Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Haya mambo yaache kabisa sio ya kucheka mtu apatakapo shida ukiona mtu analishwa nyoka au nyeshwa mafuta ya taa na wachungaji biashara usimcheke.
Sikuwahi amini wala kuwahi kwenda kwa mganga,mapenzi yalinipeleka aisee nikaliwa 4 milioni na binti sikumpata akaolewa na jamaa aliyenipora kupitia ndumba.
Toka siku hio mganga wa matatizo yangu ni Mimi mwenyewe.
 
Haya mambo yaache kabisa sio ya kucheka mtu apatakapo shida ukiona mtu analishwa nyoka au nyeshwa mafuta ya taa na wachungaji biashara usimcheke.
Sikuwahi amini wala kuwahi kwenda kwa mganga,mapenzi yalinipeleka aisee nikaliwa 4 milioni na binti sikumpata akaolewa na jamaa aliyenipora kupitia ndumba.
Toka siku hio mganga wa matatizo yangu ni Mimi mwenyewe.
Hahahaha

Ova
 
Haya mambo yaache kabisa sio ya kucheka mtu apatakapo shida ukiona mtu analishwa nyoka au nyeshwa mafuta ya taa na wachungaji biashara usimcheke.
Sikuwahi amini wala kuwahi kwenda kwa mganga,mapenzi yalinipeleka aisee nikaliwa 4 milioni na binti sikumpata akaolewa na jamaa aliyenipora kupitia ndumba.
Toka siku hio mganga wa matatizo yangu ni Mimi mwenyewe.
Chief pole kwa kupelekwa kwa mtaalam feki,,tatizo ni kwamba matapeli wamegundua huo ni fursa basi wanatembea na matatizo yetu . Next time ukiihitaji connection ya ukweli njoo inbox [emoji23]
 
Chief pole kwa kupelekwa kwa mtaalam feki,,tatizo ni kwamba matapeli wamegundua huo ni fursa basi wanatembea na matatizo yetu . Next time ukiihitaji connection ya ukweli njoo inbox [emoji23]
Sipo huko tena mzee.But matatizo hayapigi hodi
 
Kuna watu ni mabingwa wanajua kucheza na akili za watu, kupitia matatizo mtu aliyonayo basi watu wanapata fursa na kupenyeza utapeli wao na mwisho wa siku mtu anakuja kushtuka ashaumia ..
Mjini ng'ombe ni wengi awaishi na hawa matapeli utengeneza pesa nyingi Sana
 
Nenda ukapigwe Chale ukasaini mkataba wa Damu kuzima wanakuona kwa haraka kwa sababu kuna Antena ipo mwilini mwako
 
Yesu kwetu ni rafiki
Hwambiwa haja pia
Ukiomba kwa Babaye
Maombi asikia.

Lakini twajikosesha
Twajitweka vibaya
Kwamba tulimwomba Mungu
Dua angesikia.

Una dhiki na maonjo?
Una mashaka pia?
Haifai kufa moyo maombi asikia.

Hakuna mwingine mwema
Wa kutuhurumia
Atujua tu dhaifu
Maombi asikia.

Ni tabibu wa karibu
Tabibu wa ajabu
Na rehema za daima
Ni dawa yake njema.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kwa pamoja tuseme Aminaaaaaaa.
 
Mkuu ndiyo umefikia huku kweli? Mkuu tupo tayari kukulipa deni lako usiende kwa mganga ili utudondoshe. Naomba Jumapili tuonane kwa ajili ya kufanya malipo aisee.
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Mkuu nahitaji mganga wa masuala ya mapenzi aisee. Kuna Mwanamke mmoja nataka nimkamate.
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Na wengine fani yao kutoa majini
Wengine kukupa mvuto
Wengine kukupa utajiri

Yaani wanafani nyingi
 
Back
Top Bottom