We unaongezeka umri,haukui.Hakuna mtu ambae ubongo wake unakua na kufikia "busara za kiungwana" anaweza andika vitu vyepesi kama vyako halafu akakomaa vionekane deep.Tulia wewe ukikua ndio utajua kuwa Ccm ni chama dume.
Ndio nini?We unaongezeka umri,haukui.Hakuna mtu ambae ubongo wake unakua na kufikia "busara za kiungwana" anaweza andika vitu vyepesi kama vyako halafu akakomaa vionekane deep.
Jitahidi kuwa rational unapoandika vitu vya msingi.Unless kama kila mara wewe ni mtu wa jokes.
Kama juhudi za msingi kama hizo unaona ni kupoteza muda.Je hiki unachofanya tukiiteje.Una "ukimwi wa akili" ndugu yangu Mtanzania.πππ.Hao waliochukua fomu Chadema hata ubunge hawawezi kupata. Sasa wanapoteza muda bure kwa nini?
Kisu kimegusa makalio yako.Tulia kizame.Kama juhudi za msingi kama hizo unaona ni kupoteza muda.Je hiki unachofanya tukiiteje.Una "ukimwi wa akili" ndugu yangu Mtanzania.πππ.
Kaa chini tuliza akili uandike kitu cha kufikirisha, sio mtu unakurupuka tu kwa genye za kuanzisha threadπππ.Brain Masturbation
Ongezeko la umri liendane na kukua kwa akili na mwili.Unaweza kuongezeka umri, ukafikisha hata miaka 65 lakini ukawa "bichwa-maji",and that's you literally.Ndio nini?
Unaona sasa akili zakoπππ.Kisu kimegusa makalio yako.Tulia kizame.
Nimeshakupuuza.Ongezeko la umri liendane na kukua kwa akili na mwili.Unaweza kuongezeka umri, ukafikisha hata miaka 65 lakini ukawa "bichwa-maji",and that's you literally.
Umepuuza huku unatoa lugha ulizorithishwa na babu zako "mabaharia" hizo za makalio sijui nini.Nimeshakupuuza.
Kuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake. Na moja ya misingi ni usawa na haki kwa wote. Kwa ujumla kwa CCM binadamu wote ni sawa.
Mwaka 2015 alipopewa ridhaa ya kuwa mgombea wa CCM ni dhahiri kuwa CCM ilimpa kazi ya kutekeleza mambo muhimu kwa watanzania.
JPM ametekeleza mambo makubwa kwa muda mfupi na hii ni kwa sababu anaongoza kwa kufuata misingi ya CCM.
Aliahidi atajenga SGR kipande cha kwanza Dar to Moro kitakamilika hivi karibuni. Aliahidi kujenga JNHPP na ametekeleza na mradi huu ukikamilika utakuwa na manufaa kwa watanzania wote. Aliaahidi kuimarisha sekta ya afya na elimu na yote watanzania wameshuhudia nini kimefanyika.
Kwa ujumla Tanzania ina rais mchapa kazi ambae akiahidi kitu kwa manufaa ya watanzania lazima atekeleze.
Sasa vyama vya upinzani kama Chadema ambavyo hata kuongoza majimbo na kata ni tatizo inakuwaje wanathubutu kuchukua fomu na kutaka kuweka mgombea wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama kama Chadema ambacho hakiwezi kusimamia ruzuku ya ya mil 360, kitaweza vipi kuwa na rais ambae atawatekelezea maendekeo watanzania?
Wewe ni mzawa au mamluki ?
Hopeless? Mtu unajua hata kura 100 hupati kwa nini ushindane na jembe linalokubalika.
Wewe si uende kwenye majukwaa yenu ya viuno huko !Umeona kihivyo.. saba buuuu.. zako unajifahamu.. waga hivyoooooo.. ππππ
Pokea hizi πππ ulie.. Yeye ndio chaguo la Wananchi
Mtu asiye na uhakika hata wa kumaliza miaka miwili anapata wapi ujasiri huo ?Mstaafu Alhaji Mwinyi alisema atapata miaka mingine mitano ya zawadi. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee patamu hapo! Hapa Kazi Tu! Tanzania ya sasa inameremeta meremeta tu - Zuchu.
Hivi huyo Lisu mbona anatembea kama crab nina wasi wasi hata akili yake inatembea hivyo hivyoNinawashangaa sana baadhi ya watanzania walio ni fikra ndogo na upeo mdogo wa kufanya upembuzi yakinifu juu ya nani atashinda u rais mwaka huu.yani unakuta mtu anasimama kabisa na kusema eti Lissu anauwezo wa kumkabili Magufuli (best president ever).
Naombeni niwaambie hakuna mtu anayeweza mkabili Dkt. Magufuli hata kidogo, mimi nasema atakae weza mkabili Magufuli nitatoa milioni tano cash.
Dkt. Magufuli sio wa mchezo kama mnavodhani, amefanya makubwa na nchi inaenda vizuri sana. Eleweni basi. Mnajisumbua wapinzani
Dogo mwenye bachela ya aitii.. nasikia posho imepanda kutoka buku7. Nim kweli nami nijiunge kambi yenu.Kupitai Rais Magufuli hatimaye Chama, Serikali na Nchi imetulia na inafuata maadili.
Hongera JPM kwa hili
Ok mpatie mika 10 ya nyongeza. Sawa. Akishamaliza what next?Mstaafu Alhaji Mwinyi alisema atapata miaka mingine mitano ya zawadi. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee patamu hapo! Hapa Kazi Tu! Tanzania ya sasa inameremeta meremeta tu - Zuchu.
Kupitai Rais Magufuli hatimaye Chama, Serikali na Nchi imetulia na inafuata maadili.
Hongera JPM kwa hili
Kupitai Rais Magufuli hatimaye Chama, Serikali na Nchi imetulia na inafuata maadili.
Hongera JPM kwa hili
[QUOTE
The title of the book is synopsis