Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

son of a teacher

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2017
Posts
541
Reaction score
1,449
Wababe wa kivita kutokea pande za redsea "Yemen", Wanamgambo wa Houthi wameenda Urusi kusaidia mapambano.Ripoti inasema idadi kubwa ya wanamgambo wamechukuliwa na Urusi kwenda kupigana na vikosi vya Ukraine.

Aidha Afisa wa marekani nchini Yemen bwana Tim lenderking amesema

Mazungumzo ya kina yamefanyika kati ya maafisa wa urusi na Houthi huku ikiaminika urusi itawapa silaha za kisasa zaidi zitakazowezesha wanamgambo wa Houthi kupiga target zao kwa ufanisi Ukanda wa redsea

Inaaminika mwezi uliopita Urusi iliwapatia taarifa ya satellite Houthi kwenye mashambulizi ya Meli Ukanda wa bahari nyekundu.
 
Kama Putin ata kataa makubaliano ya Aman, ndani ya miezi 6 ijayo atakuwa kwenye wakati Mgumu Sana.

Kitendo Cha kuomba askari Korea na Kuokoteza Askari kwenye vikundi mabalimbali inaonekana Kuna shida kubwa ni swala la Muda tu Kila kitu kitakua wazi kwa Kila mtu.

Putin yupo matatizoni.
 
Kw
Wababe wa kivita kutokea pande za redsea "Yemen",Wanamgambo wa Houthi wameenda Urusi kusaidia mapambano.Ripoti inasema idadi kubwa ya wanamgambo wamechukuliwa na Urusi kwenda kupigana na vikosi vya Ukraine.

Aidha Afisa wa marekani nchini Yemen bwana Tim lenderking amesema

Mazungumzo ya kina yamefanyika kati ya maafisa wa urusi na Houthi huku ikiaminika urusi itawapa silaha za kisasa zaidi zitakazowezesha wanamgambo wa Houthi kupiga target zao kwa ufanisi Ukanda wa redsea

Inaaminika mwezi uliopita Urusi iliwapatia taarifa ya satellite Houthi kwenye mashambulizi ya Meli Ukanda wa bahari nyekundu.

Kwenye vita hamna kuchaguliana silaha. Zelensky raia ya Ukraine ambaye wazazi wake waisrael, anapigana vita kutegemea msaaada wa U.S huku 80% ya wanajeshi wake wakiwa hawana morali.

Ingekua vita ni rahisi,leo hii Rais wa Afghanistan angekua kibaraka wa U.S
 
Kama Putin ata kataa makubaliano ya Aman, ndani ya miezi 6 ijayo atakuwa kwenye wakati Mgumu Sana.

Kitendo Cha kuomba askari Korea na Kuokoteza Askari kwenye vikundi mabalimbali inaonekana Kuna shida kubwa ni swala la Muda tu Kila kitu kitakua wazi kwa Kila mtu.

Putin yupo matatizoni.
Kitu nnachojiuliza, Urusi inaidadi kubwa ya watu ukilinganisha na Ukraine. Hivi ni kweli inatupasa tuamini ukraine imefanikiwa kuwamaliza askari wa urusi mpaka urusi iombe msaa kwa mataifa mengine?? Wakati huohuo hatujasikia Ukraine ikiomba msaada wa askari kutoka mataifa mengine. Je, ni kweli wapo vizuri kuliko Urusi??
 
Kitu nnachojiuliza, Urusi inaidadi kubwa ya watu ukilinganisha na Ukraine. Hivi ni kweli inatupasa tuamini ukraine imefanikiwa kuwamaliza askari wa urusi mpaka urusi iombe msaa kwa mataifa mengine?? Wakati huohuo hatujasikia Ukraine ikiomba msaada wa askari kutoka mataifa mengine. Je, ni kweli wapo vizuri kuliko Urusi??
Vita inaanza mwanzo kabisa wanajeshi wa urusi hawakuwa frontline..kikundi cha kukodiwa cha wagner ndio walikuwa staring wa mbele...hawajaanza sasa toka mwanzo urusi inakodi ma-servicemen
 
Wababe wa kivita kutokea pande za redsea "Yemen",Wanamgambo wa Houthi wameenda Urusi kusaidia mapambano.Ripoti inasema idadi kubwa ya wanamgambo wamechukuliwa na Urusi kwenda kupigana na vikosi vya Ukraine.

Aidha Afisa wa marekani nchini Yemen bwana Tim lenderking amesema

Mazungumzo ya kina yamefanyika kati ya maafisa wa urusi na Houthi huku ikiaminika urusi itawapa silaha za kisasa zaidi zitakazowezesha wanamgambo wa Houthi kupiga target zao kwa ufanisi Ukanda wa redsea

Inaaminika mwezi uliopita Urusi iliwapatia taarifa ya satellite Houthi kwenye mashambulizi ya Meli Ukanda wa bahari nyekundu.
Kweli urusi kachoka hana wanajeshi kitendo cha kuokoteza askari kwenye vikundi vya kigaidi juzi tu sikapewa askari na korea kaskazini, leo tena houth kesho utasikia hezbollah na hamas wataenda kupigana na ukraine
 
Wababe wa kivita kutokea pande za redsea "Yemen",Wanamgambo wa Houthi wameenda Urusi kusaidia mapambano.Ripoti inasema idadi kubwa ya wanamgambo wamechukuliwa na Urusi kwenda kupigana na vikosi vya Ukraine.

Aidha Afisa wa marekani nchini Yemen bwana Tim lenderking amesema

Mazungumzo ya kina yamefanyika kati ya maafisa wa urusi na Houthi huku ikiaminika urusi itawapa silaha za kisasa zaidi zitakazowezesha wanamgambo wa Houthi kupiga target zao kwa ufanisi Ukanda wa redsea

Inaaminika mwezi uliopita Urusi iliwapatia taarifa ya satellite Houthi kwenye mashambulizi ya Meli Ukanda wa bahari nyekundu.
Sasa urusi alikuwa anasema hii sio vita ni operation maalumu sasa ya aina gani mpaka unaishiwa na wanajeshi unaenda na korea kaskazini kuomba wanajeshi, houth
 
Ni swala la muda kabla Iran hawajaingia mzigoni.

Hii yaonesha kuwa huenda asemacho Ukraine kuwa wanajeshi wengi wa Urusi wameuawa ikawa kweli
Vita unatanguliza mgambo kwanza kama sisi vita na Uganda peleka kwanza mgambo halafu wanaume wanakuja kusafisha tu njia. USA pia vita vya Iraq walikodisha private security sio kwamba hawana jeshi ila inapunguza athari za wanajeshi wao kwa maana wakipata shida kunakuwa na pressure za kisiasa ila hawa private hawatambuliki kwa watu.
 
Russia anafahamu kuwa NATO na USA wanamlia timing tu hivyo hapendi kutimia wanajeshi wake wengi akisubiri NATO waingie mzigoni. Hii vita inahitaji mahesabu sana, NATO pia anatumia wanajeshi wake kama mercenaries ili wapate experience ya vita
 
Vita inaanza mwanzo kabisa wanajeshi wa urusi hawakuwa frontline..kikundi cha kukodiwa cha wagner ndio walikuwa staring wa mbele...hawajaanza sasa toka mwanzo urusi inakodi ma-servicemen
Kwa hiyo hao maservicesmen ni kutoka Burundi na sudani na sio warusi???..............hapo ndio ujue kuwa wanaume wa urusi hawataki vita .......pamoja na kupunguzwa sana na Zelensky lakini waliobaki wanagoma kwenda jeshini lwa lazima wanaogopa kifo.............
 
Wababe wa kivita kutokea pande za redsea "Yemen",Wanamgambo wa Houthi wameenda Urusi kusaidia mapambano.Ripoti inasema idadi kubwa ya wanamgambo wamechukuliwa na Urusi kwenda kupigana na vikosi vya Ukraine.

Aidha Afisa wa marekani nchini Yemen bwana Tim lenderking amesema

Mazungumzo ya kina yamefanyika kati ya maafisa wa urusi na Houthi huku ikiaminika urusi itawapa silaha za kisasa zaidi zitakazowezesha wanamgambo wa Houthi kupiga target zao kwa ufanisi Ukanda wa redsea

Inaaminika mwezi uliopita Urusi iliwapatia taarifa ya satellite Houthi kwenye mashambulizi ya Meli Ukanda wa bahari nyekundu.
Mkuu russia alianza na jeshi lake mwenyewe binafsi akashindwa, akapeleka vijana wake umri wa 18-60 akashindwa, wafungwa wake akashindwa, lile kundi, Wagner group akashindwa, sasa ni north Korea na sasa unataja tena hao Houth na sasa Ukraine wanapambana na jeshi lao lile ile mwaka wa 3 sasa, putin amefeli sana mission yake mkuu na huko anakoelekea ni kubaya zaidi NATO wakiingia
 
Back
Top Bottom