Wapiga picha wa Azam Media wana elimu Gani? Au wanafanya kusudi

Onyesha comment inayosema Mungu katukataza kutumia azam tv ..Mimi nitakuonyesha wanaosema Mungu kawakataza kusherekea Christmas kama sio chuki dhiki ya wakristo na sherehe zao ni nini?
Kwani uongo?

Ndiyo waislamu ni haram kusherekea sikukuu ya krisimasi.

Na sio kwa waislamu tu hata kwa wakristo wenyewe si wote wanaosherekea hii skukuu.

Wasabato ni wakristo na hawasherekei.

Sio chuki ni maandiko ndo yanavyotaka.

Wewe nikikwambia twende msikitini tukaswali kama ishara ya kuonyesha upendo kwa waislamu utakubali?
 
Mpira ni public interest hautakiwi kufungamanushwa na maudhui ya udini kama baadhi ya matukio yanavyofanywa na Azam media! Atafeli
 
Sisi hatufatilii maudhui ya mechi moja tunafika maudhui yao hao wenye haki ya kurusha mpira wa Tanzania

Maudhui yao wanaingiza udini
Hakuna udini wowote tatizo mimacho yako umeiweka kwenye engo hiyo, kwa mfano mechi ya Azam na Yanga udini ulikuwa wapi?
 
Mpira ni public interest hautakiwi kufungamanushwa na maudhui ya udini kama baadhi ya matukio yanavyofanywa na Azam media! Atafeli
Nilichogundua wew ni mwehu mmoja

Am out[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Sisi hatufatilii maudhui ya mechi moja tunafika maudhui yao hao wenye haki ya kurusha mpira wa Tanzania

Maudhui yao wanaingiza udini
Acha uongo mkuu, hautapunguza umasikini wako mkuu, hivi unajua huko uhai mkurugenzi alishakuwa tido mhando?
 
Azam media ni kama wana ajenda yao waambiwe tu hawatafanikiwa na wanaweza kupotea kabisa
Mbadala ni atokee nguli mwingine amwage pesa za mafuta kiwekwe kingambuzi kingine chenye ushindani apart from that hapo ni sawa na kumpegea mbuze getaaa hawakusikii na hata wakikusekea watakupuuuza masikini utamwambia nini tajiri akakuelewa?, tafuta pesa utuwekee kingambuzi chenye kuonyesha misalaba au waambie wazee wa Continental waonyeshe mpira km Azam km watakuelewa
 
usipoteze muda na tv za watu aisee, huo ni mradi wao, wameugarimia kwa pesa yao, usiwapangie sana. na wewe tafuta pesa weka tv ya mambo unayoyapenda. kiufupi, hata mimi ningekuwa na tv nisingependa kuweka sana mambo ya imani yao kwasababu siiamini kama ni imani sahihi bali huwa naamini ni ya uongo. hiyo ni nature kila mwanadamu anayo. cha kukushauri, weka tv za imani yako, au hamia DSTV au star time. usibishane nao.

wengi walilalamika, hata kuweka yale matamthilia yanayohamasisha watu kuuana, tunajua tamaduni za middle east kuchinja mtu huwa sio ajabu, na inahamasishwa,ndio maana hata hapa unapooa utakuta mme anavaa panga kiunoni kama masai, ni imani za chinjachinja hata kama hawachini imebaki tu historia kwa huku kwetu na watoto ndio walikuwa anaangalia sana. yale matamthilia ya uturuki. ni namna wanafanya kuusambaza zaidi imani yao, na siwalaumu kwasababu hata mimi huwa napenda kusambaza zaidi imani yangu. hutakiwi kuwalamu. cha muhimu ishi tu kwa kuheshimu imani na hisia za kila mtu kama hazikudhuru, mengine fumbia macho.

huu ndio ukweli ambao wengi hawatausema.
 
Ile media kuna mkono wa waturuki ndio sababu ya kuwa hivyo hata filamu zao zimekaa kidinidini
Umenikumbusha enzi zile naangalia Bongo Movies, movies kibao utakuta kuna maudhui ya kilokole. Mara watu wana matatizo mwisho mlokole anakuja kuwaombea yanaondoka wanaokoka.
 
Hao jamaa ni wapumbavu kweli
Wajinga sana wadini

Huu mchezo upo sanaa hata ajira zao zipo kidini sana

Ni suala la muda huu mchezo utaisha
heshimuni dini za watu na imani yao Azam Tv siyo Television ya Taifa
 
Tukisema hizo dini zenu ni mkakati wa kutugawa watu weusi bado tu hamuamini!!!??? Dini zenu (Ukristo na Uislam) ni UPUMBAVU mtupu ulioletwa kwajili ya kuleta mitafaruku na kutugawa.
Mnajinasibu kuagizwa upendo lkn mahubiri na matendo yenu ni CHUKI CHUKI CHUKI!
 
Mkurugenzi hata angekuwa mzungu mmliki ni mwarabu
Lazima matakwa ya mmliki yafuatwe
Acha uongo mkuu, hautapunguza umasikini wako mkuu, hivi unajua huko uhai mkurugenzi alishakuwa tido mhando?
 
Mpira hautakiwi kubeba maudhui ya udini ila ajabu waliopewa hatimiliki ya kurusha mpira ndio wanaonyesha dalili za kukumbatia udini
nyinyi ni wadini na wabaguzi hii nchi yetu sote usituingilie kwenye imani zetu
 
Hatuwezi kuaacha kwasababu mpira wa Tanzania sio mali ya azam media ni public interest

Angekuwa anarusha ligi ya Oman hakuna angefatilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…