Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Kwa hapa hutopata mtu wa maana, nenda tu Korogwe Tanga au sehemu yeyote Tanga utapa waganga wazuri.
 
Kama uko serious tafuta usafiri wa toka hapo ulipo uende mpaka simiyu(bariadi mjini),kama utakua unatokea upande wa mwanza utashuka stendi ya somanda ama bariadi mjini, utapanda boda mpaka lugulu kwa buku tano na kama unatokea shinyanga utawaambia wakushushe lugulu. Baada ya hapo kuna kama vijiji viwili sijavishika jina(kama uko serious)utanifata PM nitakupatia namba za wenyeji watakaokupokea na kukupeleka eneo husika..
Mtaalam sio mzee ni kijana mwenye weledi na hataki pesa yako zaidi ya elfu mbili(2000)kabla ya kukuganga.malipo yake ni ahadi tu baada ya kufanikiwa utarudi kutoa shukrani.

Mkuu mambo unayotaka kuyajaribu uwe na moyo.
Nipe namba tafadhali
 
Nenda saluni za kike wanakosuka nywele ukaulizie. Wale wasusi wanawajua sana mafundi especially wale singo mazas.
Kila tatizo Lao linahusishwa na ushirikina
 
Nimedhulimiwa na watu awataki kunilipa madeni yangu
Kuna mmama mmoja ni hatari huyo..yupo songwe..kama upo interested ni Pm..yeye unatoa hela yoyote ila isipungue 10k..yupo songwe milimani milimani huko..huyo ambae hatak kukulipa atakutafuta mwenyewe na hela atakupa...ila lzm uende mwenyewe kumuona..haagui mtu akiwa mbali
 
Nenda Tanga
Screenshot_20210623-202121.jpeg
 
Salaam wana JF,
Naandika kwa hasira na kwa uchungu sana juu ya walichonifanyia wezi. Wamenitia hasara kubwa sana inayoenda kugharimu maisha yangu. Najua wapo watakaonishauri nimwachie Mungu, lakini pamoja na hayo, lazima nianzie ngazi za chini kabla ya kulifikisha kwa Mungu. Kwa anayemjua mtaalam mzuri wa kweli na ambaye pengine mwenye ushuhuda wa kazi yake, naomba anisaidie tafadhali.
Inauma sana.
pole mkuu,Kuna jamaa angu anaishi kyela ni ticha, jamaa walimuibia pkpk yake mpya mwaka juz,jamaa alitafuta hakufanikiwa kuipata,alichokifanya ni story pale mtaani kwao,wale wazi walirudisha wenyewe ile pkpk kituo Cha polisi[emoji23][emoji23][emoji23],nilipomuuliza ilikuwaje akasema aise niliamua niludi nyumbani kwanza ,yy ni mwejeji wa sumbawanga.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].wale wezi walijuta aise waliirudisha ile pkpk wenyewe!!!.hii dunia inawatu wababe aise
 
Mm nataka wakumfanya mtu awe mwendawazimu /chizi ,dili likiwa fresh zawadi nono itatolewa hata kwako wewe ulieunganisha kwa mganga.
0784 411 922 huyo mganga yupo kwa lulenge dar , alinisaidia kesi mahakamani
 
Salaam wana JF,
Naandika kwa hasira na kwa uchungu sana juu ya walichonifanyia wezi. Wamenitia hasara kubwa sana inayoenda kugharimu maisha yangu. Najua wapo watakaonishauri nimwachie Mungu, lakini pamoja na hayo, lazima nianzie ngazi za chini kabla ya kulifikisha kwa Mungu. Kwa anayemjua mtaalam mzuri wa kweli na ambaye pengine mwenye ushuhuda wa kazi yake, naomba anisaidie tafadhali.
Inauma sana.
0784 411 922 huyo anisaidia mimi
 
Waganga wa ukweli huwa wanakuja na solution za matatizo yetu faster huku tukiendelea na ibada zetu iwe kanisani au msikitini.
yes kuna mmoja alimtatulia shida jamaa yangu baada ya hapo alipoona jamaa kaponea kwenye tundu la sindano akamwambia kama wewe ni mkristo Nenda kanisani au kama muislamu kaswali..umshukuru Muumba wako!
 
Usiku wa kuamkia leo, vibaka wamekata dirisha na kuniibia vitu mbalimbali, kwa hasira niliyo nayo na umaskini walionitia natafuta mganga wa kienyeji ili warudishe vitu vyangu na niwape fundisho ili wajue duniani hakuna vya bure.

Kwa Dar wapi nitapata mganga mzuri jamani?

Nipo serious
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naimani ukisikia sehemu wanaua mwizi hutojiuliza mara mbili kushiriki, pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom