residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Wewe mumeo anayekulisha hapo nyumbani kwako na wanao,mkiulizwa mnamkubali kiasi gani,si mtasema mnamkubali asilimia mia moja!!??Demokrasia ni kutumia common sense pia. Kama aliyepo madarakani anakubalika 100% kwa utekelezaji bora umuunge mkono.