Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mnayemtafuta ni shetani na hana huruma na nyie mtaangamia.Yesu ana huruma mno anachelewesha mambo aisee tunataka "fundi" amalize kazi fasta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kakako ni marioo?
Hahahahahahahaahahahaha nimecheka sana hii kumbe mmejicategorize kbs🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi siku ya kwenda kwa.mganga atanifukuza!...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mambo yaache kabisa sio ya kucheka mtu apatakapo shida ukiona mtu analishwa nyoka au nyeshwa mafuta ya taa na wachungaji biashara usimcheke.
Sikuwahi amini wala kuwahi kwenda kwa mganga,mapenzi yalinipeleka aisee nikaliwa 4 milioni na binti sikumpata akaolewa na jamaa aliyenipora kupitia ndumba.
Toka siku hio mganga wa matatizo yangu ni Mimi mwenyewe.
Nilijua kisayansi zaidi kumbe had huku ..asalaaleKwani we ukisikia specialist unaaelewaga nini 😂
Kamvunjie chungu cha kiarusha/kimeru watakuwa wanazika kila wiki mpaka arudishe mali au aseme zilipo.Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Hahahahahahahaahahahaha nimecheka sana hii kumbe mmejicategorize kbs🤣🤣
Nimedhulimiwa na watu awataki kunilipa madeni yangu
tena wafanye kuvunja "chungu pori" kinakausha mpaka miti inayozunguka nyumba ya mtuhumiwa.Kamvunjie chungu cha kiarusha/kimeru watakuwa wanazika kila wiki mpaka arudishe mali au aseme zilipo.
Btw, uuaji ni dhambi
Duuh mkuu kuwa na huruma
Sisi sote nindugu
Nashangaa:Yaani matangazo yote yale wanayobandika kwenye miti na mistimu umekosa wa kukusaidia!!!
[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app