Hili ni muhimuTutaendelea kuleta taarifa kama hizi za kuhujumu uchaguzi kwa kadri tunavyofikishiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni muhimuTutaendelea kuleta taarifa kama hizi za kuhujumu uchaguzi kwa kadri tunavyofikishiwa
Tayari taarifa zote zimesambazwa dunia nzimaHawa CCM na mawakala wao tume ya uchaguzi wanatafuta kila hila ili waokoke. Wapinzani wawe makini sana kabla, siku ya uchaguzi, na wakati wa kuhesabu na kutangaza matokeo.
Mtakapo katwa vichwa na sehemu za Siri hadharani ndio utajua kumbe kuwaondoa nyinyi Ni sawa na kuondoa mbwa mfu barabaraniHata lowassa na slaa walikua kwenye mioyo yenu kwa ujuha mkaendelea kuwaita marais mpaka mkanywea kwa upinzani huu wa kisanii kuiondoa CCM ni kazi
Dunia itasaidia nini sasa?Tayari taarifa zote zimesambazwa dunia nzima
Ufike wakati uwe na akili kidogo ya kuacha kumtetea dikteta, muuaji na mkabila mkubwa.Mwaka huu ata upinzani uungane na upige kampen usiku na mchana awana mgombea wa kumshinda JPM, JPM amewazidi wenzake kwa ubora kwa kiwango kikubwa sana. Upinzani ujipange vizuri kwa 2025.
Ahaaaa!!Yaaan!!kura nyingi hizi za cdm za ndotoni kuna Nazi kweli kweli.Kwanza ,Lissu atudhibitishie ana Uraia wake nchi mbili kweli??Mbona hataki kujibu hili swalimtoa mada anaweweseka.
ukileta taarifa jf inafika dunia nzimaHizi taarifa huwa zinawafikia wahusika?
Kwa ushindi huu wa wazi kwa Ccm ndio ifanye njama?Njama zenu zote zimeanikwa
Basi suburi oktoba utafirahi sanaLissu yuko kwenye mioyo ya watu Magufuli yuko kwenye nguzo za umeme na madaraja.
ingekuwa hivyo mngezuia wapinzani kufanya kampeni ? halafu wewe ni shabiki maandazi tu hujui kinachofanyika , iulize tume kwanini inazuia ubunge wa Kiwanga MlimbaKwa ushindi huu wa wazi kwa Ccm ndio ifanye njama?
Mabango yapo na yanaendelea kubandikwa na tunayabandika kwa kasiMwaka huu ushauri na maelekezo ni mengi sana, inaonekana kuna jambo halipo sawa. Huko ubungo sijaona hata picha moja ya savimbi, atachaguliwa vipi na wasiomfahamu?
Mwaka huu CCM wameshikwa sehemu za Siri.Hata lowassa na slaa walikua kwenye mioyo yenu kwa ujuha mkaendelea kuwaita marais mpaka mkanywea kwa upinzani huu wa kisanii kuiondoa CCM ni kazi