Wapigania Uhuru wa Tanganyika wanaosubiri kutambuliwa wakiwa Makaburini

Wapigania Uhuru wa Tanganyika wanaosubiri kutambuliwa wakiwa Makaburini

Sikupenda kwakua, mada zako nyingi mahitimisho yako ni waislam hawatendewi haki, wamedhulumiwa. Kikubwa nachotaka kujua ni manufaa yapi utapata baada ya kufanikusha kusambaza ujumbe huu wa chuki.
Naam, hili darasa zuri sana kwa wapendao ufahamu
 
Uhuru n Umoja,
Kitabu changu cha Abdul Sykes reviews zimefanywa na
mabingwa wa African History duniani kama John Illife,
Jonathon Glassman na James Brenan.

Hakuna hata sehemu moja wamesema kama naandika
chuki.

Hawa wote ulio waorodhesha ni WAZUNGU, na unajivunia kama ushahidi kuwa hakuna mahala wamesema waandika chuki, kweli? Hao WAZUNGU wakati wanaligawa hili bara la Africa kwa matabaka ni wapi waliwaambia their African collaborators kwamba wanawasaidia kusambaza chuki? Nashaanga, na unanishangaza mno, nlipotumia lugha ya kingereza kukufikishia ujumbe wangu ulinishambulia, sasa iwaje uwalete WAZUNGU tena? Umewarahisishia kazi WAZUNGU katika kampen zao za kugawa watu Africa hawawezi kukukosoa.
 
Hawa wote ulio waorodhesha ni WAZUNGU, na unajivunia kama ushahidi kuwa hakuna mahala wamesema waandika chuki, kweli? Hao WAZUNGU wakati wanaligawa hili bara la Africa kwa matabaka ni wapi waliwaambia their African collaborators kwamba wanawasaidia kusambaza chuki? Nashaanga, na unanishangaza mno, nlipotumia lugha ya kingereza kukufikishia ujumbe wangu ulinishambulia, sasa iwaje uwalete WAZUNGU tena? Umewarahisishia kazi WAZUNGU katika kampen zao za kugawa watu Africa hawawezi kukukosoa.
Uhuru na Umoja,
Unamjua John Illife?

Nimemtaja Illife kwa kuwa yeye ndiye aliyeandika historia
ya Tanganyika kwa umakini zaidi kushinda mtafiti yoyote.

Halikadhalika Glassman na Brenan ni watafiti na wajuzi
wa historia ya Tanganyika.

Ukimtoa Illife hao waliobakia najuana nao vizuri na naijua
misimamo yao kwangu.

Sijui vipi unawaunganisha wasomi hawa na suala la kuigawa
Afrika.
 
Masikitiko ni kuwa mashujaa hawa hadi leo nchi haijawatambua isipokuwa Nyerere peke yake.
Kushoto ni Mwinjuma Mwinyikambi, Max Mbwana, Julius Nyerere na Mshume Kiyate picha ilipigwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1962.
Mtaa wa Mshume Kiyate zamani mtaa wa Tandamati
Pale alipokuwa ikiishi Mwinjuma pamepewa jina lake Kinondoni kwa Mwinjuma!
Na pale Ilala Mchikichini, Max Mbwana kapewa Mtaa unaitwa Max Mbwana Street!, ulitaka wakumbukweje?!.

Urongo mwingine...
Aliyejuu siku zote atakuwa juu tuu, hata mtake kumshusha vipi kwa husda zenu!, ni kweli kwenye harakati za uhuru, kuna wengi wamepigania kwa viwango tofauti, ila aliyeleta uhuru ni mmoja tuu!, Juliasi wa Kambarage Nyerere!, huwezi kutaka kulazimisha wote wakumbukwe sawa na kuenziwa sawa!, aliyechangia harakati za uhuru kwa kupiga duffu atakumbukwa kwa duffu, na aliyekwenda UNO kuudai uhuru, na hatimaye ukapatikana, atakumbukwa kwa hadhi ile ile!. Watu hawalingani na hawafanani!, vimeshindikana vidole!, itakuwa binaadamu!.

By the way, mimi huwa nafanya kazi za partime shamba boy mtaa wa Ally Sykes!.

Pasco
 
Mtaa wa Mshume Kiyate zamani mtaa wa Tandamati
Pale alipokuwa ikiishi Mwinjuma pamepewa jina lake Kinondoni kwa Mwinjuma!
Na pale Ilala Mchikichini, Max Mbwana kapewa Mtaa unaitwa Max Mbwana Street!, ulitaka wakumbukweje?!.

Urongo mwingine...
Aliyejuu siku zote atakuwa juu tuu, hata mtake kumshusha vipi kwa husda zenu!, ni kweli kwenye harakati za uhuru, kuna wengi wamepigania kwa viwango tofauti, ila aliyeleta uhuru ni mmoja tuu!, Juliasi wa Kambarage Nyerere!, huwezi kutaka kulazimisha wote wakumbukwe sawa na kuenziwa sawa!, aliyechangia harakati za uhuru kwa kupiga duffu atakumbukwa kwa duffu, na aliyekwenda UNO kuudai uhuru, na hatimaye ukapatikana, atakumbukwa kwa hadhi ile ile!. Watu hawalingani na hawafanani!, vimeshindikana vidole!, itakuwa binaadamu!.

By the way, mimi huwa nafanya kazi za partime shamba boy mtaa wa Ally Sykes!.

Pasco
Pasco,
Hayo hayo uliyoandika ungeweza kuyaandika kwa adabu bila kejeli.
Hakika Mwinjuma Mwinyikambi kapewa mtaa lakini hujui kisa chake.

Mwinjuma Mwinyikambi nyumbani kwake limewekwa bango kuwa
hapa ndipo palipoanzishwa TANU.

Hii si kweli na kama ulivyoandika huu ni uongo.

Lakini zipo sababu za kutaka historia ionyeshe hivyo na waliofanya
hivyo walifanya kwa lengo maalumu na ndiyo sababu wakakoleza
kwa kumpa barabara.

Max Mbwana kapewa mtaa pamoja na Mshume Kiyate wakati wa
Kitwana Kondo alipokuwa Meya.

Sina hakika kama kibao cha jina kimewekwa.

Uhakika niliokuwanao ni kuwa kibao cha Mshume Kiyate hadi leo
hakijawekwa zaidi ya miaka 20 sasa.

Wazee wetu hawakupatapo hata siku moja hata kwa mbali kufikiria
kushusha hadhi ya Mwalimu Nyerere na ndiyo maana hata ilipoandikwa
historia ya TANU mwaka 1981 na wao mchango wao haukuonyeshwa
ikawa Nyerere ndiye aliyeanzisha TANU wao walibaki kimya hadi wanaingia
kaburini.

Wangetaka wangeuliza mbona sisi tulianza mambo haya na Abdul Sykes
1950 na Abdul ndiye aliyemleta Nyerere kwetu na kutujulisha na tukijua
mipango ya kuunda TANU?

Lakini sisi ni wanungwana tunajua heshima ya fadhila na utu.
Kwetu kusimanga ni mwiko mkubwa sana.

Kiyate Mshume, Abdul Sykes, John Rupia, Dossa Aziz, Sheikh
Hassan bin Amir
kuwataja wachache hawakuchangia juhudi za kudai
uhuru kwa kupiga dufu.

Ikiwa hujui michango ya wazalendo hawa yote nimeyaeleza katika itabu
cha maisha ya Abdul Sykes.

Kitafute kitabu usome.

Kinapatikana Ibn Hazm Media Centre Bookshop Msikiti wa Manyema
na Mtoro.

Mwisho nataka nikueleze kuwa safari ya Nyerere UNO ilianza kupangwa
mwakawa 1950 na mtu aliyesaidia sana alikuwa Earle Seaton kwa ushauri
wa kisheria na Seaton alikuwa rafiki ya Abdul Sykes na ndiye aliyemleta
katika siasa za TANU.

Lakini waliosimamia safari lilikuwa Baraza la Wazee wa TANU chini ya uenyekiti
wa Sheikh Suleiman Takadir na mkusanyaji fedha za safari alikuwa Idd
Faiz Mafongo.

Huyu ndiye alikuwa mweka hazina wa Al Jamiatul Islamiyya Fi Tanganyika na
TANU.

Yako mengi lakini kwa sasa tosheka na maelezo haya.

Nahitimisha kwa kukueleza kuwa huo Mtaa wa Ally Sykes kajipa mwenyewe
na kauita Ally Sykes Close.

Mtaa huo hakutunukiwa na haupo katika ramani ya jiji.

Pasco,
Nimekuunga katika blog yangu kukuongezea wasomaji na kukuwekea picha za wazee wetu:
Mohamed Said: KUTOKA JF: UHURU UMELETWA NA NYERERE PEKE YAKE WAISLAM WALIPIGA DUFU
 
Pasco,
Hayo hayo uliyoandika ungeweza kuyaandika kwa adabu bila kejeli.
Hakika Mwinjuma Mwinyikambi kapewa mtaa lakini hujui kisa chake.

Mwinjuma Mwinyikambi nyumbani kwake limewekwa bango kuwa
hapa ndipo palipoanzishwa TANU.

Hii si kweli na kama ulivyoandika huu ni uongo.

Lakini zipo sababu za kutaka historia ionyeshe hivyo na waliofanya
hivyo walifanya kwa lengo maalumu na ndiyo sababu wakakoleza
kwa kumpa barabara.

Max Mbwana kapewa mtaa pamoja na Mshume Kiyate wakati wa
Kitwana Kondo alipokuwa Meya.

Sina hakika kama kibao cha jina kimewekwa.

Uhakika niliokuwanao ni kuwa kibao cha Mshume Kiyate hadi leo
hakijawekwa zaidi ya miaka 20 sasa.

Wazee wetu hawakupatapo hata siku moja hata kwa mbali kufikiria
kushusha hadhi ya Mwalimu Nyerere na ndiyo maana hata ilipoandikwa
historia ya TANU mwaka 1981 na wao mchango wao haukuonyeshwa
ikawa Nyerere ndiye aliyeanzisha TANU wao walibaki kimya hadi wanaingia
kaburini.

Wangetaka wangeuliza mbona sisi tulianza mambo haya na Abdul Sykes
1950 na Abdul ndiye aliyemleta Nyerere kwetu na kutujulisha na tukijua
mipango ya kuunda TANU?

Lakini sisi ni wanungwana tunajua heshima ya fadhila na utu.
Kwetu kusimanga ni mwiko mkubwa sana.

Kiyate Mshume, Abdul Sykes, John Rupia, Dossa Aziz, Sheikh
Hassan bin Amir
kuwataja wachache hawakuchangia juhudi za kudai
uhuru kwa kupiga dufu.

Ikiwa hujui michango ya wazalendo hawa yote nimeyaeleza katika itabu
cha maisha ya Abdul Sykes.

Kitafute kitabu usome.

Kinapatikana Ibn Hazm Media Centre Bookshop Msikiti wa Manyema
na Mtoro.

Mwisho nataka nikueleze kuwa safari ya Nyerere UNO ilianza kupangwa
mwakawa 1950 na mtu aliyesaidia sana alikuwa Earle Seaton kwa ushauri
wa kisheria na Seaton alikuwa rafiki ya Abdul Sykes na ndiye aliyemleta
katika siasa za TANU.

Lakini waliosimamia safari lilikuwa Baraza la Wazee wa TANU chini ya uenyekiti
wa Sheikh Suleiman Takadir na mkusanyaji fedha za safari alikuwa Idd
Faiz Mafongo.

Huyu ndiye alikuwa mweka hazina wa Al Jamiatul Islamiyya Fi Tanganyika na
TANU.

Yako mengi lakini kwa sasa tosheka na maelezo haya.

Nahitimisha kwa kukueleza kuwa huo Mtaa wa Ally Sykes kajipa mwenyewe
na kauita Ally Sykes Close.

Mtaa huo hakutunukiwa na haupo katika ramani ya jiji.

Pasco,
Nimekuunga katika blog yangu kukuongezea wasomaji na kukuwekea picha za wazee wetu:
Mohamed Said: KUTOKA JF: UHURU UMELETWA NA NYERERE PEKE YAKE WAISLAM WALIPIGA DUFU

Mbana ilikua rahisi sana kuandika "Uhuru uliletwa na Nyerere na wakina Sykes, Takadir na wengine walipiga dufu" kwanini uandike Uhuru uliletwa na Nyerere pekee na Waislam walipiga dufu. Kinachonisikitisha sana ni msomi wa level yako failing to unlock yourself from the confinement of religious prejudice.

Your desperate endeavors to unleash religious hatred its utterly disgusting. You can reason and do far much better than this. I truly believe, our generation needs to learn, needs to be taught love but not hatred.
 
Uhuru na Umoja,
Unamjua John Illife?

Nimemtaja Illife kwa kuwa yeye ndiye aliyeandika historia
ya Tanganyika kwa umakini zaidi kushinda mtafiti yoyote.

Halikadhalika Glassman na Brenan ni watafiti na wajuzi
wa historia ya Tanganyika.

Ukimtoa Illife hao waliobakia najuana nao vizuri na naijua
misimamo yao kwangu.

Sijui vipi unawaunganisha wasomi hawa na suala la kuigawa
Afrika.

Utetezi wako haina mvuto, ulinikubalisha tuachane na Wazungu. Iwaje wewe urudi huko kwa wazungu tena?
Those whites couldn't catch a glimpse of religious conspirancy in your articles indubitably because, their own articles contain similar religious motive.
Sisi wasomaji wa article zako tunakuambia kua zinamekaa "waislam tumedhulumia or tunadhulumiwa, tunaonewa". Tukikuambia sisi unakataa, nakutuletea wazungu, eti wasomi, nani sio msomi? Hivi kuitambua chuki inabidi mtu awe professor?
 
Utetezi wako haina mvuto, ulinikubalisha tuachane na Wazungu. Iwaje wewe urudi huko kwa wazungu tena?
Those whites couldn't catch a glimpse of religious conspirancy in your articles indubitably because, their own articles contain similar religious motive.
Sisi wasomaji wa article zako tunakuambia kua zinamekaa "waislam tumedhulumia or tunadhulumiwa, tunaonewa". Tukikuambia sisi unakataa, nakutuletea wazungu, eti wasomi, nani sio msomi? Hivi kuitambua chuki inabidi mtu awe professor?
Uhuru n Umoja,
Sina tatizo na fikra zako nakusoma na nakuelewa.

Weingi wa mfano wako wameumizwa sana na hii
historia kwani hivyo ndivyo walivyoaminishwa.

Kuja kuukubali ukweli uliofichwa kwa nusu karne
kwao imekuwa dhiki kubwa.
 
Mbana ilikua rahisi sana kuandika "Uhuru uliletwa na Nyerere na wakina Sykes, Takadir na wengine walipiga dufu" kwanini uandike Uhuru uliletwa na Nyerere pekee na Waislam walipiga dufu. Kinachonisikitisha sana ni msomi wa level yako failing to unlock yourself from the confinement of religious prejudice.

Your desperate endeavors to unleash religious hatred its utterly disgusting. You can reason and do far much better than this. I truly believe, our generation needs to learn, needs to be taught love but not hatred.
Uhuru n Umoja,
Wapi Abdul na Ally Sykes wametajwa kama wapigania uhuru
kiasi mimi niwavishe joho hilo?

Chuo Cha Kivukoni kimeandika historia ya TANU na hakuna
popote ambako Sheikh Suleiman Takadir ametajwa achilia
mbali Abdul na Ally Sykes.

Mwenye chuki nani hawa waliowafuta wazalendo hawa katika
historia au mimi niliowarejesha?
 
Kariakoo upo mtaa unaitwa Max Mbwana ambao umezoeleka kwa jina la Aggrey..
 
Kariakoo upo mtaa unaitwa Max Mbwana ambao umezoeleka kwa jina la Aggrey..
Lofawamali,
Unajua kisa cha mtaa ule kuitwa Aggrey?

Mwaka wa 1924 Dr. Kwegyr Aggrey alikuja Dar es Salaam kusaidia
serikali ya kikoloni katika suala la elimu kwa Waafrika wa Tanganyika.

Huyu bwana alikataliwa kulala Africa Hotel ikabidi atafutiwe malazi
Government House.

Dr. Aggrey alikutana na watu maarufu wa Dar es Salaam na mmoja
wao alikuwa Kleist Sykes.

Alimuuliza kama Waafrika wa Tanganyika wana chama chochote cha
kushughulikia mambo yao na jibu likawa hapana.

Dr. Aggrey akawashauri waunde African Association.

Wazo hili Kleist alilipenda na alilifanyia kazi na ilipofika mwaka wa 1929
wakaunda African Association Kleist akiwa katibu na rais Cecil Matola.

Kutokana na ujio wa Dr. Aggrey ndiyo mtaa ule ukapewa jina lake na
ikasadifu kuwa Kleist Sykes alikuwa akiishi mtaa ule kuanzia mwaka wa
1942.

Nyumba hii ndiyo alikuja kuishi mwanae Abdul Sykes na hapo pakaja
kuwa kituo kikubwa cha harakati za kuunda TANU na kudai uhuru.

Mikutano mingi ya wanaharakati ilikuwa ikifanyika pale katika miaka ya
mwanzoni 1950 na Nyerere ndipo alipopelekwa na Joseph Kasella
Bantu
kwenda kujulishwa kwa Katibu wa TAA na Kaimu Rais Abdul
Sykes
mwaka wa 1952.

Nyerere alipoacha kazi mwaka wa 1955 alikuja kukaa nyumba hii na
Abdul Sykes.

Alipotoka hapa ndipo Mwalimu Nyerere akahamia Magomeni Majumba
Sita nyumba aliyotafuta Mzee John Rupia.

Nyumba hii ya Mtaa wa Aggrey (sasa Max Mbwana) imevunjwa.

Nyumba hii kwa sasa haipo tena badala yake Bwana Ally Sykes kajenga
gorofa.

Baba yangu Salum Abdallah amenihadithia kuwa siku ya kwanza kumtia
Nyerere machoni ilikuwa nyumba hii kwa rafiki yake Abdul Sykes

Unaweza kusoma historia ya Dr. Aggrey hapo chini:
James Emman Kwegyir Aggrey - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Uhuru n Umoja,
Sina tatizo na fikra zako nakusoma na nakuelewa.

Weingi wa mfano wako wameumizwa sana na hii
historia kwani hivyo ndivyo walivyoaminishwa.

Kuja kuukubali ukweli uliofichwa kwa nusu karne
kwao imekuwa dhiki kubwa.

Unanishangaza hapa sana. Mimi sijawahi umizwa na historia. Rudia post yangu nlioandiks juu ya imani, nliweka clear, I was once a slave like you. Sio tena.
 
Unanishangaza hapa sana. Mimi sijawahi umizwa na historia. Rudia post yangu nlioandiks juu ya imani, nliweka clear, I was once a slave like you. Sio tena.
Uhuru n Umoja,
Ungekuwa hutaabishwi na hii historia niliyoandika ili
kusahihisha historia iliyoandikwa na Chuo Cha Kivukoni
usingeingia katika huu mjadala.

Mimi si mfungwa wa yoyote ndiyo maana unaona
hapa JF nimeingia kwa jina langu halisi.
 
Mbana ilikua rahisi sana kuandika "Uhuru uliletwa na Nyerere na wakina Sykes, Takadir na wengine walipiga dufu" kwanini uandike Uhuru uliletwa na Nyerere pekee na Waislam walipiga dufu. Kinachonisikitisha sana ni msomi wa level yako failing to unlock yourself from the confinement of religious prejudice.

Your desperate endeavors to unleash religious hatred , our generation needs to learn, needs to be taught love but not hatred.
Umegusa penyewe haswa!. Urongo unaopikwa kwa makini kwa kuchanganywa na ukweli kidogo ili kutengeneza lengo linaloitwa "the motive behind!".

Pasco
 
Pasco,
Hayo hayo uliyoandika ungeweza kuyaandika kwa adabu bila kejeli.
Hakika Mwinjuma Mwinyikambi kapewa mtaa lakini hujui kisa chake.

Mwinjuma Mwinyikambi nyumbani kwake limewekwa bango kuwa
hapa ndipo palipoanzishwa TANU.

Hii si kweli na kama ulivyoandika huu ni uongo.

Lakini zipo sababu za kutaka historia ionyeshe hivyo na waliofanya
hivyo walifanya kwa lengo maalumu na ndiyo sababu wakakoleza
kwa kumpa barabara.

Pasco,
Nimekuunga katika blog yangu kukuongezea wasomaji na kukuwekea picha za wazee wetu:
Mohamed Said: KUTOKA JF: UHURU UMELETWA NA NYERERE PEKE YAKE WAISLAM WALIPIGA DUFU
TANU imeanzishwa mahali pengi kwa vipindi tofauti tofauti, kila mahali ilipoanzishwa, pana haki na halali kuwekwa kibao "Hapa ndipo ilipoanzishwa TANU" kwa eneo hili!.

Naunga mkono juhudi zozote za kuihifadhi historia ya kweli ya harakati za uhuru iliyofichwa, ila siungi mkono "the ill motive behind!".


Pasco
 
TANU imeanzishwa mahali pengi kwa vipindi tofauti tofauti, kila mahali ilipoanzishwa, pana haki na halali kuwekwa kibao "Hapa ndipo ilipoanzishwa TANU" kwa eneo hili!.

Naunga mkono juhudi zozote za kuihifadhi historia ya kweli ya harakati za uhuru iliyofichwa, ila siungi mkono "the ill motive behind!


Pasco
Pasco,
Umesema kweli TANU imeanzishwa mahali pengi.

Lakini chanzo cha matawi hayo yote ni nyumbani
kwa Abdul Sykes Mtaa wa Aggrey na Sikukuku.

Fatilia historia ya TANU hapa chini:

Lofawamali,
Unajua kisa cha mtaa ule kuitwa Aggrey?

Mwaka wa 1924 Dr. Kwegyr Aggrey alikuja Dar es Salaam kusaidia
serikali ya kikoloni katika suala la elimu kwa Waafrika wa Tanganyika.

Huyu bwana alikataliwa kulala Africa Hotel ikabidi atafutiwe malazi
Government House.

Dr. Aggrey alikutana na watu maarufu wa Dar es Salaam na mmoja
wao alikuwa Kleist Sykes.

Alimuuliza kama Waafrika wa Tanganyika wana chama chochote cha
kushughulikia mambo yao na jibu likawa hapana.

Dr. Aggrey akawashauri waunde African Association.

Wazo hili Kleist alilipenda na alilifanyia kazi na ilipofika mwaka wa 1929
wakaunda African Association Kleist akiwa katibu na rais Cecil Matola.

Kutokana na ujio wa Dr. Aggrey ndiyo mtaa ule ukapewa jina lake na
ikasadifu kuwa Kleist Sykes alikuwa akiishi mtaa ule kuanzia mwaka wa
1942.

Nyumba hii ndiyo alikuja kuishi mwanae Abdul Sykes na hapo pakaja
kuwa kituo kikubwa cha harakati za kuunda TANU na kudai uhuru.

Mikutano mingi ya wanaharakati ilikuwa ikifanyika pale katika miaka ya
mwanzoni 1950 na Nyerere ndipo alipopelekwa na Joseph Kasella
Bantu
kwenda kujulishwa kwa Katibu wa TAA na Kaimu Rais Abdul
Sykes
mwaka wa 1952.

Nyerere alipoacha kazi mwaka wa 1955 alikuja kukaa nyumba hii na
Abdul Sykes.

Alipotoka hapa ndipo Mwalimu Nyerere akahamia Magomeni Majumba
Sita nyumba aliyotafuta Mzee John Rupia.

Nyumba hii ya Mtaa wa Aggrey (sasa Max Mbwana) imevunjwa.

Nyumba hii kwa sasa haipo tena badala yake Bwana Ally Sykes kajenga
gorofa.

Baba yangu Salum Abdallah amenihadithia kuwa siku ya kwanza kumtia
Nyerere machoni ilikuwa nyumba hii kwa rafiki yake Abdul Sykes

Unaweza kusoma historia ya Dr. Aggrey hapo chini:
James Emman Kwegyir Aggrey - Wikipedia, the free encyclopedia

Pasco,
Sasa ingekuwa kibao cha kuonyesha TANU ilipoundwa hakuna mahali awla
zaidi kuliko nyumbani kwa Abdul Sykes kwa sababu wanasiasa wote wa
wakati ule kuanzia Hamza Mwapachu, Chief Kidaha Makwaia, Julius
Nyerere
wote hao kwa nyakati tofauti wameruka kizingiti cha mlango wa
nyumba ya Abdul kuja kuzungumza hali ya baadae ya Tanganyika.

TANU haikuundwa nyumbani kwa Mzee Mwinjuma Mwinyikambi.
Hakuna ushahidi wowote katika hili.

Kama ulivyosema, huo ni uongo.

Ikitokea fursa In Shaallah nitakujuza kuhusu mswada wa kitabu cha historia
ya TANU ulioandikwa na Abdul Sykes na Dr. Wilbert Klerruu mwanzoni
mwa miaka ya 1960 mara tu baada ya Tanganyika kupata uhuru wake.

Kwa leo staladhi na haya nilokueleza.
 
Nakumbuka kauli ya hayati baba wa taifa kuifanya lugha ya kiswahili kuwa lugha rasmi ya taifa na dhumuni kubwa ni kuifanya ivuke mipaka zaidi ya Tanzania...unapoandika kiingereza na wakati mleta Uzi ameandika kiswahili inaonesha wazi namna ulivyo limbukeni wa lugha ya malkia. Kuna forum za kiingereza nyingi tu changia kwa lugha hiyo, inaonesha wazi umesoma maelezo fika na kuelewa kisha kwa utashi wako ukaona ubadili lugha ili sijui ueleweke sana au iweje Unajua wewe na nafsi yako...soma alama za nyakati sio kila mahala pa kuandika lugha ya malkia ndugu, hivyo mara nyingine jifunze kuandika kwa lugha ya taifa mahala panapostahili na kiingereza mahala panapostahili....

Alama za nyakati ndiyo kutokuandika Kiingereza? Nyakati za namna gani hizo mkuu? Unajuaje kama yeye hiyo lugha ndiyo anaimudu zaidi ya unayoijua wewe? Kiingereza kinastahili wapi?

Kama hujui alichokiandika, ni tatizo lako binafsi. Unaweza kuomba tafsiri ya google siku hizi dunia imerahisisha. Hakuna mtu mweye akili anasemaga "mimi maimuna". Watu wanatafsiri mamia ya lugha duniani kwa google halafu wewe unaleta ua "maimuna wako hapa". Kama hata kuutmia google kutafsiri hujui, ina maana huna lolote la maana lakutusogeza kule tunakotaka kufika. Wewe usbiri futari jioni ukae kwenye mkeka ukunje mguu siku zisonge mbele. Usiake watu wote wawe maimuna kwa kuwa wewe kichwa yako haikamati.
 
Mimi nakufahamu vizuri, vizuri sana, na nakufuatilia vyema, nlikuona kwenye moja ya university USA but sikumbuki wapi niliona picha ile.

"sina ushamba wa kutaka watu wanijue kuwa
mimi ni mtaalamu wa lugha hiyo."

Hii ni ajabu sana, na kwa kina naona unahamaki na hutaki ongelea ujumbe niliokufikishia.

Matumizi ya lugha sio ushamba ila ni ushamba kusema matumizi ya lugha ni ushamba. Lugha ni mawasiliano, ingekua vibaya kwangu kutumia lugha ya hiyo kwa asiye na ufahamu, ila kwakua nakufahamu, na najua kua utanipata nliamua kukufikishia UJUMBE kwa lugha hiyo.

Ulichokifanya ni ujanja ujanja wa kukwepa ujumbe maridhawa nliokufikishia na kuamua kuongea ishu za lugha.

Umegonga kwenye mavichwa mapumbavu anayokimbilia kwenyelugha na kuacha hoja. Mengine yanawivu wa kutokuelewa lugha na hivyo kulazimisha watu wote wasielewe. Wewe andika hata ki Italiano tutapata tafasiri kwenye google na hoja itasomeka tu. Mijitu conservative inayodhani kuzuia watu kutumialugha fulani ndiyo maendeleo ni mishenzi tu na haina hata maana. Ninadhani kuna kundi la mijitu ambayo ni failure inalazimisha kila mtu asitumie lugha zaidi ya inayozijua yenyewe. Na mingine ni mi Osama tu ambayo pamoja na kujua lugha mbali mbali, inatake kuhamisha chuki na itikadi zake kuzuia watu wasitumie lugha za watu inayowachukia na hivyo kuungana na kundi la mijuha katika kufanikisha umoja wao wa mioyoni.

Dunia sasa ni kitu kidogo. Wewe tumia lugha yoyote unayotaka na ambayo unapenda. Anayetaka kuelewa ataomba mkarimani kama anaishi na "mimaimuna" hana mtu wa kumtafasiria, atatafuta tafasiri kwenlye google lakin mtu asitake kuleta upumbavu wa chuki za kiitikadi na mitazamo kuzuia watu kuandika kizungu kwa sababu yeye ana agenda zake za siri.

Kulazimisha watu wasiandike kiingereza wakati kila kitu mnataka kutoka kwao ni UPUMBAVU MTUPU ambao unaweza kufanya kazi Amboni tu.
 
Alama za nyakati ndiyo kutokuandika Kiingereza? Nyakati za namna gani hizo mkuu? Unajuaje kama yeye hiyo lugha ndiyo anaimudu zaidi ya unayoijua wewe? Kiingereza kinastahili wapi?

Kama hujui alichokiandika, ni tatizo lako binafsi. Unaweza kuomba tafsiri ya google siku hizi dunia imerahisisha. Hakuna mtu mweye akili anasemaga "mimi maimuna". Watu wanatafsiri mamia ya lugha duniani kwa google halafu wewe unaleta ua "maimuna wako hapa". Kama hata kuutmia google kutafsiri hujui, ina maana huna lolote la maana lakutusogeza kule tunakotaka kufika. Wewe usbiri futari jioni ukae kwenye mkeka ukunje mguu siku zisonge mbele. Usiake watu wote wawe maimuna kwa kuwa wewe kichwa yako haikamati.
Nakuhurumia sababu kubwa moja, huna hekima na busara...kama ungekuwa mstaarabu kulikuwa na namna nyingi za kumrekebisha mtu ila kwa namna ulivyokuja ni katika majigambo, dharau na nyodo...mwenye utashi sawasawa anakwishaelewa akuweke kundi gani, inawezekana ukawa una kadegree kamoja ndiko kanakutia kiburi na kuona kila mtu hajasoma, usipende kumdegrade mtu kwenye social media usiyemjua...tafuta namna nzuri ya kumrekebisha mtu na sio kwa namna uliyoitumia kuattack mtu pasipo sababu...niligusia lugha kama ungekuwa una hiyo elimu kama unavyojitanabaisha ungeitumia vyema, au elimu yako ni ya makaratasi tu, au Google translate umeijua leo basi unahisi kila mtu hajui English??? Pole sana ndugu
 
Nakuhurumia sababu kubwa moja, huna hekima na busara...kama ungekuwa mstaarabu kulikuwa na namna nyingi za kumrekebisha mtu ila kwa namna ulivyokuja ni katika majigambo, dharau na nyodo...mwenye utashi sawasawa anakwishaelewa akuweke kundi gani, inawezekana ukawa una kadegree kamoja ndiko kanakutia kiburi na kuona kila mtu hajasoma, usipende kumdegrade mtu kwenye social media usiyemjua...tafuta namna nzuri ya kumrekebisha mtu na sio kwa namna uliyoitumia kuattack mtu pasipo sababu...niligusia lugha kama ungekuwa una hiyo elimu kama unavyojitanabaisha ungeitumia vyema, au elimu yako ni ya makaratasi tu, au Google translate umeijua leo basi unahisi kila mtu hajui English??? Pole sana ndugu

Mpumbavu hata ukimtwanga kwenye kinu na nafaka, nafaka zitakoboka maganda yake lakini upumbavu wake haumtoki. Na ndiyo sababu hadi sasa unaendeleza upumbavu huo huo. Kwenda huko pumbavu!
 
Back
Top Bottom