Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wewe tafuta jani la bangi washa hapo MAENEO ya kwako hakuna kiumbe wa ajabu atasogelea hapo.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mimi napiga bangi balaa kwa hiyo hawa wajinga watakuwa wananipita kushoto
Wewe huwa unafanyaje?
Nilikuwa kwa Yesu masharti yakawa magumu yakanishinda nikatoka huku kwa waganga bado sijakutana na shida kubwa ya kunishinda hadi kwenda huko bado nipo kati kati
 
Mimi napiga bangi balaa kwa hiyo hawa wajinga watakuwa wananipita kushoto

Nilikuwa kwa Yesu masharti yakawa magumu yakanishinda nikatoka huku kwa waganga bado sijakutana na shida kubwa ya kunishinda hadi kwenda huko bado nipo kati kati
Haahaahaa


Kwahiyo Kwa sasa upo upo tu ?
 
Kuna kila dalili mwaka mmoja ujao nawe utakuwa kigagula
 
Mkuu, usikilize wanaokwambia mambo ya Yesu..walio wengi hata nyumba hawana.

Back to the topic.

Njoo pm nikuelekeze dawa simple ambayo hutatumia hata elfu 5 kuitengeneza na sitakuomba hata senti 1 kukuelekeza.
Nikikuomba hata senti 1 niripoti kwa mods au Maxence Melo nipigwe ban ya milele.
Karibu kama upo serious
😂😂😂😂jamii forum is never boring
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
KUZINDIKA AU KUSINDIKA? sijaelewa vizuri.
KUZINDIKA nyumba ni kufanya dawa ya kukinga nyumba isipatwe na uchawi na majini wachafu pia wasiweze kuingia ndani ya nyumba unapo ishi ndio kuzindika. Kwa kifupi kuikinga nyumba dhidi ya wachawi,majini na wezi pia.
 
Back
Top Bottom