Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Sheria za uchaguzi unazijua? Tume huwa haiweki mapingamizi,bali mgombea ndie anaweka pingamizi dhidi ya mgombea. Kama pingamizi linamashiko unategemea nini? Uharo lazima utoke wakati mnajambaingekuwa hivyo mngezuia wapinzani kufanya kampeni ? halafu wewe ni shabiki maandazi tu hujui kinachofanyika , iulize tume kwanini inazuia ubunge wa Kiwanga Mlimba