kifupi unaumia kuona Azam ni mali ya MuislamuKm azam media hatambui dini zingine anakosa sifa za kuwa chombo cha habari kwasababu haikusajiliwa km chombo cha dini
Mpira hauna itikadi ya dini,anapoingiza udini tayari anakosa sifa na media itapotezwa
nyinyi ni wadini na wabaguzi hii nchi yetu sote usituingilie kwenye imani zetu
ulitaka Waislamu wavae msalaba? Pole sana ndugu yangu unateseka ukiwa wapi?Ila ni kweli, kuna namna flani hawa majamaa wanakuwaga na maudhui yenye mrengo fulani wa Kidini , Ukianza kuangalia kwanzia wafanyakazi wao Walio wengi, Salamu zao , Tamithilia zao na maudhui yake, Yaani japo mimi nawapenda sana kweli lakini kuna namna huwa nashindwa kuwaelewa.
Tatizo na sisi huwa kuna vitu tunaogopa kuvi Address na tunavichukulia poa, Mwisho wake tutakuja kukumbuka shuka Tayari kumekucha
lakini si unajua mmiliki wa tv hiyo ni muarabu tena muislam? ungekuwa na hela yako ungependa itumike kuhamasisha kitu kilicho kinyume na imani yako? kuwa mkweli.Hatuwezi kuaacha kwasababu mpira wa Tanzania sio mali ya azam media ni public interest
Angekuwa anarusha ligi ya Oman hakuna angefatilia
Tafuta Tv nyingine uangalie haiwezekani utupangie mavazi ya kuvaaHilo sio jibu la mwerevu ilo ni jibu la mjinga
Zipo kampuni nyingi zinaweza kurusha mpira wa Tanzania ila hawa walipewa kipaumbele kwasababu walionekana eti ni watanzania hawakushindanishwa
Km kampuni inamrengo wa dini inakosa sifa ya kuonyesha mpira ambao ni public interest
Pole sana!Uko makin mkuu,hata mimi huwa nawachora tu
iLe tamthilia ya Osman bey au ile ya Etugrul,ingekuwa wakristo wanatabia kama za hawa ndugu zetu ingekuwa imeshazuiliwa
Maana kwenye Etugrul na hyo ya Osman bey kuna scene zinaonekana wakristo wakiuawa na hao watu wanaopenda kusema Allah wakibaru
lakini si unajua mmiliki wa tv hiyo ni muarabu tena muislam? ungekuwa na hela yako ungependa itumike kuhamasisha kitu kilicho kinyume na imani yako? kuwa mkweli.
wewe ndiye umekunywa sumu ya udini na imekutafuna mapafu na mainiHakuna anayeongoza imani ya mtu
Tunaongelea mpira wa Tanzania ambao ni public interest kuchanganywa na maudhui ya dini
Mwenye haki ya kurusha tayari anapoteza sifa kuingiza maudhui ya dini kwenye mpira
Tafuta Tv nyingine uangalie haiwezekani utupangie mavazi ya kuvaa
Kwahiyo na itv wana mlengo gani? Mbona watangazaji wake wengi wakristo?Mkurugenzi hata angekuwa mzungu mmliki ni mwarabu
Lazima matakwa ya mmliki yafuatwe
wewe ndiye umekunywa sumu ya udini na imekutafuna mapafu na maini
tuacheni nenda akafungue Tv yako
tafuta Tv nyingine ukaangalie ndiyo ustaarabuMpira sio sehem ya kutangaza dini mpira ni sehemu ya kuunganisha watu
Azam media anapoingiza maudhui ya dini tayari anakosa sifa
chuki ya udini inakutafuna!Mpira wa Tanzania sio mali ya dini ni takwa la umma lazima mwenye haki ya kurusha mpira azingatie hilo
ukiwa na pesa, lazima utakuwa na msimamo na pesa zako. binafsi hata enzi za ujinga kabla sijamjua Bwana, kwasababu sinywi pombe, sijawahi kutoa pesa yangu kumnunulia mwanamke au mtu yeyote pombe. wanawake wengine tulikuwa tunakutana wanaomba niwanyweshe kwanza kabla ya kufanay uchafu lakini nawaambia sumu mojawapo kwanguni pomba, pesa yangu haitakiwi kunnua pombe. ninachoongea hapa, ukiwa na pesa na una imani fulani usingependa pesa/jasho lako litumike kuimarisha jambo ambalo haulipendi, cha msingi wewe tafuta tv zingine uangalie, hao hata usiwalaumu kwanza wamejitahidi sana hata kuweka channel za kikristo, wengine wasingeweka kabisa.Mpira sio sehem ya kutangaza dini mpira ni sehemu ya kuunganisha watu
Azam media anapoingiza maudhui ya dini tayari anakosa sifa
tafuta Tv nyingine ukaangalie ndiyo ustaarabu
Umejaribu kuwa honest kuliko wenzio. Ila hapa nilipokuquote narekebisha kidogo, hivi kuna wanaowazidi Hollywood katika ku depict violence? Ima ya kihistoria au matukio ya kutunga? Kusema kuwa ni tamaduni za Middle East kuhamasisha kuchinjana ni unapotosha kwa makusudi.wengi walilalamika, hata kuweka yale matamthilia yanayohamasisha watu kuuana, tunajua tamaduni za middle east kuchinja mtu huwa sio ajabu, na inahamasishwa,ndio maana hata hapa unapooa utakuta mme anavaa panga kiunoni kama masai, ni imani za chinjachinja hata kama hawachini imebaki tu historia kwa huku kwetu na watoto ndio walikuwa anaangalia sana. yale matamthilia ya uturuki. ni namna wanafanya kuusambaza zaidi imani yao,
ukiwa na pesa, lazima utakuwa na msimamo na pesa zako. binafsi hata enzi za ujinga kabla sijamjua Bwana, kwasababu sinywi pombe, sijawahi kutoa pesa yangu kumnunulia mwanamke au mtu yeyote pombe. wanawake wengine tulikuwa tunakutana wanaomba niwanyweshe kwanza kabla ya kufanay uchafu lakini nawaambia sumu mojawapo kwanguni pomba, pesa yangu haitakiwi kunnua pombe. ninachoongea hapa, ukiwa na pesa na una imani fulani usingependa pesa/jasho lako litumike kuimarisha jambo ambalo haulipendi, cha msingi wewe tafuta tv zingine uangalie, hao hata usiwalaumu kwanza wamejitahidi sana hata kuweka channel za kikristo, wengine wasingeweka kabisa.
waarabu ni wa ajabu sana kwenye imani, huwaambii kitu. sema kuna mmoja nilikuta kule dodoma, shabiby, kwenye hotel zake hata pombe unapata. nikasema uyu kweli mwarabu wa Gairo. nipo najenga lodge zangu fulani, na humo sitaruhusu pombe kuuzwa, na watakaoingia na kuzini humo lazima watakutana na tangazo kwamba uzinzi ni dhambi.
chuki ya udini inakutafuna!
pole sana