Kwa ufupi:Mwaka huu ata upinzani uungane na upige kampen usiku na mchana awana mgombea wa kumshinda JPM, JPM amewazidi wenzake kwa ubora kwa kiwango kikubwa sana. Upinzani ujipange vizuri kwa 2025.
Ccm ya Magufuli pumzi imeshakata, kilichobaki ni mabavu na figisu tu.mbona nguvu nyingi namnahii
Kwani mmeanza leo kuwa makini, sema umakini wenu always umekuwa na walakini mkubwa, maana mnatembea na upepo, eti tayari mmeshinda wapiiiii, subiri kichapo cha karne, ccm inatarajia kuvunja record iliyowekwa na ccm. Haaaa patamu hapoHili la mawakala ni muhimu sana kuwa extra careful vinginevyo hawa wahuni wa maccm ndipo wanapopatia kura zao za wizi ama kwa kudai hawana vigezo au kuwanunua katika chumba cha kuhesabia kura.
Wote hao unaowataja ni makada wa ccm na wafia chama, sijui unatoa ujumbe gani haswa, chadema mna majanga haswaKwa ufupi:
Wakulima hoi bin taaban
Wafanyakazi hoi bin taaban
Wastaafu hoi bin taaban
Waliomaliza vyuo hoi bin taaban
Wafanyabiashara hoi bin taaban
Wavuvi hoi bin taaban
Eti huyu anataka mi5 tena!! Afanye nini?
Huyu ni rais wa wanyonge gani?
Wote hao unaowataja ni makada wa ccm na wafia chama, sijui unatoa ujumbe gani haswa, chadema mna majanga haswa
Leo Lissu kaitwa Tume , ni katika njama zilezile za kishamba za kutupotezea mudaHakikisheni mawakala wenu wanatimiza vigezo vyote na kuapishwa chini ya usimamizi wenu ili kuepuka njama zinazopangwa za kuchomeka mawakala feki watakaosaidia kusaini matokeo feki.
Hakikisheni mnakagua fomu zote za uchaguzi ili kuepuka njama ya kuondoa picha za wagombea wenu, hili jambo linaweza kutokea msipokuwa makini na limetrend somewhere.
Kataeni wagombea wenu kusimamishwa kufanya kampeni kwa siku kadhaa, Mgonja wa Same amesimamishwa kwa siku 14 na Boniphace Jacob wa Ubungo amesimamishwa kwa siku 7 kwa kisingizio cha uzushi cha kukiuka maadili, kuna njama za kuwasimamisha wengine wengi wasifanye kampeni ili kuiokoa CCM.
Nakala: John Mnyika , CHADEMA , bavicha
Tundu Lissu anatakiwa atoe onyo kali sana kwa wale mamluki wanaoandaliwa kupewa barua za uongo kutoka CCM ili wananchi wakae chanjo kama itatokea mmoja wao wananchi wamgawane! Hatutaki ujinga mwaka huu!Hakikisheni mawakala wenu wanatimiza vigezo vyote na kuapishwa chini ya usimamizi wenu ili kuepuka njama zinazopangwa za kuchomeka mawakala feki watakaosaidia kusaini matokeo feki.
Hakikisheni mnakagua fomu zote za uchaguzi ili kuepuka njama ya kuondoa picha za wagombea wenu, hili jambo linaweza kutokea msipokuwa makini na limetrend somewhere.
Kataeni wagombea wenu kusimamishwa kufanya kampeni kwa siku kadhaa, Mgonja wa Same amesimamishwa kwa siku 14 na Boniphace Jacob wa Ubungo amesimamishwa kwa siku 7 kwa kisingizio cha uzushi cha kukiuka maadili, kuna njama za kuwasimamisha wengine wengi wasifanye kampeni ili kuiokoa CCM.
Nakala: John Mnyika , CHADEMA , bavicha
Kuna dalili mbaya sana imejitokeza sasa hasa baada ya ccm kushindwa kwenye kampeniTundu Lissu anatakiwa atoe onyo kali sana kwa wale mamluki wanaoandaliwa kupewa barua za uongo kutoka CCM ili wananchi wakae chanjo kama itatokea mmoja wao wananchi wamgawane! Hatutaki ujinga mwaka huu!