Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wanakuwa jeuri sababu ya ujinga wao lakini akinyang'anywa ulinzi hana kituKweli dunia duara,yaani Sabaya na ubabe wote ule leo hii anaingiziwa dudu kimasihara na wajelajela!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuwa jeuri sababu ya ujinga wao lakini akinyang'anywa ulinzi hana kituKweli dunia duara,yaani Sabaya na ubabe wote ule leo hii anaingiziwa dudu kimasihara na wajelajela!!!!
Hahaha 🤣Eti muombee! Naona hata Mashekhe na maaskofu wamejikalia kimya😅😅
Hahaha 🤣 acha masialaKuna yule kiumbe mwingine aliyetwaliwa kuzimu alikuwa anaomba tumuombee watu tukamyuti kuzimu wakatia timu na kusepa nae
Ndio inakuaje hio?Kuna likiongozi la mafinyofinyo linamsubiri kwa hamu nadhani linaweza kuanza na Log inverse ya mouth
Hicho kiungo juu ya shingo sio sanduku la kuhifadhi meno tu, kitumie vema.Bado hujajibu kama nao ni majizi au siyo majizi