#COVID19 Wapinga chanjo (Gwajima et al) wana macho lakini hawaoni

#COVID19 Wapinga chanjo (Gwajima et al) wana macho lakini hawaoni

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Inawezekana ugumu wa kuelewa hurithiwa. Coverage ya chanjo ya gonjwa la Covid Uingereza ni zaidi ya 70% . Angalia viwanjani kwenye premiere league England ni full. Watu hawavai barakoa tena viwanjani.

Njoo huku bongoland unawakuta much know just for political gain, wahamasishaji kuzuia watu wasiwe immunised. Nini Lengo la hawa watu?

Science ya chanjo inajulikana na mechanism ya chanjo kutengeneza kinga inajulikana.

Isitoshe wahusika wanachanjo kadhaa tayari toka ubeberuni.

Nyie wapinga chanjo mkiongozwa na hao two MPS Gwajima na Polepole what you are doing is sabotage maana ukweli u peupe huko ulaya walikochnjwa maisha ya kawaida yameanza kurejea.

Twendeni tukachanje korona inaua
 
Inawezekana ugumu wa kuelewa hurithiwa. Coverage ya chanjo ya gonjwa la Covid Uingereza ni zaidi ya 70% . Angalia viwanjani kwenye premiere league England ni full. Watu hawavai barakoa tena viwanjani...
Wapinga chanjo ndio walistahili washitakiwe kwa ugaidi na uhujumu uchumi na sii wale wa kubambikiwa.
 
Nakumbusha tu zile dose 1M hazijaisha hadi sasa
 
Kuhusu chanjo kila mtu akomae na amani ya moyo wake mi ngoja nisubiri kwanza muda bado kwangu.
 
Inawezekana ugumu wa kuelewa hurithiwa. Coverage ya chanjo ya gonjwa la Covid Uingereza ni zaidi ya 70% . Angalia viwanjani kwenye premiere league England ni full. Watu hawavai barakoa tena viwanjani...
Wewe mpambe 'shut up and listen to the spiritual advice by clicking on the link
 
Inawezekana ugumu wa kuelewa hurithiwa. Coverage ya chanjo ya gonjwa la Covid Uingereza ni zaidi ya 70% . Angalia viwanjani kwenye premiere league England ni full. Watu hawavai barakoa tena viwanjani...
CHANJO KWANZA KABLA YA TIBA...

#TwendeniTukachanjwe
 
Inawezekana ugumu wa kuelewa hurithiwa. Coverage ya chanjo ya gonjwa la Covid Uingereza ni zaidi ya 70% . Angalia viwanjani kwenye premiere league England ni full. Watu hawavai barakoa tena viwanjani...
😍
 
Usilete porojo kwenye afya yako,shauri yako.

Kwani chanjo inakufanya usiambukizwe tena? Kama wanavyosema kuwa inapunguza possibility kuadhirika na huu ugonjwa hata nikila mjtishamba na nikavaa barakoa napunguza pia huo uwezekano boss haya mambo siyo ya kuyaharakia sanaaa siwaambie msichanjwe hapana ila mimi bado boss.....
 
Kwani chanjo inakufanya usiambukizwe tena? Kama wanavyosema kuwa inapunguza possibility kuadhirika na huu ugonjwa hata nikila mjtishamba na nikavaa barakoa napunguza pia huo uwezekano boss haya mambo siyo ya kuyaharakia sanaaa siwaambie msichanjwe hapana ila mimi bado boss.....
Huo ni ule weledi wa kitanzania/wa gwaji,afya kwanza mengine baadae,kila Chanjo ina uwezo wa kijikinga,pale unavyoambiwa uwezo ni asilimia 90 ni kuwa iwapo watu mia wamepata chanjo, kumi Kati yao upo uwezekano wa kupata maambukizi, japo haita fanana na ambae hajapata kabisa chanjo, kwani uwezo wa mwili kupambana na maradhi utakuwa zaidi ya ambae hajapata.
 
Huo ni ule weledi wa kitanzania/wa gwaji,afya kwanza mengine baadae,kila Changi ina uwezo wa kujikinga,pale unavyoambiwa uwezo ni asilimia 90 no kuwa iwapo watu mia wamepata chanjo, kimi Kati yao upo uwrzekanowa kupata maambukizi, japo haita fanana na ambar hajapata kabisa chanjo, keanu uwezo wa mwili kupambana na maradhi utakuwa zaidi ya ambar hajapata.

Kaka hebu jaribu kutofautisha siasa na afya bhn katika chanjo zilizopita kuna chanjo watu waliwahi kuchanjwa wakaambiwaa ibapunguza uwezekano tu?

Mimi siyo doctor ila naona wakuu wengine wa idara ya afya wametulia wanasema ni waanasubiri kwanza mimi nani nimesoma biashara nihaaarakie haya mambo?

Je nchi yetu kiukweli imeweza kujithibitishia kuwa hii chanjo inatakiwa itengenezwe hvyo au ni kwamba wameweza kudhibitishaa kuwa inavitu gani na gani? Kaka mi naona kuhusu hili kila mtu ajiongeze yeye kama yeye akiona nisawa achanjwe akiona si sawa na aachee
 
Inawezekana ugumu wa kuelewa hurithiwa. Coverage ya chanjo ya gonjwa la Covid Uingereza ni zaidi ya 70% . Angalia viwanjani kwenye premiere league England ni full. Watu hawavai barakoa tena viwanjani...
Idiot kabisa. Chanjo ni hiari. Wazungu wanatoa hela ili watu wachanje, nyie mnachukua ajenda bila kujua wanafiki
 
Inawezekana ugumu wa kuelewa hurithiwa. Coverage ya chanjo ya gonjwa la Covid Uingereza ni zaidi ya 70% . Angalia viwanjani kwenye premiere league England ni full. Watu hawavai barakoa tena viwanjani.

Njoo huku bongoland unawakuta much know just for political gain, wahamasishaji kuzuia watu wasiwe immunised. Nini Lengo la hawa watu ?. Science ya chanjo inajulikana na mechanism ya chanjo kutengeneza kinga inajulikana. Isitoshe wahusika wanachanjo kadhaa tayari toka ubeberuni.
Nyie wapinga chanjo mkiongozwa na hao two MPS Gwajima na Polepole what you are doing is sabotage maana ukweli u peupe huko ulaya walikochnjwa maisha ya kawaida yameanza kurejea.

Twendeni tukachanje korona inaua
U kipofu na mtoto ndugu. Tuachie vyakula vigumu vya watu wazima wenye uwezo wa kichakata na kuona.
 
Back
Top Bottom