Uchaguzi 2020 Wapinzani mnatambua kabisa Rais Magufuli ni mtendaji, mchapa kazi na mtekelezaji mzuri. Bado hamuoni aibu kuchukua fomu za urais!

Ndoto bila mikakati madhubuti itabaki kuwa ndoto. Priorities za wapinzani katika nchi yetu hazijawahi kusimama wima tangu multiparty system irejeshwe nchini!
Kwa mtazamo wangu hiki ulichosema si kweli.
Wapinzani walikuwa na ajenda na vipaumbele vizuri sana miaka ya 1992 - 2000->hasa 1995. Pia kipindi cha 2007 - 2014 -> hasa 2008-2010.
Mwaka 2015 kila kitu kikabadilika kabisa na wapinzani wakapoteza muelekeo na wakaacha misingi na itikadi walizo zisimamia.

Mara nyingi kila chama cha upinzani kikifikia kwenye kilele cha mafanikio wanajisahau na kuanza kulewa sifa kisha wanapoteza muelekeo na kuvurugana sababu ya pesa au tamaa ya madaraka.
 
Mkuu umeongea kwa uchungu sana
 
ACHA UPOYOYO
 
Hili la umasikini wa watimishi wa umma naamini wanaposema ni wapenzi wa mungu nina mashaka.
 
Usiwashangae. Kuwa smart kijana. Huwezi kumlazimisha mtu awaze kama unavyowaza wewe. Wewe unavyoo a mgombea wako ni sahihi wengine wanaona hafai
 
Tulia wewe ukikua ndio utajua kuwa Ccm ni chama dume.
 

Attachments

  • MREMATISHA.jpg
    25.3 KB · Views: 1
Kesi gani wamebambikiwa?
Minyoo + bangi + konyagi=?
 
Mwanasiasa akiongea maneno ya uchochezi aachwe? Mfano Zitto alipochochea kuwa watu 100 wameuliwa na polisi ulitaka aachwe? Odhiambo cairo
 
Lissu hana sifa ya kuongoza hata mkoa ukiacha Nchi. Mnatujazia server tu. Bora hata huyo DJ anaewsza kumanage hata biashara zake mwenyewe. Lissu anamafanikio yapi katika maidha yake binafsi mpaka tumuamini kutuvusha? Yeye mwenyewe hana issue sisi atatusaidiaje?
 
Punguza njaa mkuu naona sasa kama inakupanda kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…