Well saidpublic cha kuchuchumaa (kukaa kila mtu sioni kama ni nzuri)
kwako na kwa watoto cha kukaa, Wazazi wakija watatumia cha watoto
Well saidKiafya nashauri
Choo cha kukaa kiwe kwenye master rooms
Chuchumaa kwenye public toilets.
Kwenye public toilet unapata mtu anakojoa pembeni sehemu ya kukalia mtu unapoingia inabd uanze usafi ndio ukate gogo.
Nmewahi ingia shoppers plaza mikocheni nikakuta vyoo vya kukalia watu wamekojolea juu ni vichafu havifai hakuna tissue hakuna sabuni yaani ni uchafu na kuambukizana magonjwa pasipo sababu za msingi.
Vyoo vya kukaa ni vizuri mno ila vinataka usafi wa hali ya juu.
Kuhusu hoja ya kupata mgeni mgonjwa asieweza kuchuchumaa, unapojenga nyumba jenga room mbili self contained, moja yako na moja ya watoto wako wa kike ambayo on emergency case itatumika kuhudumia mgeni mgonjwa. Au kama uko vizuri weka rooms zote self contained[emoji2]
π π π π π π π kazi kweli kweli.Mimi huwa nikijisaidia kwenye Choo Cha kukaa, mzigo hautoki Hadi natamani kupanda juu ya hicho chooπ
Nimezoea kuchuchumaaπ π π π π π π kazi kweli kweli.
Kama kaja na miguu yake basi pia aje na choo chake.Sasa mzehe,,public ni muhim cha kukaa ujuwe,,,ikitokea mgeni ana tatizo la miguu je itakuwaje?
Unatumia shuttuf vile vibomba vya kutawazia. Nyie wa wapi? Ina maana hata hajawahi kusafiri au kulala hotel kubwa kubwa?Vinakera Sana[emoji4]
Afu Kuna kitu madau mmoja kauliza
"Choo Cha kukaa, Unajisafishaje na maj?"
Naona watu wanademka TU humu, hawatak kulijibu Hilo swali[emoji4]
Tuko wengiMimi huwa nikijisaidia kwenye Choo Cha kukaa, mzigo hautoki Hadi natamani kupanda juu ya hicho chooπ
Weka vyote pote...mtu ndo aamue mwenyewe ku chuchumaa
au kuka
π€£π€£π€£
Kikubwa usafi tu. Lakino huu wa uswazi huu bora tu cha kuchuchumaa unaweza ukakaa kwenye mavi ya mtuNaamini utakuwa ushaweka ila nitajibu kwa experience yangu tangu mtoto hadi saivi, choo cha kukaa its the best asikudanganye mtu sijui vina uti ama nini, ni usafi tu choo kikiwa kisafi na kikavu muda wote hupati ugonjwa wowote. Hata cha kuchuchumaaa kikiwa kichafu kina magonjwa ndo mana uti nyingi wanawake wanapata vyoo vya bar, makazini etc na ni vya kuchuchumaa, kama public unaweza weka choo cha kukaa na uriner sababu wanaume wengi hawana ustaarabu kwenye kukojoa kutumia vyoo vya kukaa. Choo chochote kikubwa usafi though cha kukaa ni best, a bit expensive, kinapendeza na kila kitu sema kingine mazoea tu kama hujazoea kitu utakiona kibaya tu so i hope ulipata jibu sahihi
π πMimi huwa nikijisaidia kwenye Choo Cha kukaa, mzigo hautoki Hadi natamani kupanda juu ya hicho chooπ
Yaani nilijuaga niko peke yangu aisee...[emoji23][emoji23]Mimi huwa nikijisaidia kwenye Choo Cha kukaa, mzigo hautoki Hadi natamani kupanda juu ya hicho choo[emoji28]
Kiukweli huwa nawaza mengi Sana juu ya vyoo hivi ndiyo maana huwa siwezi kuvikalia.
Vya kukaa SIKISHAURI UWEKE MAHALI POPOTE NI RAHISI KUAMBUKIZANA MARADHI YA NGOZI.Nataka kuweka vyoo, naomba ushauri wapi niweke vya kukaa na wapi niweke vya kuchuchumaa kwenye vyumba vifuatavyo
1. Public toilet
2. Watoto
3. Master
Naomba na sababu?
Hahahaa ukitaka kuondokana na hiyo shida. Kabla ya kukaa weka toilet paper kiasi ili i-cushion the fall of the poo na maji yasitawanyike.Choo cha kukaa ukiangusha gogo kuna maji yanakuja kukubusu kwenye kinyeo.
Halafu ukimaliza hamna namna ya kujichamba na maji.. kuna mtu kasema pipe.. ila nayo ni tatizo sana, ukiipiga vibaya nguo lazima iloe maji.
Kiufupi choo cha kukaa ni changamoto sana