Mimi huwa nikijisaidia kwenye Choo Cha kukaa, mzigo hautoki Hadi natamani kupanda juu ya hicho choo[emoji28]
Yaani nilijuaga niko peke yangu aisee...[emoji23][emoji23]
Uongo dhambi,sipendi kutumia choo cha kukaa kabisa. Case ni hiyo hiyo uloisema,sipatagi 'raha' nikikata gogo nimekaa,kwanza mzigo hautoki utakavyo,wakati wa kujisafisha mateso pia. Ila cha kuchuchumaa yaani najisikia amani nashusha kitu hadi nafsi inaridhika.
Kwa bahati mbaya bwana,miaka ya nyuma niliendaga sehemu ya kulala wageni,nikakuta choo ni cha kukaa,nikaomba nibadilishiwe chumba chenye choo cha kuchuchumaa,mhudumu akasema hamna. Aisee nilipanda juu ya choo ndo nikajisaidia vizuri,ile namaliza nataka nishuke kidogo choo kimegeke[emoji23] kama kilitaka kung'oka hivi.
So cha kuchuchumaa kwangu ndo chaguo namba 1. Nadhani pia inachangiwa na makuzi,sisi tumezaliwa maisha ya kunya umechuchumaa tena ukiwa mdogo sana unachimbiwa kashimo kadogo ndo unashusha mzigo hadi utakapokuwa na uwezo wa kuhimili kutumia choo cha watu wazima (kujongea kwenye mabanzi au magogo membaba kama mistimu).
So vyoo vya kukaa tumevijulia ukubwani sana tena tunakutana navyo mahotelini,n.k.
Ila watoto wa sasa hivi akizaliwa akajua kukaa basi anaanza kutengwa kwenye Poti zao zile kama tuviti. Hivyo kizazi kinalelewa kikiwa na misuli iliyozoea kukaa. Sio kwa sisi zamani ukitaka kunya kama ni mchanga,mama anakutenga kwenye miguu yake katikati unashusha mzigo.