Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

Natamani sasa Israel ikalipue Moscow kwa kufadhili magaidi haaahaaa au imezoea kuonea dagaa tu!!
Kwa nini Israel? Mbona Ukraine akiwezeshwa vizuri kama ilivyo kwa sasa; Hiyo shughuli ya Moscow anaimudu? Mrussi kiukweli kwa sasa ametepeta mno hadi anaokoteza wanajeshi mamluki kwa malipo makubwa. Mrussi alishindwana na kampuni kubwa la Wagner PMC, itakuwa ni hao wasaka tonge -Houthis??
 
Kwanu Ukraine mbona wana askari hadi kutoka Brazil. Nitajie vita moja tu ambapo nchi moja tu hupigana na nyingine?
Hoja iliyopo hapo ni: Inakuwaje nchi inayojigamba ni super power leo hii iende kubangaiza askari kwenye vikundi vidogo-vidogo tena vya kigaidi e.g. Houthis?
Ingekuwa anapata support kutoka kwa mataifa yanayoeleweka au nchi maarufu ingekuwa poa tuu. Lakini kitendo cha kwenda kuomba msaada kutoka kwa hao wasaka tonge a.k.a. walalahoi jangwani eti nitawapa silaha za kisasa zaidi hilo ni kujifedhehesha. Kwa kweli ni aibu kubwa na ni kujidhalilisha. Bora Mrussi angekomaa na hali yake.
 
Hoja iliyopo hapo ni: Inakuwaje nchi inayojigamba ni super power leo hii iende kubangaiza askari kwenye vikundi vidogo-vidogo tena vya kigaidi e.g. Houthis?
Ingekuwa anapata support kutoka kwa mataifa yanayoeleweka au nchi maarufu ingekuwa poa tuu. Lakini kitendo cha kwenda kuomba msaada kutoka kwa hao wasaka tonge a.k.a. walalahoi jangwani eti nitawapa silaha za kisasa zaidi hilo ni kujifedhehesha. Kwa kweli ni aibu kubwa na ni kujidhalilisha. Bora Mrussi angekomaa na hali yake.
Hapana vita ni strategic, hata Israel inasaidiwa na France, UK na USA kupigana na Iran, Hezbollah na Houthi!!
 
Hapana vita ni strategic, hata Israel inasaidiwa na France, UK na USA kupigana na Iran, Hezbollah na Houthi!!
Hilo ndilo nililosema ni kujidhalilisha. Kwa mfano umwone Tajiri maarufu wa mabasi ya route ndefu anakwenda kumuomba Bodaboda amwazimishe(Amkopeshe) fedha si utajiuliza kulikoni? Kwa sababu sio saizi yake. Ndo hiyo Mrusi anapiga magoti kuomba msaada vikundi alivyokuwa anavisaidia yy binafsi awali.
 
Ni propaganda ya russia tu kwamba ameshakamilisha kuchukua hayo majimbo, sasa kama sio partially ukraine wanapigana na russia wakiwa eneo gani? jiongeze mkuu.
Kurks mkuu tena, watu wanaitaka Moscow tena, mpaka jamaa kakodi askari kutoka North Korea
Kumbuka russia ndio wanaotaka mazungumzo kusitisha vita mana operation walikusudia wiki 2 tu ukitoa zile saa 72 za mwanzo, sasa wanapigana kwa hasara russia
We jamaa huwa una kichwa kigumu sana😂😂😂😂😂😂.
Wanaoleta ripoti ya hayo maeneo kuchukuliwa ni Westerners wenyewe BBC,CNN,Washington post.
Wao ndio wako viunga vya vita ndio wanaripoti,Sasa wewe unaedai ni propaganda za Russia kwahiyo hivi vyombo vya habari vinaifanyia kazi Russia!?
Mfano Kenya ikaichukua Arusha halafu JWTZ ikaanza kupigana kupitia Kilimanjaro ili kuikomboa Arusha je inamaanisha kuwa Arusha haijachukuliwa!??
Aiseeee😂😂😂😂😂😂😂😂 USA wanaoisapoti Ukraine wanatoa ripoti ya maeneo kumegwa Kila siku wewe shabiki maandazi unadai ni propaganda!?
 
Acha siasa kwenye vita

.Vita imeanza kupiganwa Ukraine mpaka sasa wa Ukraine washaingia urusi na Vita inapiganiwa ndani ya urusi kwa mara ya kwanza.

Halafu useme eti bado Urusi ana nguvu.

Ulkweli ni kwamba urusi keshapoteza uwezo wake kijeshi.

Wameuwawa makamanda wake wandamizi zaidi ya 100 na askari karibia 500,000
Usichokijua wewe hapo Kursk unapotaka kupasemea Ukraine askari wake wamezungukwa kupitia mji wao wa Sumy.
Na Urusi hana haraka nao maana ameshakomboa 46%+ ya maeneo ya Kursk huku akizidi kusonga mbele Eastern Ukraine na kubeba maeneo ikiwemo Prokrovsk.
Hata wabobezi wa vita wenyewe wanakwambia kitendo cha Ukraine kuingia Kursk lilikua ni giant mistake.
 
Kwa nini Israel? Mbona Ukraine akiwezeshwa vizuri kama ilivyo kwa sasa; Hiyo shughuli ya Moscow anaimudu? Mrussi kiukweli kwa sasa ametepeta mno hadi anaokoteza wanajeshi mamluki kwa malipo makubwa. Mrussi alishindwana na kampuni kubwa la Wagner PMC, itakuwa ni hao wasaka tonge -Houthis??
Russia anazuia askari wake kufa ndio maana anatumia mamluki.
Na nani amekwambia Houthi ni wasaka tonge!?
 
Russia anazuia askari wake kufa ndio maana anatumia mamluki.
Na nani amekwambia Houthi ni wasaka tonge!?
Mmmmh! sidhani kama iko sahihi kwamba Russia anazuia askari wake kufa. Kwani askari kufa vitani ni ajabu? Hiyo kazi ya uaskari, ni pamoja na kupambana kulilinda Taifa hata ikibidi damu imwagike.
Houthi ni kikundi kidogo cha "wababe wa vita" ndani ya nchi huru ya Yemen.
Hicho kikundi sio ndo Watawala wanaoiongoza nchi ya Yemen. Hicho sio mwakilishi wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa Yemen. Houthis wana maslahi yao tofauti na Maslahi ya Taifa la Yemen. Kundi hilo linatumia Itikadi za kidini na linafadhiliwa na Taifa la Iran ambayo ni nchi tofauti na Yemen. Sidhani kama Nchi ya Yemen iliidhinisha kwamba Iran ndo awe anamsaidia Houthi.
Ni kwa mantiki hiyo Houthis wanaonekana kama wanatembeza ubabe kutokana na kupewa uwezo wake na Iran ambayo haijawekwa wazi kwamba Yemen imeridhia jambo hilo. Je; Iran hana mipaka ya utoaji wa misaada au mbona Iran inatoa misaada lakini ni misaada ya kijeshi sio ya kibinadamu?.
 
Mmmmh! sidhani kama iko sahihi kwamba Russia anazuia askari wake kufa. Kwani askari kufa vitani ni ajabu? Hiyo kazi ya uaskari, ni pamoja na kupambana kulilinda Taifa hata ikibidi damu imwagike.
Houthi ni kikundi kidogo cha "wababe wa vita" ndani ya nchi huru ya Yemen.
Hicho kikundi sio ndo Watawala wanaoiongoza nchi ya Yemen. Hicho sio mwakilishi wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa Yemen. Houthis wana maslahi yao tofauti na Maslahi ya Taifa la Yemen. Kundi hilo linatumia Itikadi za kidini na linafadhiliwa na Taifa la Iran ambayo ni nchi tofauti na Yemen. Sidhani kama Nchi ya Yemen iliidhinisha kwamba Iran ndo awe anamsaidia Houthi.
Ni kwa mantiki hiyo Houthis wanaonekana kama wanatembeza ubabe kutokana na kupewa uwezo wake na Iran ambayo haijawekwa wazi kwamba Yemen imeridhia jambo hilo. Je; Iran hana mipaka ya utoaji wa misaada au mbona Iran inatoa misaada lakini ni misaada ya kijeshi sio ya kibinadamu?.
Nenda kaifuatilie jeshi la Urusi lina active personnel wangapi.
Pia tunatakiwa tufikirie kama Urusi imeishiwa askari mbona kila leo inasonga mbele na kubeba maeneo!??
Kumbuka tangu 2022 Urusi ilianza kuwatumia Wagner group na baadhi ya askari wake.
Hii Kwa akili ya haraka lazima useme anaepuka vifo vya askari kuwa wengi.

Houthi kilikua chama Cha siasa kama CCM au ACT wazalendo.
Ni hao hao Houthi ambao walipitisha serikali ya mpito ya Mansour,ila ilipofikia 2013 wakati wa Mansour kutoka madarakani ili free and fair election ifanyike Mansour akagoma.
Raia wote walikua hawamtaki Mansour,mwishowe Houthi ikabidi waingie barabarani na bunduki KWA USHAWISHI WA 90% YA WAYEMENI ambao hawakuwa wakiutaka huo utawala,mbaya zaidi huo utawala wa Mansour ulikua na support ya serikali za kisunni mathalan Saudi Arabia na USA.
Iran ikatoa sapoti Kwa Houthi ikiwa na maslahi yake ya kidiplomasia.
Na ilitoa msaada wa kifedha na kijeshi kama ilivyotoa Hizbollah.
Hizbollah wana hadi taasisi za kusaidia raia kiuchumi Kusini mwa Lebanon na mtoaji wa hizo fedha ni Iran.
Utasemaje Iran anatoa misaada ya kijeshi peke yake!??
Halafu kitu ambacho mkuu hujakitambua ni kuwa 90% ya raia wa Yemeni WANAIPENDA,WANAISAPOTI NA WANAIKUBALI HOUTHI.
Houthi ndiyo inayoongoza Sanaa mji mkuu wa Yemen.
Houthi ndio serikali ya Yemen Sasa hivi.
Hiyo serikali ambayo USA na washirika wanailazimisha raia wa Yemeni HAWATAKI KUITAMBUA NA HAWAITAMBUI.
 
Inasikitisha mnoo.mkuu wanao wakifeli usije wapiga maana akili watakua wamefata zakwako

We jamaa huwa una kichwa kigumu sana😂😂😂😂😂😂.
Wanaoleta ripoti ya hayo maeneo kuchukuliwa ni Westerners wenyewe BBC,CNN,Washington post.
Wao ndio wako viunga vya vita ndio wanaripoti,Sasa wewe unaedai ni propaganda za Russia kwahiyo hivi vyombo vya habari vinaifanyia kazi Russia!?
Mfano Kenya ikamchukua Arusha halafu JWTZ ikaanza kupigana kupitia Kilimanjaro ili kuikomboa Arusha je inamaanisha kuwa Arusha haijachukuliwa!??
Aiseeee😂😂😂😂😂😂😂😂 USA wanaoisapoti Ukraine wanatoa ripoti ya maeneo kumegwa Kila siku wewe shabiki maandazi unadai ni propaganda!?
Lete hizo ripoti za cnn hapa na bbc na Washington post
for your information, Jana wakorea 18 smoked na wengine 33 wanaulizia waliokujia
 
Lete hizo ripoti za cnn hapa na bbc na Washington post
for your information, Jana wakorea 18 smoked na wengine 33 wanaulizia waliokujia
Tusichoshane sana embu soma hiyo ramani.
Hapo kuna maeneo ambayo Russia anayadhibiti fully na kuna maeneo Russia anayadhibiti partially na Kuna maeneo ambayo Ukraine ameyakomboa.
Sasa hiyo ni vita ulitegemea askari wasife!??
Screenshot_2024-11-26-11-18-27-24_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Warusi ni kama makobaz wa uarabuni, hufa kama nyumbu, Sasa wameisha hadi wanaokota huko kwa magaidi ya waislamu.
 
Tusichoshane sana embu soma hiyo ramani.
Hapo kuna maeneo ambayo Russia anayadhibiti fully na kuna maeneo Russia anayadhibiti partially na Kuna maeneo ambayo Ukraine ameyakomboa.
Sasa hiyo ni vita ulitegemea askari wasife!??
View attachment 3161997
Sitaki habari za google, lete vyanzo hapa nilijuwa najibizana na mtaalamu anayefuatilia hivi vita kumbe mpaka uka search kwenye google/blogs, ulisema una habari za Washington, bbc na CNN sasa google wap na wapi
 
Nenda kaifuatilie jeshi la Urusi lina active personnel wangapi.
Pia tunatakiwa tufikirie kama Urusi imeishiwa askari mbona kila leo inasonga mbele na kubeba maeneo!??
Kumbuka tangu 2022 Urusi ilianza kuwatumia Wagner group na baadhi ya askari wake.
Hii Kwa akili ya haraka lazima useme anaepuka vifo vya askari kuwa wengi.

Houthi kilikua chama Cha siasa kama CCM au ACT wazalendo.
Ni hao hao Houthi ambao walipitisha serikali ya mpito ya Mansour,ila ilipofikia 2013 wakati wa Mansour kutoka madarakani ili free and fair election ifanyike Mansour akagoma.
Raia wote walikua hawamtaki Mansour,mwishowe Houthi ikabidi waingie barabarani na bunduki KWA USHAWISHI WA 90% YA WAYEMENI ambao hawakuwa wakiutaka huo utawala,mbaya zaidi huo utawala wa Mansour ulikua na support ya serikali za kisunni mathalan Saudi Arabia na USA.
Iran ikatoa sapoti Kwa Houthi ikiwa na maslahi yake ya kidiplomasia.
Na ilitoa msaada wa kifedha na kijeshi kama ilivyotoa Hizbollah.
Hizbollah wana hadi taasisi za kusaidia raia kiuchumi Kusini mwa Lebanon na mtoaji wa hizo fedha ni Iran.
Utasemaje Iran anatoa misaada ya kijeshi peke yake!??
Halafu kitu ambacho mkuu hujakitambua ni kuwa 90% ya raia wa Yemeni WANAIPENDA,WANAISAPOTI NA WANAIKUBALI HOUTHI.
Houthi ndiyo inayoongoza Sanaa mji mkuu wa Yemen.
Houthi ndio serikali ya Yemen Sasa hivi.
Hiyo serikali ambayo USA na washirika wanailazimisha raia wa Yemeni HAWATAKI KUITAMBUA NA HAWAITAMBUI.
Nashukuru kwa ufafanuzi. Lakini bado yapo mambo ambayo yanaiweka Houthis waonekane ni wakorofi:
1. Kama Houthis walipitisha Serikali ya Mpito ya Mansour ni kwa Mamlaka gani i.e. Nani aliwapa hiyo kazi au Uwezo huo?
2. Kwa nini baada ya Houthis kumfurusha Mansour madarakani 2013 hawakurejelea ile Free &Fair election kama walivyokuwa wameandaa Wananchi wa Yemen. Hiyo haikuwa Fair.
 
Mkuu russia alianza na jeshi lake mwenyewe binafsi akashindwa, akapeleka vijana wake umri wa 18-60 akashindwa, wafungwa wake akashindwa, lile kundi, Wagner group akashindwa, sasa ni north Korea na sasa unataja tena hao Houth na sasa Ukraine wanapambana na jeshi lao lile ile mwaka wa 3 sasa, putin amefeli sana mission yake mkuu na huko anakoelekea ni kubaya zaidi NATO wakiingia
We ujamjua mrusi, Bora ukae Kimya!
 
Vita unatanguliza mgambo kwanza kama sisi vita na Uganda peleka kwanza mgambo halafu wanaume wanakuja kusafisha tu njia. USA pia vita vya Iraq walikodisha private security sio kwamba hawana jeshi ila inapunguza athari za wanajeshi wao kwa maana wakipata shida kunakuwa na pressure za kisiasa ila hawa private hawatambuliki kwa watu.
Unatumia nguvu kubwa sana kuwajibu wajinga mkuu, wanajua gharama ya askari mmoja wa Urusi? Kama wanamgambo wa kukodi wapo kwanini utumie askari professional? Majinga yanaamini Urusi kaishiwa askari 😂
 
Sitaki habari za google, lete vyanzo hapa nilijuwa najibizana na mtaalamu anayefuatilia hivi vita kumbe mpaka uka search kwenye google/blogs, ulisema una habari za Washington, bbc na CNN sasa google wap na wapi
Bro hivi wewe umedata!??
Hujaona imeandikwa BBC hapo juu!?
Hiyo ramani imeandaliwa na BBC.
 
Sitaki habari za google, lete vyanzo hapa nilijuwa najibizana na mtaalamu anayefuatilia hivi vita kumbe mpaka uka search kwenye google/blogs, ulisema una habari za Washington, bbc na CNN sasa google wap na wapi
Embu soma hapo juu pameandikwaje kama sio bbc.com.
Screenshot_2024-11-26-11-18-27-24_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Nashukuru kwa ufafanuzi. Lakini bado yapo mambo ambayo yanaiweka Houthis waonekane ni wakorofi:
1. Kama Houthis walipitisha Serikali ya Mpito ya Mansour ni kwa Mamlaka gani i.e. Nani aliwapa hiyo kazi au Uwezo huo?
2. Kwa nini baada ya Houthis kumfurusha Mansour madarakani 2013 hawakurejelea ile Free &Fair election kama walivyokuwa wameandaa Wananchi wa Yemen. Hiyo haikuwa Fair.
1)Houthi ndio ilikua chama chenye wafuasi wengi sana pale Yemeni.Na hawakumweka huyo Mansour kimabavu bali Kwa kupiga kura nani anafaa ili akae Kwa mapendekezo ya raia.
2)Kwani Yemeni imetulia hadi sasa mkuu!?
Bado Yemeni inapigwa na msukumo wa kimataifa,ikikaa ikitulia Kila kitu kitarudi kama mwanzo.
 
Back
Top Bottom