Mimi napiga bangi balaa kwa hiyo hawa wajinga watakuwa wananipita kushotoWewe tafuta jani la bangi washa hapo MAENEO ya kwako hakuna kiumbe wa ajabu atasogelea hapo.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Nilikuwa kwa Yesu masharti yakawa magumu yakanishinda nikatoka huku kwa waganga bado sijakutana na shida kubwa ya kunishinda hadi kwenda huko bado nipo kati katiWewe huwa unafanyaje?
HaahaahaaMimi napiga bangi balaa kwa hiyo hawa wajinga watakuwa wananipita kushoto
Nilikuwa kwa Yesu masharti yakawa magumu yakanishinda nikatoka huku kwa waganga bado sijakutana na shida kubwa ya kunishinda hadi kwenda huko bado nipo kati kati
Yap ila nikipata shida nitaenda sehemu ambayo sitokatazwa pombe na wanawakeHaahaahaa
Kwahiyo Kwa sasa upo upo tu ?
Ok mkuu pamokoYap ila nikipata shida nitaenda sehemu ambayo sitokatazwa pombe na wanawake
Nitafute Mimi Kwa Wakati nipate kukuzindikia nyumba yako ili wachawi wasiweze kuingia tena nyumbani kwako na kukuchezea usiku .Wadau natafuta mganga bora kabisa atakayeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua sana usiku.
Hayaja kukuta yakisha kupata utajuwa kuwa kuna wachawi na wachawi ni viumbe wabaya sana katika hii dunia usiombe yakukute Mkuu utajuta kuzaliwa.Wanakusumbuaje? Hizo imani tu punguza hofu.
😂😂😂😂jamii forum is never boringMkuu, usikilize wanaokwambia mambo ya Yesu..walio wengi hata nyumba hawana.
Back to the topic.
Njoo pm nikuelekeze dawa simple ambayo hutatumia hata elfu 5 kuitengeneza na sitakuomba hata senti 1 kukuelekeza.
Nikikuomba hata senti 1 niripoti kwa mods au Maxence Melo nipigwe ban ya milele.
Karibu kama upo serious
Sitaki hata kuishi katika hizo siku za kukumbukaTuhadithie basi mzee baba, masikio yamenisimama hapa...
Kuua sio mpaka uambiwe hilo zindiko linaweza kuwa hata jini linaua watoto fungua akili basi.
Sawa mganga mzindikaji, mpe offer basi ya kumzindikia free....Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza..watoto wa dot com hamuwez kuelewa kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
KUZINDIKA AU KUSINDIKA? sijaelewa vizuri.Wadau natafuta mganga bora kabisa atakayeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua sana usiku.
Hivi na nyumba za wazungu nao hukutana na mauzauza kama hayo ama
Nisimulie jamaniSitaki hata kuishi katika hizo siku za kukumbuka
KUZINDIKA nyumba ni kufanya dawa ya kukinga nyumba isipatwe na uchawi na majini wachafu pia wasiweze kuingia ndani ya nyumba unapo ishi ndio kuzindika. Kwa kifupi kuikinga nyumba dhidi ya wachawi,majini na wezi pia.KUZINDIKA AU KUSINDIKA? sijaelewa vizuri.
Bado mtoto wewe haujakua ukishakua na kuujua Ulimwengu usingeuliza maswali ya kijinga hiviUlijuaje kuna kuua au kuna jini la kuua ..nataka kujua ulijuaje haya yote kuhusu mazindiko
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri tu usije kujichanganya ukafanya zindiko la nyumba utajuta na hii dunia.Nisimulie jamani