Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

Hayo maeneo yamechukuliwa totally sio partially.
Ngojea nikuletee ripoti ndio utaelewa.
Russia hakulilia kuachiwa hayo majimbo bali alipodokezwa kuhusu mazungumzo ya amani alitoa masharti matatu;
1)Maeneo aliyoyachukua yatambulike kuwa ni ya Urusi.
2)Urkraine iondoe askari wake Kursk.
3)Ukraine iache mashambulizi katika majimbo aliyobeba .
Akasisitiza KAMA HAYA MASHARTI MATATU HAYAJATIMIZWA MAKUBALIANO YA AMANI HAKUNA.
Je huko ndio kulia lia!??
Vita kuendelea ni lazima kwasababu Ukraine inasisitiza kurudisha maeneo yake huku Russia ikizidi kusonga mbele.
Unategemea vita isiendelee ilhali Russia bado yupo katika ardhi ya Ukraine!?
Mkuu unafikiria kwa kutumia kiungo gani!??
Ni propaganda ya russia tu kwamba ameshakamilisha kuchukua hayo majimbo, sasa kama sio partially ukraine wanapigana na russia wakiwa eneo gani? jiongeze mkuu.
Kurks mkuu tena, watu wanaitaka Moscow tena, mpaka jamaa kakodi askari kutoka North Korea
Kumbuka russia ndio wanaotaka mazungumzo kusitisha vita mana operation walikusudia wiki 2 tu ukitoa zile saa 72 za mwanzo, sasa wanapigana kwa hasara russia
 
Hao Wahouthi Baridi ya Russia/Ukraine hawataiweza ni bora hata wangeenda huko wakati wa Majira ya Joto.

Vile Vikoi havitaweza kuhimili Baridi naona wamefanya huu uamuzi wakiwa High on Mirungi.
 
Vita inaanza mwanzo kabisa wanajeshi wa urusi hawakuwa frontline..kikundi cha kukodiwa cha wagner ndio walikuwa staring wa mbele...hawajaanza sasa toka mwanzo urusi inakodi ma-servicemen
Umekosea, haikuwa hivyo.

Kikosi cha kwanza kabisa cha Urusi kilikuwa cha elites, wale top cream kabisa, ambao walitarajiwa kuliangamiza jeshi la Ukraine ndani ya siku 2. Kikosi hiki kilipigwa vibaya sana na kupoteza askari wengi, hadi kulazimika kuukimbia mji mkuu wa Kyiv ambao ndio uliolengwa na shambulio la awali.

Baada ya hapo wakaenda mashariki mwa Ukraine, wakitumia wanajeshi wa kawaida wakiongozwa na makamanda wazoefu, bahati mbaya matokeo hayakuwa mazuri kwa Urusi. Askari wengi waliuawa, mpaka makamanda wakuu waliuawa, hali iliyotajwa kuwa ilichangiwa sana na kukosa morali kwa wanajeshi hao wa Urusi. Baada ya hapo Putin ndiyo akaamua kuwaajiri kikosi cha wapiganaji wa kulipwa Wagner, na wakati huo huo akipitisha sheria ya watu kupelekwa vitani kwa lazima. Vijana wengi wakaikimbia nchi. Waliobakia wakapelekwa jeshini kwa nguvu. Wananchi hawa waliogeuzwa kuwa askari baada ya kupewa mafunzo ya miezi 2, wengi wao waliangamia. Ndipo Putin akaja na mpango wa kuwatumia wafungwa, nao wengi wao waliuawa, akiwemo kijana mtanzania aliyeenda masomoni, kisha akafungwa jela, akapewa offer ya kuachiwa kama ataenda frontline na kupigana kwa miezi 6. Miezi 6 haikufika, akauawa. Wa namna hiyo walikuwa wengi.

Ni ukweli kuwa Urusi ina wakati mgumu, inataka iwe na askari wengi frontline, huku ikiwa na wasiwasi kuwa ikiwapeleka askari wake wote, halafu wengi wakafa, je vita ikiingia nchini mwake atafanyaje!! Ndiyo maana Urusi inalazimika kuwabakiza wengine wasiguse vita kabisa, wakisubiria kama vita itaingia ndani ya nchi yao.


A number of Russian general officers[a] have been killed during the Russian invasion of Ukraine. As of 7 November 2024, Ukrainian sources claimed that 18 Russian generals and 1 admiral had been killed during the invasion, while Russian sources have confirmed 8 deaths. Although seven of the Ukrainian claims were rebutted, the loss of even two general officers is rare. The scale of these losses is unprecedented since the Second Chechen War, in which Russia lost ten generals.[
 
Kama Putin ata kataa makubaliano ya Aman, ndani ya miezi 6 ijayo atakuwa kwenye wakati Mgumu Sana.

Kitendo Cha kuomba askari Korea na Kuokoteza Askari kwenye vikundi mabalimbali inaonekana Kuna shida kubwa ni swala la Muda tu Kila kitu kitakua wazi kwa Kila mtu.

Putin yupo matatizoni.
Hilo wasema wewe. Kwani hapo ukraine mbona majeshi kutoka nchi karibia zote za nato wanaigana hilo huoni
 
Ni propaganda ya russia tu kwamba ameshakamilisha kuchukua hayo majimbo, sasa kama sio partially ukraine wanapigana na russia wakiwa eneo gani? jiongeze mkuu.
Kurks mkuu tena, watu wanaitaka Moscow tena, mpaka jamaa kakodi askari kutoka North Korea
Kumbuka russia ndio wanaotaka mazungumzo kusitisha vita mana operation walikusudia wiki 2 tu ukitoa zile saa 72 za mwanzo, sasa wanapigana kwa hasara russia
Wewe kweli hamnazo, jamaa anakalia 20% ya nchi yako halafu ndio aongize kuomba mazungumzo?
 
Acha siasa kwenye vita

.Vita imeanza kupiganwa Ukraine mpaka sasa wa Ukraine washaingia urusi na Vita inapiganiwa ndani ya urusi kwa mara ya kwanza.

Halafu useme eti bado Urusi ana nguvu.

Ulkweli ni kwamba urusi keshapoteza uwezo wake kijeshi.

Wameuwawa makamanda wake wandamizi zaidi ya 100 na askari karibia 500,000
 
Kitu nnachojiuliza, Urusi inaidadi kubwa ya watu ukilinganisha na Ukraine. Hivi ni kweli inatupasa tuamini ukraine imefanikiwa kuwamaliza askari wa urusi mpaka urusi iombe msaa kwa mataifa mengine?? Wakati huohuo hatujasikia Ukraine ikiomba msaada wa askari kutoka mataifa mengine. Je, ni kweli wapo vizuri kuliko Urusi??
Shida huwa mnaangalia hii vita kwenye angle moja. Wale wanajeshi wa Ukraine walioingia Kursk ni mara ngapi Urusi ilikuwa inaweka wazi uraia wao baada ya kuuliwa? Halafu Urusi kuwa na wanamgambo wa Houth mbona inaonekana ni big deal kuliko vile Zelenksy anavyowalilia magharibi wampe silaha nyingi tu?.

BBC na RT walitoa idadi ya wanajeshi wa Urusi waliokufa kuwa ni 74000 tangu kuanza kwa mgogoro huu. Lkn upande wa Ukraine kama hawajafyekwa sana kwanini kuna kamatakamata ya watoto wadogo kwenda vitani? Kuna muda aliandikisha hadi wanawake lkn hatusikii wako wapi.

Waende tu kumpa kampani Urusi maana vita ya ardhini wanaimudu vyema then nawao wapewe silaha za kisasa halafu tuone pale mashariki ya kati panachangamkaje.
 
Ufalme wa put-in unahesabu masaa kusambaratika. Kwa sasa analazimisha wananchi wa kawaida kujitolea kwenda vitani. Hiyo ni baada ya kuwamaliza wafungwa gerezani. Wanalazimisha tu vijana kwenda vitani. Ukikataa mahakamani,then jera.

Hata wanajeshi karibia nusu wamegoma kurudi vitani. Sheria ya Putin ukikataa kwenda vitani iwe raia au mwanajeshi unahesabiwa ni msariti. Kuna kesi nyingi ziko mahakamani kwa ajili ya walioiataa kurudi na raia waliokataa kujitolea vitani.

Yeye ni kugonga mvinyo tu na kiduku. Nchi za kijamaa kweli nimeona ni za kinoko tu
 
Acha siasa kwenye vita

.Vita imeanza kupiganwa Ukraine mpaka sasa wa Ukraine washaingia urusi na Vita inapiganiwa ndani ya urusi kwa mara ya kwanza.

Halafu useme eti bado Urusi ana nguvu.

Ulkweli ni kwamba urusi keshapoteza uwezo wake kijeshi.

Wameuwawa makamanda wake wandamizi zaidi ya 100 na askari karibia 500,000
RT na BBC walisema ni askari 74,000, hiyo laki tano ni Kwa mujibu wa chanzo kipi? Halafu 20% ya ardhi ya Ukraine iko mikononi mwa Urusi utasemaje Urusi kashindwa vita? Haya tuseme hiyo data yako ya askari 500,000 ni kweli vp Ukraine wamekomboa maeneo Yao mangapi yanayoshikiliwa na Urusi? Maana tunasikia tu Urusi inasonga mbele na kuteka maeneo mengine lkn hatusikii kuwa Ukraine wamerudisha maeneo mangapi.

Kule Kursk Ukraine wenyewe wanakili wamepoteza 40% ya ardhi waliyokuwa wakiikalia tangu mwezi August walipofanya uvamizi wa kushtukiza huko. Walikuwa na square kilometer 1370 mwanzo Leo hii wana square kilometer 800, hapa unaona Ukraine anafanikiwa au anapoteza?

Uzuri wake Putin hii vita alishajipanga muda mrefu tu ngoja tusubiri tuone.
 
Umekosea, haikuwa hivyo.

Kikosi cha kwanza kabisa cha Urusi kilikuwa cha elites, wale top cream kabisa, ambao walitarajiwa kuliangamiza jeshi la Ukraine ndani ya siku 2. Kikosi hiki kilipigwa vibaya sana na kupoteza askari wengi, hadi kulazimika kuukimbia mji mkuu wa Kyiv ambao ndio uliolengwa na shambulio la awali.

Baada ya hapo wakaenda mashariki mwa Ukraine, wakitumia wanajeshi wa kawaida wakiongozwa na makamanda wazoefu, bahati mbaya matokeo hayakuwa mazuri kwa Urusi. Askari wengi waliuawa, mpaka makamanda wakuu waliuawa, hali iliyotajwa kuwa ilichangiwa sana na kukosa morali kwa wanajeshi hao wa Urusi. Baada ya hapo Putin ndiyo akaamua kuwaajiri kikosi cha wapiganaji wa kulipwa Wagner, na wakati huo huo akipitisha sheria ya watu kupelekwa vitani kwa lazima. Vijana wengi wakaikimbia nchi. Waliobakia wakapelekwa jeshini kwa nguvu. Wananchi hawa waliogeuzwa kuwa askari baada ya kupewa mafunzo ya miezi 2, wengi wao waliangamia. Ndipo Putin akaja na mpango wa kuwatumia wafungwa, nao wengi wao waliuawa, akiwemo kijana mtanzania aliyeenda masomoni, kisha akafungwa jela, akapewa offer ya kuachiwa kama ataenda frontline na kupigana kwa miezi 6. Miezi 6 haikufika, akauawa. Wa namna hiyo walikuwa wengi.

Ni ukweli kuwa Urusi ina wakati mgumu, inataka iwe na askari wengi frontline, huku ikiwa na wasiwasi kuwa ikiwapeleka askari wake wote, halafu wengi wakafa, je vita ikiingia nchini mwake atafanyaje!! Ndiyo maana Urusi inalazimika kuwabakiza wengine wasiguse vita kabisa, wakisubiria kama vita itaingia ndani ya nchi yao.


A number of Russian general officers[a] have been killed during the Russian invasion of Ukraine. As of 7 November 2024, Ukrainian sources claimed that 18 Russian generals and 1 admiral had been killed during the invasion, while Russian sources have confirmed 8 deaths. Although seven of the Ukrainian claims were rebutted, the loss of even two general officers is rare. The scale of these losses is unprecedented since the Second Chechen War, in which Russia lost ten generals.[

Kwahicho unachokisema mbona sasa tayari vikosi wa Ukraine vingekuwa Moscow?
Kama vikosi vyote hivyo viliangamizwa imekuaje Urusi bado amekalia eneo kubwa la Ukraine?

WW2 manazi walifika karibu kabisa na Moscow na walikuwa wamekufa askari wengi sana wa Urusi lakini come back ya Urusi, red army walipiga brake Berlin.
 
Vita unatanguliza mgambo kwanza kama sisi vita na Uganda peleka kwanza mgambo halafu wanaume wanakuja kusafisha tu njia. USA pia vita vya Iraq walikodisha private security sio kwamba hawana jeshi ila inapunguza athari za wanajeshi wao kwa maana wakipata shida kunakuwa na pressure za kisiasa ila hawa private hawatambuliki kwa watu.
Kwa hiyo Korea kaskazini ni mgambo?!
 
Mandonga putin pumzi ishakata, siku ukraine ikiingia full moscow atatumia mgambo kupigana vita maana jeshi lake litakuwq limeteketea huko ukraine, ateme bungo tu na asitegemee trump akiingia atamsaidia kumaliza vita, trump naye akijichanganya vile vyuma vilivyomkosakosa safari hii hawatakosea pakupiga
 
Back
Top Bottom