Wapinzani hawana hoja kuelekea 2024/2025

Wapinzani hawana hoja kuelekea 2024/2025

olimpio

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2023
Posts
418
Reaction score
866
Wapinzani wa Tanzania wanakwama pakubwa sana. Huwezi amini baada ya kulia kwa miaka kama 6 kua wamezuiwa kufanya mikutano, leo hii wanaruhusiwa kufanya mikutano and guess what they are into?
kumtukana waziri Nape pekee real?

Tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na mwaka mmoja baadae uchaguzi mkuu. Think Tank ya chama kikuu cha upinzani inabishana kumlinganisha waziri na Maandazi kweli?

hawa ndio watunga ilani ya uchaguzi ijayo kweli? kuna mahali wapinzani mnaukosea umma wa watanzania wenye kiu ya kuona mabadiriko nchini. Nyie ndio wa kuweka agenda ya alipo makamu wa rais kama agenda ya kitaifa?

By the way you wanted the man to be dead ili muwe proven right si ndio? Badirikeni, wenzenu CCM wanawatupia mifupa na nyie bila kujua mnabweka kwa kila mfupa unaotupwa
zero thinking capacity, kwa ujumla ninyi mmesha fail kabla ya kuanza safari

Yani 2024 mwaka wa chaguzi wa serikali za mitaa agenda kuu yenu ni Makamu wa rais kutoonekana?
Yani 2024 mwaka wa uchaguzi mnaingia mkia na agenda ya chongolo kujiuzulu uongozi CCM?

Mbona mna Uelewa mdogo sana wa mambo nyie ? au mnasubiri rejects wa CCM ndio waje wawape mipango?

kwa akili ndogo zenu mtatukana tena.
 
Yaani hakuna chama takataka kama ccm ndani ya nchi hii. Chama kina miaka zaidi ya 50 Bado kinategemea ulaghai na mbeleko ya vyombo vya Dola kukaa madarakani?! Unaposema mwaka wa uchaguzi, kwani Tanzania kuna uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura?

Yaani wapinzani wajiandae kwa ajenda kisha ikifika wakati wa uchaguzi, wasimamizi wa uchaguzi wanaagizwa wawaengue wagombea wa upinzani kwa hila, na kutangaza matokeo yanayotakiwa na kigenge kidogo Cha wezi wa ccm kijiitacho system.

Yaani jazba zako zilete kwa style nyingine, sio kwa hivyo vitisho vya uchaguzi, maana hakuna uchaguzi nchi hii, Bali upuuzi kama upuuzi mwingine. CCM mnaona uchaguzi ni kitu Cha maana maana viongozi wenu wanaweza kupanda punda, malori ya mchanga nk ili kuhadaa wajiinga mliowapachika jina la wanyonge.
 
Mtoa mada wewe mbwa koko.mda mwingine inabidi tuwatukane ikiwezekana tutukanane maana hamna maana yoyote mbuzi nyie.
Kama sio uhayawani ni Nini🖕.
Miaka dahali mpo madarakani,ukijumlisha na uchaguzi WA 2020🤔.Eti bado unakuja kutupigia kelele hapa mbwa wewe usiye na haya.
Mtu mzima ovyo kabisa.
Tunakupa vidonge vyako hukuhuku,maana inawastahili mbwa nyie.
Ukileta mada ya hovyo tunakuweka kwenye watu wa HOVYO,na majibu utapata ya hovyo Ng'ombe.K wewe.
 
Wapinzani wa Tanzania wanakwama pakubwa sana. Huwezi amini baada ya kulia kwa miaka kama 6 kua wamezuiwa kufanya mikutano, leo hii wanaruhusiwa kufanya mikutano and guess what they are into?
kumtukana waziri Nape pekee real?

Tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na mwaka mmoja baadae uchaguzi mkuu. Think Tank ya chama kikuu cha upinzani inabishana kumlinganisha waziri na Maandazi kweli?

hawa ndio watunga ilani ya uchaguzi ijayo kweli? kuna mahali wapinzani mnaukosea umma wa watanzania wenye kiu ya kuona mabadiriko nchini. Nyie ndio wa kuweka agenda ya alipo makamu wa rais kama agenda ya kitaifa?

By the way you wanted the man to be dead ili muwe proven right si ndio? Badirikeni, wenzenu CCM wanawatupia mifupa na nyie bila kujua mnabweka kwa kila mfupa unaotupwa
zero thinking capacity, kwa ujumla ninyi mmesha fail kabla ya kuanza safari

Yani 2024 mwaka wa chaguzi wa serikali za mitaa agenda kuu yenu ni Makamu wa rais kutoonekana?
Yani 2024 mwaka wa uchaguzi mnaingia mkia na agenda ya chongolo kujiuzulu uongozi CCM?

Mbona mna Uelewa mdogo sana wa mambo nyie ? au mnasubiri rejects wa CCM ndio waje wawape mipango?

kwa akili ndogo zenu mtatukana tena.
Wanategemea matukio saizi ajenda Yao ni nauli za LATRA 🤣🤣

Hopeless kabisa
 
Wapinzani wakiongozwa na Chadem ji ni taka taka kabsaaa...leo hii eti wale wale walioshindwa kuleta Maendeleo ndo wale wale wanajiandaa kugombea tena Ubunge.
 
Wewe umakazana na upinzani wakati bungeni wamejaa wabunge wa CCM, kwenye Halmashauri wamejaa wabunge wa CCM na Vijiji na Mitaa. Serikali ya CCM. Sasa kwa unafiki wako baada ya kuona CCM imeshindwa, unajifichia kwenye mgongo wa CHADEMA.
 
Walisema hivyo hivyo 2020 wakaishia kuiba uchaguzi mazima.
Matukio ni muhimu sana kwenye siasa na Sera ni muhimu pia.
Hakuna uchaguzi ulioibiwa,ccm ilichomfanya kinaonekana na mtapigwa mchana kweupe jiandaeni kutafuta kisingizio Cha kuibiwa sijui tume na blaa blaa zingine kama hizo
 
Yani 2024 mwaka wa chaguzi wa serikali za mitaa agenda kuu yenu ni Makamu wa rais kutoonekana?
Yani 2024 mwaka wa uchaguzi mnaingia mkia na agenda ya chongolo kujiuzulu uongozi CCM?
Ogopa Samia! Alisema- hatapiga kelele, kwani wote ni watu wazima. Watakutana kwenye hoja, utendaji na kalamu. Hapa ndio breki kwa upinzani.
 
Itapendeza km uchaguzi utakua wa huru na haki ili kusibitisha maneno yako unayosema

Sio unasema hawana hoja af uchaguzi ukifika mnawaibia kula mnawapiga mabomu na mnawachagulia wasimamizi wa kula

Uchaguzi wa uhuru na haki ndo utatupa majb sio ww chawa wa chama
 
Kwa hiyo Wamiliki wa vyombo wao gharama haziwahusu ila nyie ndio mna Haki sana si ndio?

Kila mtu akisema gharama zake zifidiwe na Bei tutafanya lolote?. Nauli inapangwa na LATRA kwa uangalia umbali wa kilomita na sio gharama za mwenye gari. Huo ni wizi.
 
Hakuna uchaguzi ulioibiwa,ccm ilichomfanya kinaonekana na mtapigwa mchana kweupe jiandaeni kutafuta kisingizio Cha kuibiwa sijui tume na blaa blaa zingine kama hizo

Sio kosa lako. Kama unaona kilichofanyika 2019 na 2020 ni sahihi sio shida hata ukiona kupanda kwa nauli haikuhusu. Nyie ndio wale watu ambao mtoto wa jirani anabakwa haikusumbui maana sio mtoto wako.
 
Wapinzani wana hoja nzito za kudai KATIBA mpya, Tume huru ya uchaguzi na hoja ya kulinda raslimali za nchi yetu kwa vizazi vijavyo, je CCM ina hoja gani yenye maslahi kwa taifa ukiachia mbali ile ya kuuza Bandari zetu na mapori ya akiba kwa waarabu?
 
Ogopa Samia! Alisema- hatapiga kelele, kwani wote ni watu wazima. Watakutana kwenye hoja, utendaji na kalamu. Hapa ndio breki kwa upinzani.

Mbona siku ile JKNIC alikuwa anatukana wapinzani Tena karibia hotuba nzima aliijadili CHADEMA.
 
Shida yenu mnaongea Sana na makala zenu zisizokuwa na kichwa. Ila uchaguzi ukifika mnazima Internet kwa wiki mbili na kuingiza mabegi ya kura.
 
Back
Top Bottom