Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

Hiyo ni nzuri, awape mafunzo, mazoezi na uzoefu wakutumia silaha za kisasa katika vita halisi ili wakambane vizuri na USA huko baharini. Pia urusi anajua hii vita inaweza pelekea makabiliano ya Moja kwa Moja na NATO hivyo ni muhimu kuwaweka tayari washirika wake.
 
Ni swala la muda kabla Iran hawajaingia mzigoni.

Hii yaonesha kuwa huenda asemacho Ukraine kuwa wanajeshi wengi wa Urusi wameuawa ikawa kweli
kuna kitu hukielewi mkuu,
Urusi alishagundua anapigana na west huku west ikiwatumia ukraine kama mamluki, hivyo na yeye ameamua sasa kutumia mamluki.....

awali walikuwepo wagner (african corps kwa sasa), kwaio kwa sasa tutegemee mamluki kujaa ukraine...... usitegemee kama Urusi ataingiza wanajeshi wake wengine ukraine,
 
toka mwanzo Urusi hajaingiza jeshi lake vitani ,mwanzo kabisa walikua ni wagner na waasi toka donbas, watu wengi hawajui kama donbas kulikua na vita tokea 2014 kati ya waasi na jeshi la ukraine,

baada ya mgogoro huu kuanza rasmi, Russia walifanya mobilization ya kuongeza wanajeshi, wale wapya ndio wakaenda front line pamoja na mercenaries toka mataifa mbali mbali,,,

kama ulimsikia Katibu mkuu wa NATO yule m-Norway aliyemaliza muda wake alisema wazi Russia kwa sasa ni imara kuliko walivyokua mwaka 2022 na hii ni kwa sababu Russia katika vita zote huanza kwa kusuasua ila mwishoni ndio huwa hatari,

kadri siku zinavyoenda, usishangae kusikia al shabab wapo ukraine vitani
 
Urusi kaishiwa Hadi kuomba msaada wa houthi. Naona wanajeshi wa Korea wanaangalia porn tu.
umemsikia Raisi wa korea ya kusini alichosema kuhusu hao wajeda wa kiduku?

DPRK amepeleka wanajeshi Ukraine kupata uzoefu wa kivita, real battle, na hiki ndio kimemkera raisi wa SK, anaona wanajeshi wa Kim watakua tayari na uzoefu wa vita wakati wa kwake hawana.....
 
Ni swala la muda kabla Iran hawajaingia mzigoni.

Hii yaonesha kuwa huenda asemacho Ukraine kuwa wanajeshi wengi wa Urusi wameuawa ikawa kweli
Acheni kuleta maneno siyo.
Tangu mwanzo wa vita Urusi imekua ikitumia askari wa kukodi mathalan Wagner,lengo la Urusi inaonekana ni kupunguza vifo vya wanajeshi wake/active personnel wake.
Urusi haijaishiwa askari bali inalinda kufa kwa askari wake.
 
Russia ameshindwa wapi!?
Luhansk,Donetsk,Mariupol,Kharkiv haya maeneo yapo chini ya nani!?
Unasema Russia kashindwa ilhali amemega 20% ya ardhi ya Ukraine!?
 
NNae
Nae si awapeleke ukraine
 
Ni swala la muda kabla Iran hawajaingia mzigoni.

Hii yaonesha kuwa huenda asemacho Ukraine kuwa wanajeshi wengi wa Urusi wameuawa ikawa kweli
Kule Ukraine wanajeshi wengi wa NATO wamepelekwa kuwahi bikra 150 za uzima wa milele, nasikia zinamoto sana sababu zipo motoni milele🤣

Kufa ni kawaida tu Warusi wanakufa na Nato wanakufa.
 
ni alliance zinatengenezwa kuelekea 2027,
kama west wanavompa silaha ukraine, ndivyo mrusi nae anatengeneza vikundi atakavyovipa silaha ili kupiga miradi ya kijeshi ya west!

kambi za kijeshi za US zilizozagaa duniani zitaanza kupigwa muda sio mrefu
Ila Houthi ndio jeshi la Yemen sio kikundi ni jeshi kamili lile.
 
ni alliance zinatengenezwa kuelekea 2027,
kama west wanavompa silaha ukraine, ndivyo mrusi nae anatengeneza vikundi atakavyovipa silaha ili kupiga miradi ya kijeshi ya west!

kambi za kijeshi za US zilizozagaa duniani zitaanza kupigwa muda sio mrefu
Huyo Putin si wampe tu hayo majimbo ya Crimea sijui na wapi yaishe?

Kwani anataka nini sasa, anafurahia watu wanauawa yeye amekaa Cremlin anakula kuku tu.

NATO nao wakipeleka wanajeshi si inakuwa vita ya dunia, kwa faida ya nani?

Trump aingie whitehouse amuulize anachotaka Ukraine wampe, wananchi waanze kuishi maisha ya kawaida.
 
Russia ameshindwa wapi!?
Luhansk,Donetsk,Mariupol,Kharkiv haya maeneo yapo chini ya nani!?
Unasema Russia kashindwa ilhali amemega 20% ya ardhi ya Ukraine!?
Haya majimbo uliyotaja ni partially russia amechukua sio ardhi yote, ni baadhi ya maeneo ambayo vita inaendelea na kama russia amechukua hayo kwanini sasa kuna vita vinaendelea mwaka 3? putin alitangaza hivi karibuni kwamba anataka asimamishe lakini Ukraine imuachie hayo majimbo., Ukraine wanahakikisha wanarejesha hadi cremea, vita bado mkuu ni mbichi na sasa ubaya zaidi Ukraine mpaka wamechukua Kurks eneo la russia
 
Hayo maeneo yamechukuliwa totally sio partially.
Ngojea nikuletee ripoti ndio utaelewa.
Russia hakulilia kuachiwa hayo majimbo bali alipodokezwa kuhusu mazungumzo ya amani alitoa masharti matatu;
1)Maeneo aliyoyachukua yatambulike kuwa ni ya Urusi.
2)Urkraine iondoe askari wake Kursk.
3)Ukraine iache mashambulizi katika majimbo aliyobeba .
Akasisitiza KAMA HAYA MASHARTI MATATU HAYAJATIMIZWA MAKUBALIANO YA AMANI HAKUNA.
Je huko ndio kulia lia!??
Vita kuendelea ni lazima kwasababu Ukraine inasisitiza kurudisha maeneo yake huku Russia ikizidi kusonga mbele.
Unategemea vita isiendelee ilhali Russia bado yupo katika ardhi ya Ukraine!?
Mkuu unafikiria kwa kutumia kiungo gani!??
 
Ni swala la muda kabla Iran hawajaingia mzigoni.

Hii yaonesha kuwa huenda asemacho Ukraine kuwa wanajeshi wengi wa Urusi wameuawa ikawa kweli
Aisee!
Eti wanajeshi wengi wa Urusi wameuawa wakati Urusi ndio inaendelea kuchukua maeneo.
Namba hazisemi uongo,wanajeshi wakipungua na uwezo wa kusonga mbele unapungua.
Wanajeshi wakiongezeka na uwezo wa kusonga mbele unaongezeka.
 
Russia anafahamu kuwa NATO na USA wanamlia timing tu hivyo hapendi kutimia wanajeshi wake wengi akisubiri NATO waingie mzigoni. Hii vita inahitaji mahesabu sana, NATO pia anatumia wanajeshi wake kama mercenaries ili wapate experience ya vita
Umeongea pointi kubwa sana hii,na wengi pro NATO hawaelewi hisabu hiyo.
 
Zote ni strategies tu, kama kuna swaiba anakupa askari kwanini upeleke front line watu wako.

Houthis + Talebans ni kama wavietnam wa miaka ile, vita kwao ni disco.

Urusi ameamua mbwaimbwai tu, anakupa silaha za kisasa na maujanja lete askari wako pia wapate uzoefu.
 
Supapawa anaaibika maskini na mwaka huu kabla haujaisha lazima atupe taulo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…