Wapiga picha wa Azam Media wana elimu Gani? Au wanafanya kusudi

Mimi udini siujui wenye udini ni wale wanaotaka kuingiza udini kwenye maudhui ya mpira

Mpira ni public interest haipaswi kuwa na chembembe za udini

Mpira ni biashara
Sio mpira tu ni public interest hata mengineyo pia ili mradi lengo kuu lakuona tukio linatimia sasa km lengo linatimia shida yako ninini km sio mdini.

Kuna Hospital, Shule, usafiri wa umma hata huko pia kuna element za udini lkn lengo unapata shida iko wapi.

kama hospital iko chini ya Kanisa na inatoa huduma bora za afya na ndo lengo kuu jamii kupata huduma bora ya afya shida iko wapi na lengo linafika. Than utokee pakutoa useme hospital inaudini kisa manesi wanavaa mavazi ya kanisa utakuwa boya wakati huduma bora unapata.
 
Kama ni msalaba unataka kuuona funga safari mpaka Singida kautazame ukichoka rudi nyumbani
 
Hiyo ni agenda iliyofichika ...majibu utakuja kuyajua miaka kadhaa baadaye

Kuna siku nilikuwa kwenye tafrija moja yenye togwa, makuhani walisisitiza kurejea kwenye vinywaji vya asili na kuepuka magonjwa yanayotengenezwa na wasindikaji
 
Mkuu unavaa nusu uchi na mapaja yako meusi then unataka uonekane Live Azam Tv ?

Vaeni vizuri bagarashia baibui Kama Mungu anavyotaka that all hakuna kingine
eti Mungu anavyopenda , hayo ni mavazi ya waarabu
 
Ile media kuna mkono wa waturuki ndio sababu ya kuwa hivyo hata filamu zao zimekaa kidinidini
 
Mpira hauwezie kugeuzwa kichaka cha udini
Km yeye lengo lake ni dini asajili media km kwa ajili ya dini sio mpira

Kusema hospital inamaudhui ya dini sio kweli
 
Hao jamaa ni wapumbavu kweli
Wajinga sana wadini

Huu mchezo upo sanaa hata ajira zao zipo kidini sana

Ni suala la muda huu mchezo utaisha
Kumbe hata ajira kigezo dini
Ngoja nitafute connection
Nikienda full mabaibui
 
Wewe jamaa una shida kubwa Sana sijui Kama unajua..unahitaji msaada wa kisaikolojia.walonielewa watanielewa
 
azam ni wabaguzi wa kidini kuanzia kuajiri nk.
 
Mkuu unavaa nusu uchi na mapaja yako meusi then unataka uonekane Live Azam Tv ?

Vaeni vizuri bagarashia baibui Kama Mungu anavyotaka that all hakuna kingine
kwahiyo weusi kwako ni fedheha?

waarabu koko mna taabu sana!
 
Mpira ni public interest km azam media ana mahaba na dini yake asajili km chombo cha dini aombe kibali icho la sivyo hana nafasi Tanzania
Wewe ndio umewaza hivyo mkuu, ila kama unapata ulicholipia sioni haja ya kulalamika. Unataka uone mechi au uone makanisa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…