EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
hizoView attachment 2893955Jamani hizo aina nzuri za power bank mnazozisema basi muambatanishe za picha zake ili tukienda dukani tukomae na hzohizo
Binafsi niko Mashambani Huku na umeme ni shida sana,, mwezi uliopita nilinunua power bank ya Samsung Mah 20800 Ila Cha kushangaza haijazi hata Simu Ndogo[emoji26][emoji26][emoji26]