Uchaguzi 2020 Wapinzani mnatambua kabisa Rais Magufuli ni mtendaji, mchapa kazi na mtekelezaji mzuri. Bado hamuoni aibu kuchukua fomu za urais!

Demokrasia ni kutumia common sense pia. Kama aliyepo madarakani anakubalika 100% kwa utekelezaji bora umuunge mkono.
Wewe mumeo anayekulisha hapo nyumbani kwako na wanao,mkiulizwa mnamkubali kiasi gani,si mtasema mnamkubali asilimia mia moja!!??
 
Ruzuku ya chadema inasimamiwa vizuri ndiyo maana CAG alitoa hati safi ingawa CCM walimtuma atengenezwe zengwe shetani wap akafeli na sasa CCM wamewatuma takukuruccm nao wamekosa pa kupenyea, Ruzuku ya CCM inapigwa kifisadi sana na pesa nyingi inatumika kuidhoofisha chadema na kuua upinzani wakiwa na nia ya kurejesha mfumo wa chama kimoja, maendeleo ya Tanzania yanafanyika kwa pesa za walipa kodi siyo pesa binafsi za mwenyekiti wa CCM wala Hisani ya CCM,
 
We bwege nini? Ruzuku ya Chadema mlilipa kijanja Mbowe bil 8. Takukuru lazima wapeleke mahakamani. Ccm haina matumizi mabaya ya ruzuku kama unavyosema ndio maana inatumia vyema hata pesa za walipa kodi kuleta maendeleo kwa kuwabana mafisadi.
 
Bongo hatuna upinzani ni upuuzi sana
 
Wapinzani wana nguvu na wanapendwa na wananchi ndiyo maana kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali
 
Wapo wapi akina kamuzu Banda, Robert mugabe, Elbashiri, chiluba, Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, mabutu, Abacha, idd Amin Dada? hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa ubaya ni Aibu kubwa.
Naona mmekosa hoja. Bora mngewashauri jamaa zenu wasichukue form.
 
Gambia, Ghana, Congo, Malawi walikuwa na vyama Asilia vilivyoleta Uhuru wao lakini vikaja kuwa na Tabia ya uonevu kwa wapinzani kama ilivyo CCM ya awamu ya tano, leo hii vipo wapi? CCM ipo siku uonevu uovu wao utafika mwisho tu.
 
Unaonekana huna hata akili na hata maana ya demokrasia uijui na ndio maana ndani ya chama chenu chakavu mmeshapisha form moja tu kwa ajili ya woga.

Ingekuwa hivyo kwa wazungu wangekuwa wanaunga juhudi kila siku kwa maendeleo yanayofanywa,lakini kuna uchaguzi kila msimu.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hoja ipi lete hoja tukujibu
Mnafahamu kuwa JPM ni jembe na linatekeleza maendeleo kwa ajili ya watanzania na hao wagombea wenu hawana sifa za kupambana na JPM. Hamuoni aibu kufanya huo mchakato?
 
Habari za kuiga wazungu ndio maana mlisema mtaunga mkono ushoga. Sio kila kitu muige wazungu.
 
Mnaogopa nini kushindana?
 

Nilikuambia huyo jamaa hajawahi kushinda kwa njia ya box la kura, hata hichi kilio chako ni hofu yako atakapotakiwa kushindana kwa hoja. Yeye anajisi box la kura ili uje hapa tukupe ukweli wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…