#COVID19 Wapinga chanjo (Gwajima et al) wana macho lakini hawaoni

#COVID19 Wapinga chanjo (Gwajima et al) wana macho lakini hawaoni

Leta uthibitisho,
Mkuu usipende kutafuniwa ni Dunia ya utandawazi, tafuta information utazipata tu. Halafu nakupa hint nyingine, hizi J&J zilizoletwa kwenye box zimeandikwa storage temperature between 2°C na 8°C zilivyoshushwa tu airport zinapokelewa hukuona mabox yapo juani tu waziri anapiga nayo picha!?.. umeshashuhudia hayo machanjo mikoani yanavyopelekwa kwenye vituo vya afya!?,au siku ile taifa zilivyowekwa kienyeji!?.. Chanjo zenyewe zina walakini, na hii style ya kudhihifadhi bongo ndo inazifanya ziwe SUMU zaidi. Kama umedungwa hizi J&J zidisha maombi.
 
2884083_8872313C-DC07-4F43-895D-46208F180C5A.jpeg

Angalieni mazingira yanayotakiwa kuhifadhi hizo chanjo za J&J na uhalisia wake hapa bongo. Halafu ubishe kwamba watu hawadungwi sumu..
 
Tafuta taarifa sahihi ana Mgwira alishauriwa vibaya akakimbilia chanjo toka Kenya. Tafuta watu wake wa karibu watakwambia. Na baada ya kuchanjwa hakuchukua round.

Kenya kuzikana Waheshimiwa ni kila itwayo leo. Mazishi Kenya yamekuwa ni mikutano ya hadhara ya kila siku kuelekea uchaguzi wao wa 2022.

Sisi tunapuzaa kule kukataa lokidaoni kwetu na tukaendelea kujichanganya na hiki ndicho hao UK walichokiaga kutoka kwetu. Mbaya zaidi tumeiga fashion ya kuvaa mibarakoa kutiana hofu pale pasipo na hofu.
 
Kenya kuzikana Waheshimiwa ni kila itwayo leo. Mazishi Kenya yamekuwa ni mikutano ya hadhara ya kila siku kuelekea uchaguzi wao wa 2022.

Sisi tunapuzaa kule kukataa lokidaoni kwetu na tukaendelea kujichanganya na hiki ndicho hao UK walichokiaga kutoka kwetu. Mbaya zaidi tumeiga fashion ya kuvaa mibarakoa kutiana hofu pale pasipo na hofu.
Aaah uzuri hata hayo mabarakoa watu wameyakataa, wanalazimika viongozi kujikomba ionekane wanaendana na Samia.. Ila mitaani watu wanaendelea na maisha kama kawa. Juzi taifa kulijaa nyomi na bila barakoa na mpaka Sasa tunadunda tu.
 
View attachment 1918744
Angalieni mazingira yanayotakiwa kuhifadhi hizo chanjo za J&J na uhalisia wake hapa bongo. Halafu ubishe kwamba watu hawadungwi sumu..
Wewe ni kiazi tu, chanjo nyingi tu achilia Johnson Johnson uhifadhi huwa ni kwenye baridi.
Nimeshuhudia wachanjaji wana container maalum za kuhufadhi ubaridi wanatoa humo ndio wanachanja. Wacha kupotosha watu.

[emoji1134][emoji634][emoji1191] Kama wanachanja hawa, basi wacha tuwe misukule tu.
 
Tatizo hamjitegemei akili, mnashikiwa akili na wazungu. Mwaka Jana mpaka mwaka huu mwezi wa saba hakukuwa na chanjo tuliishije?,wewe mbona hujafa mpaka leo!?,Mimi nimeshapata Corona na kupona Ila bado hunichanji hata uje na bunduki. Na kwa taarifa yako ninawajua watu hapahapa Tz waliochanjwa mwezi huu wa 8 na wapo hoi kitandani na mwingine tumeshamzika wiki iliyopita Ila hutasikia vyombo vya habari vikitangaza.
Mimi mmoja namjua wala siyo story.
 
Inawezekana ugumu wa kuelewa hurithiwa. Coverage ya chanjo ya gonjwa la Covid Uingereza ni zaidi ya 70% . Angalia viwanjani kwenye premiere league England ni full. Watu hawavai barakoa tena viwanjani.

Njoo huku bongoland unawakuta much know just for political gain, wahamasishaji kuzuia watu wasiwe immunised. Nini Lengo la hawa watu ?. Science ya chanjo inajulikana na mechanism ya chanjo kutengeneza kinga inajulikana. Isitoshe wahusika wanachanjo kadhaa tayari toka ubeberuni.
Nyie wapinga chanjo mkiongozwa na hao two MPS Gwajima na Polepole what you are doing is sabotage maana ukweli u peupe huko ulaya walikochnjwa maisha ya kawaida yameanza kurejea.

Twendeni tukachanje korona inaua
Unaongeleaje kuhusu Tanzania na match zetu...Siku ya wananchi wangapi walivaa barakoa? Acha hizo wewe....We ni mtanzania ishi kitanzania acha kutukuza binadamu wenzako....Ibaada mpe Mungu na siyo chanjo ya wanadamu ambao hawajui hata sekunde tano inayofuata kama watakiwa hai au la
 
Tatizo hamjitegemei akili, mnashikiwa akili na wazungu. Mwaka Jana mpaka mwaka huu mwezi wa saba hakukuwa na chanjo tuliishije?,wewe mbona hujafa mpaka leo!?,Mimi nimeshapata Corona na kupona Ila bado hunichanji hata uje na bunduki. Na kwa taarifa yako ninawajua watu hapahapa Tz waliochanjwa mwezi huu wa 8 na wapo hoi kitandani na mwingine tumeshamzika wiki iliyopita Ila hutasikia vyombo vya habari vikitangaza.
Hata leo hii ni percent ngapi imechanjwa? Wanagapi wanavaa barakoa?

Kujazana tu hofu na ibaada zisizo na utukufu kwa Mungu
 
Wewe ni kiazi tu, chanjo nyingi tu achilia Johnson Johnson uhifadhi huwa ni kwenye baridi.
Nimeshuhudia wachanjaji wana container maalum za kuhufadhi ubaridi wanatoa humo ndio wanachanja. Wacha kupotosha watu.

[emoji1134][emoji634][emoji1191] Kama wanachanja hawa, basi wacha tuwe misukule tu.
Hayo machanjo ni Kama ARV ,ukisharuhusu mwili utegemee hayo Kinga ya asili inaisha. Muda sio mrefu mtaletewa booster, kirusi kikijibadili na wewe unabadili chanjo. Mwisho wa siku utasikia kidney failure, heart attack etc. Unawaamini waisraeli sana!?.. Pharmaceutical companies zinamilikiwa na waisraeli. Hawashindwi kuchanja taifa lao lote maji yaliyo kwenye chupa zimechorwa pfizer/moderna ili ulimwengu uingie mkenge wapige trillion$$ za kutosha. Unaonekana upo very shallow kuhusu hii Dunia, tumia smartphone na bando kupata intelijensia ya Dunia hii. Sio kuchat tu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Sijakataa mimi mwenyewe imenipiga February, Ila mnakosea kudhani chanjo ni suluhisho. Moshi wamepigwa sana baada ya kukimbilia chanjo mpakani mwa Kenya wakijiona wajanja na chanjo ndo zikawageuka. Sasa hivi ndo wamejiona wajinga baada ya kudondoshwa na chanjo zenyewe.
Chanjo inafanya kazi vizuri, in case of US kabla ya chanjo vifo vilikuwa wastani 5000 kwa siku, badaa ya chanjo 300 na 99% wanaokufa ni wale ambao hawakupiga chanjo...numbers dont lie
 
Eti na huyu nae ameshupaza anasema hataki chanjo............

1630451909823.png
 
Chanjo inafanya kazi vizuri, in case of US kabla ya chanjo vifo vilikuwa wastani 5000 kwa siku, badaa ya chanjo 300 na 99% wanaokufa ni wale ambao hawakupiga chanjo...numbers dont lie
Haya mambo yote yapo planned, mwaka Jana yote madaktari waliambiwa kila anayekufa aandikiwe sababu ni COVID, hadi video zipo YouTube za madaktari wakisema. Halafu kwa logic ya kawaida hata bila chanjo unadhani watu wangeendelea kufa kwa idadi ileile!?,halafu nikakuuliza sisi Tanzania mpaka Sasa tunaishije bila chanjo maana waliochanjwa hapa laki 3 tu hawafiki hata 1% ya watanzania. Mbona tunadunda tu bila hata barakoa!?
 
Sijakataa mimi mwenyewe imenipiga February, Ila mnakosea kudhani chanjo ni suluhisho. Moshi wamepigwa sana baada ya kukimbilia chanjo mpakani mwa Kenya wakijiona wajanja na chanjo ndo zikawageuka. Sasa hivi ndo wamejiona wajinga baada ya kudondoshwa na chanjo zenyewe.
Acha kupotosha,kama ina tokea yawezekana ila siikwa kiwango chako cha kunyunyizia chumvi kupata ladha.
 
Ulaya wamechanjwa ndio..

Ila wanaokufa na kuambukizwa ndio hao hao walochanjwa



Ikija kugundulika, J&J ina shida kama ilivokua awali [emoji23][emoji23][emoji23]

Walochanjwa watakua hawana Option zaidi ya kusubiri kugeuka mazombi[emoji23][emoji23]


Mnalazimisha wote tuchanjwe
 
View attachment 1918744
Angalieni mazingira yanayotakiwa kuhifadhi hizo chanjo za J&J na uhalisia wake hapa bongo. Halafu ubishe kwamba watu hawadungwi sumu..
Wewe jamaa hujui lolote kuhusu chanjo, miaka mingi tu serikali imekuwa ikiendesha zoezi la chanjo huko vijijini ambako hata hakuna umeme wa kuhifadhi kwa mafanikio. Chanjo hata za mifugo uhifadhiwa kwenye kiwango hicho cha baridi sio hii Johnson Johnson tu.

Ukiona hicho ki container cha chanjo usidhani ni ballot box, hio inahifadhi ubaridi ili chanjo zisipoteze ubora.
Hayo machanjo ni Kama ARV ,ukisharuhusu mwili utegemee hayo Kinga ya asili inaisha. Muda sio mrefu mtaletewa booster, kirusi kikijibadili na wewe unabadili chanjo. Mwisho wa siku utasikia kidney failure, heart attack etc. Unawaamini waisraeli sana!?.. Pharmaceutical companies zinamilikiwa na waisraeli. Hawashindwi kuchanja taifa lao lote maji yaliyo kwenye chupa zimechorwa pfizer/moderna ili ulimwengu uingie mkenge wapige trillion$$ za kutosha. Unaonekana upo very shallow kuhusu hii Dunia, tumia smartphone na bando kupata intelijensia ya Dunia hii. Sio kuchat tu.
Kuhusu ARV ni scientifically proved hakuna mwili umeweza defeat HIV kwa kutumia natural immunity isipokuwa kwa wale wenye special genes za ccr5 delta 32 ambao ni wachache sana Duniani, The rest ukipata HIV infections bila support ya ARV lazima upate AIDS na kuambukiza wengine kwa kasi tofauti na anayetumia ARV....
1630475277283.png
 
Inawezekana ugumu wa kuelewa hurithiwa. Coverage ya chanjo ya gonjwa la Covid Uingereza ni zaidi ya 70% . Angalia viwanjani kwenye premiere league England ni full. Watu hawavai barakoa tena viwanjani.

Njoo huku bongoland unawakuta much know just for political gain, wahamasishaji kuzuia watu wasiwe immunised. Nini Lengo la hawa watu ?

Science ya chanjo inajulikana na mechanism ya chanjo kutengeneza kinga inajulikana.

Isitoshe wahusika wanachanjo kadhaa tayari toka ubeberuni.

Nyie wapinga chanjo mkiongozwa na hao two MPS Gwajima na Polepole what you are doing is sabotage maana ukweli u peupe huko ulaya walikochnjwa maisha ya kawaida yameanza kurejea.

Twendeni tukachanje korona inaua
Kuna mtu kakuzuia? au unatafuta watu zaidi wa kwenda kutumika kama panya wa majaribio....
 
Haya mambo yote yapo planned, mwaka Jana yote madaktari waliambiwa kila anayekufa aandikiwe sababu ni COVID, hadi video zipo YouTube za madaktari wakisema. Halafu kwa logic ya kawaida hata bila chanjo unadhani watu wangeendelea kufa kwa idadi ileile!?,halafu nikakuuliza sisi Tanzania mpaka Sasa tunaishije bila chanjo maana waliochanjwa hapa laki 3 tu hawafiki hata 1% ya watanzania. Mbona tunadunda tu bila hata barakoa!?
Watu wanakufa sana acha kujidanganya, hayajakukuta tuu
 
Back
Top Bottom