Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?


Kwedikwazu panao wengi sana
 
0753 966 345 Kigoma Moja hiyo[emoji28]
Me napenda tu ambavyo hauna unafiki, humu kuna raia zinajikuta kuponda ilhali ni waumini wakubwa tu wa haya mambo.

Hii dunia hauwezi kuiendea kichwakichwa, kisha utarajie kupata.
 
Waganga wapo tofauti tofauti mkuu kwenye secta maalumu yaani kila mmoja na utaalam wake zaidi kwenye jambo fulani yaani wapo wataalamu wa

Kuua
Wapo mapenzi
Wapo kuchizisha watu
Wapo wa kukusaidia kupata utajiri
Wapo wa kuponya
Wapo wa kutia watu ulemavu
Wapo wa kutengeneza ajari
Wapo wa radi
Wapo wa biashara
Wapo wa chuma ulete
Wapo wa kila aina tofauti tofauti kama unavyoona madoctor yaani doctor wa meno na wa macho tofauti je? Wewe mkuu inahitaji mganga professional kwenye jambo gani?
 
Wa biashara mkuu
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Mimi nipo serious namtaka huyo ambaye anaua na kuharibu na sana sana anayeharibu maisha ya watu ni takushukuru
 
Mkuu mm nahitaji wa mvuto wa kibiashara kama unaye na wauhakika njia hii ya tanga nipe msaada plz
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Unamtafuta mganga peace kali au?
 
Duuh mkuu kuwa na huruma
Sisi sote nindugu
Na mm namba

Mkuu ninaomba namba yko
 
WEKA namba hapa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…