Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaza kitu Cha maana Sana ambacho hata Mimi nilikifikiria.Kama unafahamu namna watu wanaweza kupata kazi/ vibarua mradi wa bwawa la umeme mto rufiji kwenye hifadhi ya selous ,weka taarifa tafadhali wazee wa fursa waruke nayo.
ofisi zao zinaitwaje?Ofice zao zipo Ukonga pale kuna jamaa yangu amepeleka CV zake juzi,,,,nam nategemea kupeleka ivi karibun ntawapa mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukonga kubwa kiongz,! Sehemu gn?Ofice zao zipo Ukonga pale kuna jamaa yangu amepeleka CV zake juzi,,,,nam nategemea kupeleka ivi karibun ntawapa mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah watu wengine hawawez kujieleza kabisa,anashindwa kusema hyo ofisi inaitwaje?na Kama ipo ukonga ni ukonga ipi?
Fala wwNenda kisaki morogoro vijijini ndo maombi yanapelekwae huko gari za kisaki unapandia. Buguruni sheli au stend ya msamvu morogoro
Kumbe mpaka huku mazuzu wapo..Nenda kisaki morogoro vijijini ndo maombi yanapelekwae huko gari za kisaki unapandia. Buguruni sheli au stend ya msamvu morogoro
Namimi nashangaa,wangeweka mazingira ya wazi ili wananchi wajiandae kunufaika na ajira za mradi.sio nafasi za kazi tu hata tenda mbali mbali hawa watu tunasikia mwezi wa 6 wanatakiwa waingie site lakin mpaka sasa hatujui hata ofisi zao ziko wapi ktk mobilisation ukiacha kuajiri watu na kuanza kuwapa training kuna suala la kutengeneza supplier list etc hatusikii tangazo kwa media yoyote wala magazeti wala kujua country office zao zilipo kuna nn kinaendelea apa?
Derm plaza makumbusho opposite Tigo HQ floor 12Ofice zao zipo Ukonga pale kuna jamaa yangu amepeleka CV zake juzi,,,,nam nategemea kupeleka ivi karibun ntawapa mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Derm plaza floor 12 makumbusho opposite Tigo HQme nmelijua jina la kampuni tu ila ofisi zao hazjulikani ziko wapi (Arab constractors)