Mbuguni TPC
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 535
- 405
walewaleKuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
Una uhakika wanazo hizo pesa za kukulipa?Nimedhulimiwa na watu awataki kunilipa madeni yangu
Kama ni watu humu JF wapo kama wawili mshana na mzizimkavu. Ila kama ni eneo nenda mkoani simiyu sehemu moja panaitwa GamboshiNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Afrika!!! Mhe. Mwigulu hivi wale wapaka kucha rangi wanalipa tozo? Nahisi wanawateja sana waongezewe tu hamna namna!Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
sikuwa makini, wakati nafungua ndyo nakajua lengo la jamaa na nikarejea vizuri tittle.
Aisee naomba unipm nipate namba zako nitakuja mwanza...๐ก๐ท๐ผ๐ผ ๐ป๐ถ๐ธ๐๐ฝ๐ฒ ๐ป๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐บ๐๐ ๐ณ๐น๐ฎ๐ป๐ถ ๐ฎ๐๐ถ๐ฒ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐ฒ๐น๐ฒ๐น๐ฒ. ๐ ๐ฎ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ผ ๐๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐ธ๐ถ๐ฎ ๐ต๐๐ธ๐ผ ๐ต๐๐ธ๐ผ ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ.
๐จ๐ธ๐ถ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ฎ๐ธ๐๐ณ๐ฎ๐ป๐๐ถ๐ฒ ๐๐ต๐๐ด๐ต๐๐น๐ถ ๐ป๐ท๐ผ๐ผ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐บ๐๐ผ๐ป๐ฎ๐ป๐ฒ
๐๐ถ๐ป๐ฎ ๐น๐ผ๐ป๐ด๐ผ ๐น๐ผ๐ป๐ด๐ผ ๐ท๐๐ ๐๐ฎ ๐ต๐ถ๐น๐ถ, ๐ฎ๐ธ๐ถ๐ธ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐น๐ถ ๐ป๐ท๐ผ๐ผ ๐๐ป๐ถ๐๐บ๐ฏ๐๐ฒ ๐ต๐ฎ๐ฝ๐ฎ ๐ท๐ณ
Mwafrika hamjui yesu Wala Muhammad,achana madini za kuletwa nduguNjoo kwa Kristo wewe jamaa, achana na hao watumishi wa ibilisi.
YESU NI MWOKOZI
Unataka kumuelekeza kwa adamu ngaidoa au Nan pale???Kama upo dar panda gar zakwenda tanga muda huu shuka kwedikazu karibu na Kabuku alafu niambie nikupe maelekezo au nenda mpka muheza pale kabla ya kufika muheza stend Kijiji Cha mwisho Kuna matunda na traffic huwa wanasimama shuka hapo alafu nikupe maelekezo
HahahahaNenda kule mlimani Ugweno, zungumza na wazee. Wanunulie kahawa na uwe na kauli nzuri.
Kama umepata mganga niambie na mimi aisee Kuna mtu nataka nimpige radi ya kiuno sitaki ushauriNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Hebu nipe na mimi๐ก๐ท๐ผ๐ผ ๐ป๐ถ๐ธ๐๐ฝ๐ฒ ๐ป๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐บ๐๐ ๐ณ๐น๐ฎ๐ป๐ถ ๐ฎ๐๐ถ๐ฒ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐ฒ๐น๐ฒ๐น๐ฒ. ๐ ๐ฎ๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ผ ๐๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐ธ๐ถ๐ฎ ๐ต๐๐ธ๐ผ ๐ต๐๐ธ๐ผ ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ.
๐จ๐ธ๐ถ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ฎ๐ธ๐๐ณ๐ฎ๐ป๐๐ถ๐ฒ ๐๐ต๐๐ด๐ต๐๐น๐ถ ๐ป๐ท๐ผ๐ผ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ ๐บ๐๐ผ๐ป๐ฎ๐ป๐ฒ
๐๐ถ๐ป๐ฎ ๐น๐ผ๐ป๐ด๐ผ ๐น๐ผ๐ป๐ด๐ผ ๐ท๐๐ ๐๐ฎ ๐ต๐ถ๐น๐ถ, ๐ฎ๐ธ๐ถ๐ธ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฒ๐น๐ถ ๐ป๐ท๐ผ๐ผ ๐๐ป๐ถ๐๐บ๐ฏ๐๐ฒ ๐ต๐ฎ๐ฝ๐ฎ ๐ท๐ณ
Hebu Peana maelezo ni wapi anapatikanaHabari mkuu.
Samahani naomba unielekeze vizuri namna ya kumpata huyu mganga.
Ahsante Mkuu,naomba namba zake tafadhari
Wataka ukamroge nani?Kama malipo ni baada ya kazi naomba namba yake mkuu
Kuna mtu ananisumbua sana kwa kweli. Mwaka wa tatu huu sasa mbishi 'kunielewa', sijui kashikwa na nani AR huko. Ngoja nijaribu upande huu labda atalegeza ................Wataka ukamroge nani?
Basi ukipata hiyo namba ya mganga unipee namimi nimgangie mtu yuko huko nchi ya watu kila siku anaahidi kuja na haji.Kuna mtu ananisumbua sana kwa kweli. Mwaka wa tatu huu sasa mbishi 'kunielewa', sijui kashikwa na nani AR huko. Ngoja nijaribu upande huu labda atalegeza ................
Je unafahamu kwenda kwa mganga ni kuingia mkataba na mapepo for short term results? unaijiingiza wewe na vizazi vyako kwenye laana kubwa sana. Mungu hachezewi, aya mkuu, kila mtu ana Mungu wake au sio?Nimedhulimiwa na watu awataki kunilipa madeni yangu