Uchaguzi 2020 Wapinzani hawako tayari kuongoza nchi

Acha vitisho jombii. CCM inashinda peupeee saa sita mchana mbuzi anakula majani
 
Acha vitisho jombii. CCM inashinda peupeee saa sita mchana mbuzi anakula majani
Mnashindaje that's my concern.Endelea na kuunga juhudi "mkoloni mweusi", mambo ya ajabu sana,play fair and win wala watu hatuna tatizo.
Kilichofanyika kwa ACT Zanzibar ukiwa na akili timamu na ukizingatia mafundisho ya huyo Mungu wako unaona iko sawa?
 
Umetumia utashi wako kuwlewa au.
John kawa waziri miaka mingi halaf leo unasema eti hajawahi kuwa hata balozi wa nyumba 10.
Mwandosia yeye yukowapi kiongozi mkubwa ambae amewahi kuwa makamu wa
Wa rais.
 
Angalia wanashindwa hata kurusha matangazo yao mubashara
 
Tusaidie kufahamu aliyekuwa tayari,wengine umetuacha.
 
Huyu ni Paskali katika ID nyingine
 
Wapinzani wako kushindana wao kwa wao kutaka mmoja awe ndo chama kikuu cha upinzani lengo sio kuongoza nchi...
 
Nilijua tuu mmemwagwa kama njugu ili kupinga [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Come 28 Oktoba
Chagua
Rais Chadema
Mbunge Chadema au ACT
Diwani Chadema au ACT
Usifanye makosa tena ya kuchagua matapeli.
 
Reactions: BAK
Wapinzani wako kushindana wao kwa wao kutaka mmoja awe ndo chama kikuu cha upinzani lengo sio kuongoza nchi...
Watu wa ajabu Sana, hawastahili kupewa hata heshima ya udiwani
 
Literature is not static, it is dynamic with more than one meaning. It is up to wewe to give that meaning.
 
Hotuba iliyojaa matumaini halafu baadaye unateua akuna Bashite na akina Sabaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…