Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

Hatufanyii kazi google search, tuishie hapa
Bro acha ubishani wa kipumbavu hautakunufaisha.
Kama hujui kitu kubali uelimishwe.
Hiyo makala ni ndefu na imeandikwa na BBC ili mimi kukupa summarization nikaamua kuchukua upande wa ramani basi.
Ningeleta full article hapa ningekupa usingizi.
Embu soma hapo nilipozungushia alama nyekundu panasomeka nini kama sio BBC!???
Mkuu kama hujui kubali uelimishwe aiseee.!!
Screenshot_2024-11-26-16-25-07-87_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Unatumia nguvu kubwa sana kuwajibu wajinga mkuu, wanajua gharama ya askari mmoja wa Urusi? Kama wanamgambo wa kukodi wapo kwanini utumie askari professional? Majinga yanaamini Urusi kaishiwa askari 😂
Aisee waswahili wanasikitisha sana.
Mtu unamletea hadi makala ya BBC na anakupinga.
 
Kama Putin ata kataa makubaliano ya Aman, ndani ya miezi 6 ijayo atakuwa kwenye wakati Mgumu Sana.

Kitendo Cha kuomba askari Korea na Kuokoteza Askari kwenye vikundi mabalimbali inaonekana Kuna shida kubwa ni swala la Muda tu Kila kitu kitakua wazi kwa Kila mtu.

Putin yupo matatizoni.
Tuombe uhai na uzima tutakumbushana
 
Kwanu Ukraine mbona wana askari hadi kutoka Brazil. Nitajie vita moja tu ambapo nchi moja tu hupigana na nyingine?
Ukraine ni underdog ana unga unga sasa super pawa inakuwaje tena?.
Vita nikikutajia vita vya Kagera.
 
Umekosea, haikuwa hivyo.

Kikosi cha kwanza kabisa cha Urusi kilikuwa cha elites, wale top cream kabisa, ambao walitarajiwa kuliangamiza jeshi la Ukraine ndani ya siku 2. Kikosi hiki kilipigwa vibaya sana na kupoteza askari wengi, hadi kulazimika kuukimbia mji mkuu wa Kyiv ambao ndio uliolengwa na shambulio la awali.

Baada ya hapo wakaenda mashariki mwa Ukraine, wakitumia wanajeshi wa kawaida wakiongozwa na makamanda wazoefu, bahati mbaya matokeo hayakuwa mazuri kwa Urusi. Askari wengi waliuawa, mpaka makamanda wakuu waliuawa, hali iliyotajwa kuwa ilichangiwa sana na kukosa morali kwa wanajeshi hao wa Urusi. Baada ya hapo Putin ndiyo akaamua kuwaajiri kikosi cha wapiganaji wa kulipwa Wagner, na wakati huo huo akipitisha sheria ya watu kupelekwa vitani kwa lazima. Vijana wengi wakaikimbia nchi. Waliobakia wakapelekwa jeshini kwa nguvu. Wananchi hawa waliogeuzwa kuwa askari baada ya kupewa mafunzo ya miezi 2, wengi wao waliangamia. Ndipo Putin akaja na mpango wa kuwatumia wafungwa, nao wengi wao waliuawa, akiwemo kijana mtanzania aliyeenda masomoni, kisha akafungwa jela, akapewa offer ya kuachiwa kama ataenda frontline na kupigana kwa miezi 6. Miezi 6 haikufika, akauawa. Wa namna hiyo walikuwa wengi.

Ni ukweli kuwa Urusi ina wakati mgumu, inataka iwe na askari wengi frontline, huku ikiwa na wasiwasi kuwa ikiwapeleka askari wake wote, halafu wengi wakafa, je vita ikiingia nchini mwake atafanyaje!! Ndiyo maana Urusi inalazimika kuwabakiza wengine wasiguse vita kabisa, wakisubiria kama vita itaingia ndani ya nchi yao.


A number of Russian general officers[a] have been killed during the Russian invasion of Ukraine. As of 7 November 2024, Ukrainian sources claimed that 18 Russian generals and 1 admiral had been killed during the invasion, while Russian sources have confirmed 8 deaths. Although seven of the Ukrainian claims were rebutted, the loss of even two general officers is rare. The scale of these losses is unprecedented since the Second Chechen War, in which Russia lost ten generals.[
Warusi wengi wamekufa ila vita bado inapiganwa Ukraine karibu yote kuna muda wala sio lazima kusema kua mimi sina akili ila unachosema ama kuandika kinaweza kufanya watu wapate uhalisia wako
 
Acha siasa kwenye vita

.Vita imeanza kupiganwa Ukraine mpaka sasa wa Ukraine washaingia urusi na Vita inapiganiwa ndani ya urusi kwa mara ya kwanza.

Halafu useme eti bado Urusi ana nguvu.

Ulkweli ni kwamba urusi keshapoteza uwezo wake kijeshi.

Wameuwawa makamanda wake wandamizi zaidi ya 100 na askari karibia 500,000
Sasa ndio muda wa Ukraine kuregesha ardhi yao maana askari wengi wa Russia wamefyekwa
 
Kwenye vita hakuna kutafuta uzoefu, Vita inahusisha kufa na kupona uwezi kuokoteza vikundi mtaani eti vikapigane vita wakati ata nidhamu Yao hufahamu.

Kuna muda Askari waliopo mstari wa mbele wa mapambano wanatamani mazungumzo ya Amani yafanyike ili waache kupigana.
Walio wahi kushiriki vita watanielewa maana Moral Ina kata na mnakutana na moto wa Adui wa maana.

Hii vita ni ya muda mrefu, Askari na makamanda wengi wamechoka na hakuna Dalili ya vita kwisha na usifikiri vizazi vya wazungu walio pigana vita ya kwanza na ya pili ya Dunia Wana uvumilivu kama Wazungu wa Sasa.

Hii vita haikupaswa kuwepo, Putin ameilazimisha na Wananchi wake wengi hawai ungi mkono.
Putin mwenyewe Wananchi wame mchoka kutokana na Siasa zake za ndani kua za kibabe dhidi ya wapinzani wake.
Rafiki zake Putin wa karibu ambao Wana tofautiana na mawazo yake anawapoteza.

Ukraine wakifanikiwa kuingiza vikosi vya askari wa miguu wa kutosha ndani ya Urusi basi Wanaweza kuchukua mpaka Moscow kwakua Askari wengi wa Urusi hawaitaki vita na wanaona Nchi Yao imeingia vitani bila sababu.

Askari wa U krein wakiingia wengi Urusi basi wataungwa mkono na Warusi na utakua mwisho wa Putin
Haya amka kumekucha usije ukajikojolea mkuu
 
Ndugu, wakati wa vita Askari hawa hifadhiwi kama mbegu za mahindi.

Pande hizi mbili wameshapigana kwa muda mrefu re placement zimeshafanyika nyingi hakuna jeshi ambalo Askari wake walio front line wamepungua alafu limeweka wengine wa mbegu ni lazima waliobaki waende mbele.

Ni swala la muda tu, Urusi itaingia katika makubaliano ya kusitisha vita kwa kulazimishwa na Hali Halisi.

Dalili zote zinaonyesha mambo hayako sawa kwa Putin na Ina sababishwa na uungwaji mkono mdogo na Wananchi wake ambao hawataki vita .
Hali halisi ni kuachia majimbo manne usitegemee nje ya hili
 
Amini usiamini lakini Urussi haitothubutu kutumia Nuclear bombs kwa sababu hata mahasimu wake wanazo hizo nukes. Anajua akijaribu tu matokeo yake itakuwa ni piga nikupiga , unamwaga ugali namwaga mboga. Ikitokea hivyo Putin atakaa au ataishi wapi? Dunia ipi?? Je; wanajeshi, raia na watu wengine huko Urussi mustakabali wa uhai wao utakuwaje? Nadhani Jamii ya Urussi watafanya maamuzi magumu kwamba ni Heri mtu mmoja (Putin na genge lake) afe kwa ajili ya wengi wasalimike.
Hili la put in kufa mnalipenda nyuklia imeundwa ili kutumika
 
Wanamgambo wa Al Houthi waliopelekwa kuisaidia Russia wameanza kukimbia Frontline na wengine kutishia kujiua.

Wanasema POV Drones na Atillery za Ukraine kuanzia asubuhi mpaka usiku ndio sababu.

Hakuna kulala😂
 
Wanamgambo wa Al Houthi waliopelekwa kuisaidia Russia wameanza kukimbia Frontline na wengine kutishia kujiua.

Wanasema POV Drones na Atillery za Ukraine ndio sababu.
Kama wanavyo jiua askari wa kizayuni
 
Hili la put in kufa mnalipenda nyuklia imeundwa ili kutumika
Aisee!? Kwa hiyo ww ukiwa na pistol utaenda kuanzisha vurugu ili uweze kupata fursa ya kuitumia kwakuwa imetengenzwa ili itumike au tuseme umeinunua na kuimiliki ili uitumie. Lakini unaitumia wapi na kwa wakati gani na mazingira yapi?
Putin tatizo ni utendaji wake kwamba hana simile ni kama fyatu fulani. Lakini Putin kama binadamu ni mtu mzuri tuu.
 
Aisee!? Kwa hiyo ww ukiwa na pistol utaenda kuanzisha vurugu ili uweze kupata fursa ya kuitumia kwakuwa imetengenzwa ili itumike au tuseme umeinunua na kuimiliki ili uitumie. Lakini unaitumia wapi na kwa wakati gani na mazingira yapi?
Putin tatizo ni utendaji wake kwamba hana simile ni kama fyatu fulani. Lakini Putin kama binadamu ni mtu mzuri tuu.
Put in muungwana sana angekua kichaa muda huu dunia ingekua inaomboleza kule kivu maana wangefanywa mbaya sana
 
Kitu nnachojiuliza, Urusi inaidadi kubwa ya watu ukilinganisha na Ukraine. Hivi ni kweli inatupasa tuamini ukraine imefanikiwa kuwamaliza askari wa urusi mpaka urusi iombe msaa kwa mataifa mengine?? Wakati huohuo hatujasikia Ukraine ikiomba msaada wa askari kutoka mataifa mengine. Je, ni kweli wapo vizuri kuliko Urusi??
Hili swali lilishajibiwa muda mrefu na moja ya makamanda wa kijeshi wa marekani.
Alisema hivi. Russia ndio nchi kubwa kuliko zote duniani. Inamipaka na nchi 14.
Hivyo inahitaji jeshi kubwa la kulinda mipaka yake. Hata mwanzo wa hii SMO 90 ya wapiganaji walikuwa ni wagne group wakiongozwa na makamanda wa kirusi.
KAma ni kweli wanamgambo wa Houthi wameenda huko kurks basi ni katika makubaliano ya nikune mgongo nami nitakukuna wa kwako.
Kwamba Houthi hawana chochote cha kuwapa russia. Isipokuwa russia wanaweza kuwapa silaha kwa ajili ya issue zao hapo redsea. Wao wameamua kuwapa wanamgambo wakakiwashe kule kursk. Ambapo nakuakikishia hakutakuwa na mazungumzo yoyote ya amani mpaka waakikishe wanawaondoa wanajeshi wa ukraine waliovamia kurks.
 
Put in muungwana sana angekua kichaa muda huu dunia ingekua inaomboleza kule kivu maana wangefanywa mbaya sana
Angelikuwa ni muungwana; mbona mishemishe za maandalizi kwa hilo ameshaanza e.g. ujenzi wa Shetlers, Vikosi vya nuclear vimesha wekwa standby mode? Huyo jamaa haaminiki.
 
Hili swali lilishajibiwa muda mrefu na moja ya makamanda wa kijeshi wa marekani.
Alisema hivi. Russia ndio nchi kubwa kuliko zote duniani. Inamipaka na nchi 14.
Hivyo inahitaji jeshi kubwa la kulinda mipaka yake. Hata mwanzo wa hii SMO 90 ya wapiganaji walikuwa ni wagne group wakiongozwa na makamanda wa kirusi.
KAma ni kweli wanamgambo wa Houthi wameenda huko kurks basi ni katika makubaliano ya nikune mgongo nami nitakukuna wa kwako.
Kwamba Houthi hawana chochote cha kuwapa russia. Isipokuwa russia wanaweza kuwapa silaha kwa ajili ya issue zao hapo redsea. Wao wameamua kuwapa wanamgambo wakakiwashe kule kursk. Ambapo nakuakikishia hakutakuwa na mazungumzo yoyote ya amani mpaka waakikishe wanawaondoa wanajeshi wa ukraine waliovamia kurks.
Isije kibao kikageuka kwamba hakutakuwa na mazungumzo yoyote ya amani mpaka Ukraine ahakikishe amewateketeza Wahouthis wote watakaopelekwa hapo. Muda utasema.
 
Naomba kufahamishwa wenye kujua namna ya kujiunga na jeshi la urusi.Nataka nikapate uzoefu ili Kuja kujitoa ccm Kwa nguvu.
 
Naomba kufahamishwa wenye kujua namna ya kujiunga na jeshi la urusi.Nataka nikapate uzoefu ili Kuja kujitoa ccm Kwa nguvu.
Ooh! Very simple. Omba zile Free Scholarships za Urussi wanazotoa ambazo kwa 100% utakubaliwa, halafu ukifika kule unabadili kibao.
 
Back
Top Bottom