa mods au Maxence Melo nipigwe ban ya milele.
Karibu kama upo serious
Kipofu unataka kumvusha barabara Kipofu mwenzake.Yesu ndio mambo yote .shukuru Mungu amekujaria kupata nyumba isiwadhihaki wengine jitahidi kuwaombea nao wamiliki zao
 
Si ni Tanga ndiyo kunaogoza uwepo wa waganga au ule utafiti feki?
 
Back
Top Bottom