Wapigania Uhuru wa Tanganyika wanaosubiri kutambuliwa wakiwa Makaburini

Wapigania Uhuru wa Tanganyika wanaosubiri kutambuliwa wakiwa Makaburini

Mpumbavu hata ukimtwanga kwenye kinu na nafaka, nafaka zitakoboka maganda yake lakini upumbavu wake haumtoki. Na ndiyo sababu hadi sasa unaendeleza upumbavu huo huo. Kwenda huko pumbavu!
Hongera wewe Mwerevu
 
tAZ7Q0CbeIpy9U9VrFhQRXVT3KiZoLVWyGRWVQGRN9MQ2MWqQTn6Pdw3hADo7z3DvALdD5Hr-xQ=w724-h567-no

Wazee wa Dar es Salaam katika Baraza la Wazee wa TANU na Mwalimu Julius Nyerere katika Uchaguzi Mkuu wa 1962.

Masikitiko ni kuwa mashujaa hawa hadi leo nchi haijawatambua isipokuwa Nyerere peke yake.

Kushoto ni Mwinjuma Mwinyikambi, Max Mbwana, Julius Nyerere na Mshume Kiyate picha ilipigwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1962.​

sheikh wangu...nani huyu aliyesababisha mashujaa wetu wasitambuliwe tumwadabishe?
 
Pasco,
Umesema kweli TANU imeanzishwa mahali pengi.

Lakini chanzo cha matawi hayo yote ni nyumbani
kwa Abdul Sykes Mtaa wa Aggrey na Sikukuku.
Maalim kwa vile wewe uliambiwa kuwa TANU ilianzia nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Aggrey na Sikukuku, hivyo unataka kulazimisha kila TANU ilipoanzia pia kibao hicho kiseme "Pia ilianzia nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Aggrey na Sikukuku?!".

Tabia ya "mwamba ngoma" pia ni tabia ya kibinaadam kila mtu kuvutia kwake, kwa vile wewe uliambiwa TANU ilianzia nyumbani kwa huyu Mzulu Abdul Sykes Mtaa wa Aggrey na Sikukuku, inaweza kuwa ni mwamba ngoma tuu, lakini ukweli ukawa TANU imeanzia pale kwenye kibao kilichoandikwa "Hapa ndipo TANU, ilipozaliwa!" na sio kwa muwamba ngoma!.

Pasco
 
Maalim kwa vile wewe uliambiwa kuwa TANU ilianzia nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Aggrey na Sikukuku, hivyo unataka kulazimisha kila TANU ilipoanzia pia kibao hicho kiseme "Pia ilianzia nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Aggrey na Sikukuku?!".

Tabia ya "mwamba ngoma" pia ni tabia ya kibinaadam kila mtu kuvutia kwake, kwa vile wewe uliambiwa TANU ilianzia nyumbani kwa huyu Mzulu Abdul Sykes Mtaa wa Aggrey na Sikukuku, inaweza kuwa ni mwamba ngoma tuu, lakini ukweli ukawa TANU imeanzia pale kwenye kibao kilichoandikwa "Hapa ndipo TANU, ilipozaliwa!" na sio kwa muwamba ngoma!.

Pasco
Pasco,
Mimi licha ya kuambiwa nimefanya utafiti na nimesoma nyaraka za
Sykes jalada baada ya jalada karatasi ya kwanza hadi ya mwisho.

Baada ya kumaliza nikaandika kitabu na ndicho kitabu hivi sasa katika
vyuo vingi duniani wanakosomesha African History kinatumika.

Wala simlazimishi mtu kuamini niliyoandika.

Lakini ikutoshe tu kuwa kitabu changu kimefanyiwa ''review,'' na ''journals''
nyingi Ulaya na Marekani na kimo katika Cambridge Journal of African
History na aliyekiingiza humo ni John Iliffe.

Naamini unalijua hili jarida na hadhi yake na unamjua John Iliffe.

John Iliffe ndiye aliyeandika historia ya Tanganyika na katika mlango wa
African Association nyaraka alizotumia kuandika ni nyaraka za Sykes hizi
alipatiwa na Daisy Abdulwahid Sykes ambae alikuwa mwanafunzi wake
Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam mwaka wa 1968.

Ikiwa mimi ni muongo basi hata Iliffe ni muongo na Daisy pia ni muongo
yeye na baba yake marehemu Abdul Sykes maana hizo nyaraka ni za
baba yake Mzee Kleist Sykes ambae Daisy ni babu yake.

Lakini ukipenda unaweza kumsoma Daisy katika, ''Modern Tanzanians,''
kitabu alichohariri John Iliffe, Daisy kaandika katika kitabu hiki maisha
ya babu yake, ''Kleist Sykes: The Townsman.''

Yapo mengi lakini tuishie hapa kwa leo.

Pasco,
Unaweza kuingia hapa kusoma zaidi historia ya Tanganyika:
Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK

Nimeshiriki kama mtafiti na mwandishi katika mradi huo wa Dictionary
of African Biography (DAB) ambao ulikuwa ni ushirika kati ya Harvard
na Oxford University Press, New York.
 
Kadoda11,
Nyerere
anatajwa kila siku nchini petu na wala amtajae si Mohamed Said.
Ni weye ndio umtajae zaidi.
kuna mada yako moja hapa jamvini, ulimtaja nyerere saba mara sabini.nilihesabu.
 
Inshallah nitafanya hivo baada ya mfungo wa ramadhan
Kadoda11,
Allahuma Amin.

Katika post kama tatu hivi za mwisho kuna mengi nimeweka
katika historia ya TANU hukuona la kusema ila umekerwa na
kutajwa Nyerere...

Hujaona chochote hapa chini:
Pasco,
Mimi licha ya kuambiwa nimefanya utafiti na nimesoma nyaraka za
Sykes jalada baada ya jalada karatasi ya kwanza hadi ya mwisho.

Baada ya kumaliza nikaandika kitabu na ndicho kitabu hivi sasa katika
vyuo vingi duniani wanakosomesha African History kinatumika.

Wala simlazimishi mtu kuamini niliyoandika.

Lakini ikutoshe tu kuwa kitabu changu kimefanyiwa ''review,'' na ''journals''
nyingi Ulaya na Marekani na kimo katika Cambridge Journal of African
History na aliyekiingiza humo ni John Iliffe.

Naamini unalijua hili jarida na hadhi yake na unamjua John Iliffe.

John Iliffe ndiye aliyeandika historia ya Tanganyika na katika mlango wa
African Association nyaraka alizotumia kuandika ni nyaraka za Sykes hizi
alipatiwa na Daisy Abdulwahid Sykes ambae alikuwa mwanafunzi wake
Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam mwaka wa 1968.

Ikiwa mimi ni muongo basi hata Iliffe ni muongo na Daisy pia ni muongo
yeye na baba yake marehemu Abdul Sykes maana hizo nyaraka ni za
baba yake Mzee Kleist Sykes ambae Daisy ni babu yake.

Lakini ukipenda unaweza kumsoma Daisy katika, ''Modern Tanzanians,''
kitabu alichohariri John Iliffe, Daisy kaandika katika kitabu hiki maisha
ya babu yake, ''Kleist Sykes: The Townsman.''

Yapo mengi lakini tuishie hapa kwa leo.

Pasco,
Unaweza kuingia hapa kusoma zaidi historia ya Tanganyika:
Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK

Nimeshiriki kama mtafiti na mwandishi katika mradi huo wa Dictionary
of African Biography (DAB) ambao ulikuwa ni ushirika kati ya Harvard
na Oxford University Press, New York.

Kadoda11,
Nyerere
katajwa mara ngapi?
 
Mchapafito,
Ningefurahi sana kama tungewakumbuka kwa kuipa mitaa majina yao
kama vile Mtaa wa Tandamuti ulivyobadilishwa na kuitwa Mtaa wa
Mshume Kiyate.

Huu ni mfano mmoja.

Jengo la CCM ambalo ndipo yalipokuwa makao Makuu ya African
Association na ndipo palipokuja kuasisiwa TANU nyumba hii ilijengwa
kati ya mwaka wa 1929 - 1933 na ilijengwa kwa kujitolea na viongozi
wa wakati ule.

Baadhi ya viongozi hawa walikuwapo hadi TANU ilipoasisiwa lakini leo
ukiingia katika ofisi za CCM hakuna hata kumbukumbu ya picha zao mle
ndani.

Ikiwa Bunge Dodoma kuna Ukumbi wa Msekwa kwa heshima ya mchango
wake katika Bunge kwa nini leo tusiwa na ukumbi wa mkutano katika ofisi
kwa kumbukumbu ya Abdulwahid Sykes au Earle Seaton au Sheikh
Hassan bin Amir
au Sheikh Suleiman Takadir.

Ikiwa labda wewe hujapatapo kusikia majina hayo katika kupigania uhuru
wa Tanganyika nakushauri usome kitabu cha Abdulwahid Sykes.

Ukipenda zaidi ingia hapa:
Mohamed Said: KUTOKA JF: ATHARI YA KUJARIBU KUIBADILI HISTORIA YA TANU NA YA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA
Uko sahihi, majina ya wapigania uhuru wa nchi ni vyema yapewe hadhi.
 
Back
Top Bottom