Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hakikisheni mawakala wenu wanatimiza vigezo vyote na kuapishwa chini ya usimamizi wenu ili kuepuka njama zinazopangwa za kuchomeka mawakala feki watakaosaidia kusaini matokeo feki.
Hakikisheni mnakagua fomu zote za uchaguzi ili kuepuka njama ya kuondoa picha za wagombea wenu, hili jambo linaweza kutokea msipokuwa makini na limetrend somewhere.
Kataeni wagombea wenu kusimamishwa kufanya kampeni kwa siku kadhaa, Mgonja wa Same amesimamishwa kwa siku 14 na Boniphace Jacob wa Ubungo amesimamishwa kwa siku 7 kwa kisingizio cha uzushi cha kukiuka maadili, kuna njama za kuwasimamisha wengine wengi wasifanye kampeni ili kuiokoa CCM.
Nakala: John Mnyika , CHADEMA , bavicha
Hakikisheni mnakagua fomu zote za uchaguzi ili kuepuka njama ya kuondoa picha za wagombea wenu, hili jambo linaweza kutokea msipokuwa makini na limetrend somewhere.
Kataeni wagombea wenu kusimamishwa kufanya kampeni kwa siku kadhaa, Mgonja wa Same amesimamishwa kwa siku 14 na Boniphace Jacob wa Ubungo amesimamishwa kwa siku 7 kwa kisingizio cha uzushi cha kukiuka maadili, kuna njama za kuwasimamisha wengine wengi wasifanye kampeni ili kuiokoa CCM.
Nakala: John Mnyika , CHADEMA , bavicha