Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Kama upo dar panda gar zakwenda tanga muda huu shuka kwedikazu karibu na Kabuku alafu niambie nikupe maelekezo au nenda mpka muheza pale kabla ya kufika muheza stend Kijiji Cha mwisho Kuna matunda na traffic huwa wanasimama shuka hapo alafu nikupe maelekezo

Kwedikwazu panao wengi sana
 
Waganga wapo tofauti tofauti mkuu kwenye secta maalumu yaani kila mmoja na utaalam wake zaidi kwenye jambo fulani yaani wapo wataalamu wa

Kuua
Wapo mapenzi
Wapo kuchizisha watu
Wapo wa kukusaidia kupata utajiri
Wapo wa kuponya
Wapo wa kutia watu ulemavu
Wapo wa kutengeneza ajari
Wapo wa radi
Wapo wa biashara
Wapo wa chuma ulete
Wapo wa kila aina tofauti tofauti kama unavyoona madoctor yaani doctor wa meno na wa macho tofauti je? Wewe mkuu inahitaji mganga professional kwenye jambo gani?
 
Waganga wapo tofauti tofauti mkuu kwenye secta maalumu yaani kila mmoja na utaalam wake zaidi kwenye jambo fulani yaani wapo wataalamu wa

Kuua
Wapo mapenzi
Wapo kuchizisha watu
Wapo wa kukusaidia kupata utajiri
Wapo wa kuponya
Wapo wa kutia watu ulemavu
Wapo wa kutengeneza ajari
Wapo wa radi
Wapo wa biashara
Wapo wa chuma ulete
Wapo wa kila aina tofauti tofauti kama unavyoona madoctor yaani doctor wa meno na wa macho tofauti je? Wewe mkuu inahitaji mganga professional kwenye jambo gani?
Wa biashara mkuu
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Mimi nipo serious namtaka huyo ambaye anaua na kuharibu na sana sana anayeharibu maisha ya watu ni takushukuru
 
Waganga wapo tofauti tofauti mkuu kwenye secta maalumu yaani kila mmoja na utaalam wake zaidi kwenye jambo fulani yaani wapo wataalamu wa

Kuua
Wapo mapenzi
Wapo kuchizisha watu
Wapo wa kukusaidia kupata utajiri
Wapo wa kuponya
Wapo wa kutia watu ulemavu
Wapo wa kutengeneza ajari
Wapo wa radi
Wapo wa biashara
Wapo wa chuma ulete
Wapo wa kila aina tofauti tofauti kama unavyoona madoctor yaani doctor wa meno na wa macho tofauti je? Wewe mkuu inahitaji mganga professional kwenye jambo gani?
Mkuu mm nahitaji wa mvuto wa kibiashara kama unaye na wauhakika njia hii ya tanga nipe msaada plz
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Unamtafuta mganga peace kali au?
 
Duuh mkuu kuwa na huruma
Sisi sote nindugu
Na mm namba
Kama uko serious tafuta usafiri wa toka hapo ulipo uende mpaka simiyu(bariadi mjini),kama utakua unatokea upande wa mwanza utashuka stendi ya somanda ama bariadi mjini, utapanda boda mpaka lugulu kwa buku tano na kama unatokea shinyanga utawaambia wakushushe lugulu. Baada ya hapo kuna kama vijiji viwili sijavishika jina(kama uko serious)utanifata PM nitakupatia namba za wenyeji watakaokupokea na kukupeleka eneo husika..
Mtaalam sio mzee ni kijana mwenye weledi na hataki pesa yako zaidi ya elfu mbili(2000)kabla ya kukuganga.malipo yake ni ahadi tu baada ya kufanikiwa utarudi kutoa shukrani.

Mkuu mambo unayotaka kuyajaribu uwe na moyo.

Nimeeka haya maelekezo kwa kumsaidia mtoa mada na wala sifanyi biashara wala kumpigia mganga yeyote promo, naomba muhusika kama atafanikiwa kwenda huko aje alete mrejesho na awape na wengine kwa faida yao, nitabeba dhambi moja, dhambi zingine jibebesheni wenyewe kwa wenyewe.
Mkuu ninaomba namba yko
 
Kuna mmama mmoja ni hatari huyo..yupo songwe..kama upo interested ni Pm..yeye unatoa hela yoyote ila isipungue 10k..yupo songwe milimani milimani huko..huyo ambae hatak kukulipa atakutafuta mwenyewe na hela atakupa...ila lzm uende mwenyewe kumuona..haagui mtu akiwa mbali
WEKA namba hapa mkuu
 
Back
Top Bottom